KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 25 May 2013

BY :FLORA LYIMO ~ALBUM (1) YA FAB AND SPICES DRESS WEDDING OF ABBLA " AT EMPIRE VENUE LONDON 24/05/2013 AMBAYO INA PARTY TOFAUTI TOFAUTI NNE" HII IKIWA YA TATU 'CHEZEA WATU NA PESA ZAO'MBUTA NANGA!!

 BI'HARUSI WETU NDO HUYO 'ALINOGAJE'Don't you wish ageuke umuone vizuri fanya fasta kutizama picha za chini unawezakumuona 'Mbuta Nanga 'Mdogo wetu twakutakia kila la Heri Mungu azidi kuibariki na kuisimamia Ndoa yako uliyoifanyia kweli leo idum milele"
 Wapendanao from lelt Flora Lyimo Fashion Police mwenyewe nikikuwepo kikazi zaidi na Shostitamu lango la ukwee 'Matho juu matho juu' hahhaaa you look FAB' kama kawa yako"
 Just look at you my Sistaaaaaa''you look FAB 'Nyota imedondoka angani gafla 'mbuta nanga!!



 nawapendaje sasa'Madada zangu wa Ukwee Mwanamke Nyonga !!




 Mwanamke kujiamini na huyu Dogo langu ni mmoja wa walojiamini kwenye hii Harusi ya leo 'tena uwanjani walinyonga haswaaa Kwa Viungo vyao "






































 Habari ndo hiyo 'Mwanamke kujiamini na kungyonga kisawa sawa"


 Tenaaaaaaaaaaaaaaaaaaa''bado hawajakusikiaaaaa'mbuta nanga!!

 Twasubiria ngoma yetu nasi tumage Radhi 'ala'ala'alaaaa"" Jamani pamoja nakukuwepo kikazi Taarabuni lazima nitie Viungo vyangu "
 Noma pigeni nyie sie tutamwaga radhi na mtazoa mtake msitake mbuta nanga" Fashion Police in Black Dress niliongezeaje mistari yangu kwenye ngoma hii ya Taarabu hatariii' ToooooTop in Town Dada wa Kichagga bado nipo uwanjani'' nawapa taarifaaaaa''ooo'ooo'ooo''Mbele nitasonga na nyuma sito rudi wala kutizamaaaaaaaaaaaaaaaa''Hhahahhaaaa jamani Taarabu tamu eee''I love nyie wana Taarabu wangu mnaosimama Imara kama Flora Lyimo Fashion Police wenu" 


 Tenaaaaa kwa Taarabu zetu Dada langu la ukwee (left ) Khadija Ally and the one and only Flora Lyimo Fashion Police!!

 Warembo wapo wengi kwenye Harusi hii jamani nikianza kuwaambieni hili na lile naweza nikazamia hum kabisa bora niwaachieni picha ziwaambieni yote" Enjoy your Bank Holiday people kwani sisi huku London ndo yetu tumeinza hivi na Mungu yupo kutusimamia kwa sana tu" Stay Bless All "







 Flora Lyimo akirudi Home baada ya kazi za ufyetuaji zaidi" bila kusahau kuwachambua chambua walokuja kuharibu hii shughuli muhimu ya harusi ya mdogo wetu Abbla" niliwanasaje' haahhaa'mbuta nanga!!!
Warembo wakiwa tiyari kabisa na nyuso zao zinazosema yote' DJ peperusha Ngoma yetu tunyanyuke na kumwaga radhi zetu uwanjani" waja 'watajikoroshoje!!
Anyway was a FAB Harusi and was happy to wafyetueni na kuwaoneni nyote kufika kwa viungo vyenu kwa mavaazi ya kila aina na kila mitindo' Usikose kurudi kuona album kibao za Harusi hii'' and usisahau kuifuata Blogu yako ilokubeba na kukufurahia ipasavyo kwa Viungo vyako hasa kwa mapicha na michapo ya ukwee"
Lingine najua wengi mtabaki mkijiuliza naimanisha nini kusema SPICE DRESS WEDDING" Yani naimanisha' Mavaazi yalovaliwa hum yakiwepo na rangi tofauti tofauti na mitindo yake tofauti tofauti pia'kwa shape tofauti tofauti 'which give hii Harusi the FLAVOUR YA KUNOGA IPASAVYO"
Habari ndo hiyo sasa ikiwa hujanifuata karibu kunifuata now''FOLLOW THIS BLOG!!

1 comment:

  1. pendeza kama kawa yako miss Lyimo na matusi yote mwanamke ndo wazidi kurusha roho kweli wewe ndo ze top in town kwa kweli..

    ReplyDelete