KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 21 June 2013

EXCLUSIVE : FLORA LYIMO AFRICAN PRINT STRAIGHT SKIRT YA NUSU MIKONO JACKET SUIT " MBUTA NANGA' PRETTY CUTE OR PRETTY COOL!!

 I dont like uncomfortable cloth 'so hii skirt nimeamua kuikata nyuma iwe na mpasuo ili hata ukiingia kwenye basi unaingia bila kuinyanyua juu au ukastukia imepasuka paa'mbuta nanga"
 Flora Lyimo African Print Straight skirt kwa kuendana na Maumbile yote size yako ipo. 'Just let's me tell you kidogo about Straight Skirt 'Maana sikuenda kusomea mavaazi bure nilisomea na kuelewa hasa ni nini cha kuvalia wapi na kinatakiwa kiwe vipi 'Sraight Skirts are vertical and add height and slimness to the body'so ukae ukijua ndiyo maana Flora Lyimo anawaleteeni vitu vyakuweza kuwapandisheni kwa maumbile yenu na siyo kuwashusheni' kwani kila mmoja wetu tumeumbwa na maumbile tofauti kwenye miili yetu" na jinsi inavyo onekana kwangu siyo vile itakavyo onekana kwa wote'
 Yaaaaaa Aika Ruwa Mangi Kyiflora kyako Lyimo kuorye cha Ruwa Pfo''hahaha ''Kyindokyako Mbee!!
 Yani hapa sitaki kumlaum mpiga picha hizi kwani ilikuwa ni shughuli ya fasta fasta unaambiwa leo na kesho unaanza kujiandaa na safari na muda wa kumtafuta mpiga picha wakishua huna kabisa na safari yenyewe siyo ya mwendo wa kinyonga aisee''but nilifurahia sana siku hii 'hawa wafanyabiashara walioanzia chini tena chini kabisa sasa wapo juu tena juu kabisa aisee lazima na mimi nitafika kwani naanza kukimbizana nao' Ruwa Mangi"

 Nyieeeeeeeeeee''Flora Lyimo naja nipo nyuma yenu angalieni msiharibu sana matawi hayo mlofikia kwa sasa hivi 'tuachieni nasi wachini tena wavijijini tunakujaje kwa kasi 'Miji tunaipakata inatulia na kushika adabu ukipita wanakurushia mapesa na siyo mashikamoo ya makelele'mbuta nanga"
Flora Lyimo Designer ' nikiendelea nikiwayeyushieni mambo nilosomea at London College of Fashion 'yani I wish Mchagga sikuacha nikaanza kutafuta mapesa' but niliweza kujifunza mengi sana kwa mwaka mmoja na miezi mitano nilokuwa nao'' na nilichoambulia ambacho hadi sasa hivi kinanisaidia sana ni my Personal Style Solutions Books and vimebeba mambo yangu yote niliyojifunza na niliyofuzwa and now I'm back there ndo maana mnaona mara nyingi siwarushieni mambo mengi sana hapa Bloguni kwangu hasa kutoka kule Nyumbani maana kutafutana na habari za kule nyumbani zenye Ukweli siyo kitu cha kutumia madakika ni kitu chakutumia masaa na hata siku nzima' But nitajitahidi maana napenda sana Blog yangu na hasa to do my own reporting na pia kizungu zungu  I LOVE BLOGGING!!
more photos of Flora Lyimo Design African Prints Cloth and Handbags to come 'If you like anything you can call or WhatsApp +44 (0) 7787471024 Karibuni /Welcome'Also don't forget to FOLLOW THIS BLOG!! 

No comments:

Post a Comment