KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 7 July 2013

BY FLORA LYIMO~ LAST WEEK IT WAS A HAPPY WEEK EVER FOR MR & MRS MATONDA' AND HERE IS KILA KITU NA KILA MTU ALIE KUWEPO KWENYE BIRTHDAY YA MAPACHA WAO''

 Here She is ,fresh like the Fruits its self"" Mbuta Nanga!!
The smile say it All''


 Thanks Kate''a.k.a. Kate the Royal herself akitufanyia kweli"

 Thanks Pretty's the Smile say it All''











 So Lovely look who is eating msosi wa watu wazima Fruits kwa kwenda mbele''


 Here She is One of the Twin's the Birthday Girls'' In Love with this Photo 'yani now you can see her closer'' and she can see you closer"

 The Mamcho na vimeno ''so Pretty ''Bless you Baby Girl '' yani is Mwaka tunaona Mabadiliko kibao and next Mwaka when mtakuwa 2'' Mungu atujalie Baraka nyingi kama hizi za Mwaka wenu wa Kwanza tuweza kuja na kuyashuhudia mabadiliko yenu mema kwa pamoja 'Again'' You know its make me feel so Bless kuwaona tangu hamjazaliwa hadi mkazaliwa na leo hii it was your first Birthday One years Old'' I just cant wait for your 21st Birthday's '' Ruwa Mangi''






 The Serena Williams  lookalike'' the one from the left ''Agree?'' I do ''
 Mweli haujenwi kwa matofali eti''Kuleni Ngugu zangu mpate nguvu ya kuutumikia Ulimwengu''

 The Fruits ''yani Fresh and zajieleza zenyewe"




 Mbele ya Nyama Choma Mwanaume wa Nguvu hakosekani''Mbuta Nanga!!

 Uwiii hapa ndo naanza kuchukia My Blogging ''why ? Nikiwa na weka picha za Misosi kama hii na huku nasikianjaa, njaa inauma zaidi na huku mimate ikinitiririka''Mbuta Nanga''



 Kama kawa Big smile is the best gift and Health in any human being '' Tuzidi kuombeana Watu wangu''


Hii Picha inasema yote''NANI KANUNA'''Mbuta Nanga'' Thanks so much my dears''last week was FAB'' Mliweza na your so Blessed'' Sasa tuzidishiane Maombi ili miaka yote 100 ya hawa Watoto Wenu wapendwa tuweze kuja na kuisherekea kwa Pamoja''I cant wait'' God is Great All the time'' Ruwa Mangi''

No comments:

Post a Comment