KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 23 June 2013

FLORA LYIMO FASHION POLICE AWAMULIKAA> MCHAFUA HARUSI YA DOREEN a.k.a. MUKE YA MIKE MZIRAY JANA NDO HUYOO' WENGINE WAMEPENDEZAJE'MBUTA NANGA!!

 Mpora wa FENDI a.k.a. Dolla Songambele (left)nakuona umewasimamia warembo wenzako kisawa sawa'' Wote hapa mmevaa ipasavyo haswaa''more picha to come jamani hapa ni kionjo tu"


 Safi sana''Ila ningependa angevalia Hereni(earrings) za kuning'inia, long drop siyo ndefu sana but kiasi" I just love it the dress limemkaa na kumependeza kisawa sawa'kwa shape yake''
Mchafua shughuli za watu ni Mshafua tu''na hutokosa kumjua ''sasa huyo hapa hebu muone na wenzake Glamour na Kiharusi tena kialikwa haswaaa,yeye sasa kavaa nini na miguuu anarusha juu''utadhani yupo kwenye lile Bar la Top changudoa's'' picha zake zaidi na wengine walochafua zaja' 

Sasa kama mnasema naonea au na bagua 'nyie oneni hapa kwani picha hazidanganyi kabisaaa'' Hata mwenyewe kajistukia,nani kanyimwa Pipi" 
Anyway have your say Nyota zangu Mnaruhusiwa ila siyo Kimatusi 'kielimishaji zaidi hata Mtoto wakesho akipitia hum apate kujifunza what to wear kwenye shughuli kama hizi za waalikwa kwenye Harusini'' Mbuta Nanga"

No comments:

Post a Comment