KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 16 July 2013

BY FLORA LYIMO~ MBUTA NANGA'' HABARI YA KWANZA' KUMBE ZA MWIZI ARUBAINI EEE' HUYO MDADA WA BONGO MOVIE KAKAMATWA KWA KUDANGANYA YUPO ALIPO KUMBE LA''


Mtandao wa bongo movies umetumiwa madai, kumhusu mwanadada muigizaji wa Filamu aliyepata tuzo hivi karibuni, Jennifer Kyaka anakwenda na jina la kisanii la Odama kuhusu safari zake za kwenda nje ya nchi. Habari au tuhuma hizi , zinasema kuwa mwanadada huyo huwa haendi nje ya nchi kama anavyowaambia washabiki wake kupitia blog yake ya odama1.blogspot.com kuwa anasafiri kwenda nje kikazi zaidi, na badala yake imesemwa kuwa huwa anabaki hapa hapa nchini akijifanya yupo nje ya nchi,akiwa na lengo la kutafuta kulazimisha umaarufu

ushahidi wa picha mbalimbali toka kwenye mtandao mmoja wa kijamii ambao staa huyo Mdau aliyepeleka tuhuma hizo, amesema kuwa ana ushahidi wa kutosha na katuma anautumia kudanganya zikimuonesha akiwa maeneo mbalimbali ya “duniani huko” ambayo kwa kuangalia picha hizo anasema kuwa ni feki na zimetengenezwa kwa kutumia teknolojia tu ya kuhariri picha maarufu kama PHOTOSHOPMtandao wa Bongo Movies umewaomba wadau wenye majibu na utaalamu wa picha wasaidie kwa kutazama picha hizi ili kuthibitisha kama tuhuma hii ina ukweli wowote.

Flora Lyimo >Mbuta nanga'' sasa jamani hebu semeni yenu maana hata mimi sijaelewa'' so hapa you Bongo au Uchina?? au ndo London China town'' Hahhahaaa''Ngamanyasepfo lanyo""

TUMESHIRIKI KUTOKA LM''

No comments:

Post a Comment