KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 17 July 2013

BY FLORA LYIMO~ SHEILA FASHION DIVA a.k.a. SHEILA FRISCH -LOUISA AMTAPELI FLORA LYIMO VITU ALIVYOJAZA KIDUKANI CHAKE HUKO BONGO NA KUKATAA KULIPA ZAIDI YA MWAKA SASA'' JUZI JUZI KACHUKUA MABEGI PIA KIMKOPO AKIULIZWA ANASEMA HALIPI''HII NI ALBUM ONE YA VITU VYA FLORA LYIMO KIDUKANI KWAKE'''MORE TO COME''MBUTA NANGA!!


BLACK STAR

Add caption


WALLET

FLORA BLACK


LFRED

LFBROWN

LFBLACK


FLORA LYIMO AAMBIWA ATUME BANK ACCOUNT ''KUSAHAU KUTUMA NA NIKATUMA LEO  17/07/2013' THIS IS WHAT HAPPEN '' BAADHI YA MESEJI ALONITUMIA KWENYE SIM HUYO SHEILA'S FASHION DIVA' a.k.a. SHEILA FRISCH LOUISA '''' 

Sheila>Wewe husinijazie msg kwenye inbox au huelew ,sasa pesa ulipwi ,vitu vyako hupewi coz sikumbuki kama unanidahi ''' alafu ndio tulielewana endapo nitauza so sijauza hata kimoja so far ,na sasa pesa hulipwi na hatudaiani''
Jamani NA USHAIDI NA WASAIDI WAPO'''kama mnavyomsoma hapo ndo hivyo nilivyoambiwa leo sii muda mrefu baada ya Mmimi kukumbuka kwamba aliniambia nimpe my Bank Account aniwekee pesa zangu''leo kumtumia ndo yamekuwa haya''  Basi Mimi sitomdai tena ila akae akijua KITU CHA RUSHWA AU WIZI hakitomfikisha popote,,Alichukua kwa Mkopo kajaza Kiduka chake hata sijawahi kukiona ila kwa Picha tu'' kama mnavyoona kwenye Kiblog chake pia, na alivyoviandika mpaka na jina langu kutumia code zake anazozifaham yeye ..I can say 80% of  vitu alivyojaza humo ni vya kwangu na sasa ni zaidi ya Mwaka bila kupewa hata senti moja.. na Huku alianza kuingilia Ugomvi usio muhusu kumbe akijua ndo hapo atapata njia yakutonilipa Pesa zangu'' Viatu kavitoboa toba kuviengezea maurembo yake sasa hata avirudishe akiondoa viurembo vyake sivitaharibika ? na lingine kama nikurudisha rudisha basi kwa Mwenyewe na siyo umuambie eti aje akachukue na mara humpi chochote mara kimepanda kimeshuka,yani mausingizio kibao''sikukupa tuzungushana na tudaiane kwa ugomvi au Dunia kujua na ndiyo maana nikakuambia hatudaiani kwa sababu ushanunua ugomvi usio kuhusu ''nilikutumia my bank account kama ulivyoniagiza'' but is ok utapeli hukuuanzia kwa Flora Lyimo London Accessories '' Uliuanzia hukooo''na nilikanywa lakini ndo hivyo tena ninaroho ya HURUMA NA YAKUTOA MNO''What can I say'' Nitazidi kumshukuru Mungu ataniongezea yeye kwani ndo alienipa niliyokukopesha pia'. NA VILE VILE HUTONIVUNJA NIA YANGU NA MY GOAL ARE PALE PALE''' AMA KWELI KUKOPA HARUSI KULIPA MATANGA'' But KUMBUKENI NINAO WAPENI MKOPO 'IKIWA HAMTANILIPA MTANIRUSHA ,MTAISHIA HAPA HAPA NA POPOTE NIWEZAPO KUWATANGAZENI DUNIA IWATAMBUENI KWA UTAPELI NA URUSHAJI WENU''AU HATA WIZI'''' 
KWA WALE WOTE WANAOCHUKUA MKOPO KUTOKA KWANGU ''
Msichukue mkadhani msiponirudishiwa nitajitia kitanzi ,,mbuta nanga''yani kaeni mkijua mimi malengo yangu nikuwasaidieni mpate kazi za kuwalipeni pesa ya uhalali na tena hakuna Mtu anae weza kukupa mkopo hivi hivi hata hamjuani ''Mimi nimefanya hivyo maana I CAN DO IT''kukusaidia uweze kuacheni kujiuza Ovyo na pia kuweka maisha yenu hatarini kwani Uchangudoa tunaona ni nini hasa wanafanya na wapi wanafanyia '''na siyo kwa kupenda kwao ,yani mimi hayo ni Maoni yangu na my Goals'' One day ningependa iwe mwisho wa Machangudoa kujiuza kwa ukinaishaji na huku siyo kwa kupenda kwao ni kwa kukosa kazi za kuwalipa pesa za halali '' so ndo maana Mama Sheila uelewe'' kwa hiyo  Wewe  na wale wenzako watakao NIRUSHA JUENI PIA KUNA MUNGU NA MUNGU NDO KANIPA NA AKIWA NA MALENGO YANGU NIWASAIDIE WALE WANAOTAKA KUSAIDIWA NA SIYO WEWE UNAE KUJA KWA UTAPELI''' SASA KIDUKA KIMEJAA KWA MTAAJI WANGU '' NA WEWE SIYO WA KWANZA KUNITAPELI NISHATAPELIWA NA WENGI NA WENGINE WAMEJENGA MANYUMBA DAR''SASA HEBU WAULIZE WAKO WAPI? NA WALIYONITAPELI  ?? YANI NI NOMAA MSITAPELINI WATU WALA KUFANYA BIASHARA ZA SEMBE ZITAKUJA KUWATOKEENI PUANI NA MWISHO WA SIKU HAMTAONDOKA HAPA DUNIANI NA CHOCHOTE'' TUPENDANENI NA TUKAENI KWA AMANI NA HASA KUSAIDIANA NA SIYO KUTAPELIANA NA KUTAFUTIANA MADRAMA'S''RUWA MANGI''

5 comments:

  1. hahhahaaa..kumbe kaizi nakile kiduka chake kumbe vitu nivyako flora unahaki yakumfunga kwa wizi hou ni wizi tangu uwe na ushahidi mamiii''' patamuje hapa''

    ReplyDelete
  2. ruwa mangi hatofanikiwa hata tone analeta nyodo na hela za mtu sio? atajibiwa na mungu coz malipo ni hapa hapa dunian ahera atapata tabuu

    ReplyDelete
  3. flora lyimo wachana nae tena ndo utazidi kubarikiwa mamiii'''mwache tuone duka litadum miaka mingapi tunahesabu mwaka from now'' Sheila you need to get a life na pia rudi bongo ulaya makaratasi yatakuzeesha kama kibibi kizee''

    ReplyDelete
  4. Flora umejitakia wewe huu upuuzi,shilla hana kazi hapa london zaidi ya being a whore for a living to Nigerian men east london,nilikuonya that huyo dada anaumwa wazimu 100% now umejifunza the hard way

    ReplyDelete
  5. Masikini Dada Flora Lyimo ''yani ulivyo na Roho ya GOLD'' huyu shila tapeli si ndie ulikwenda kumtetea kule gela alikokuwa kafungiwa kusubiria kurudishwa tanzania ? ama kweli binadam hawana shukrani ''sasa ona alivyo kuwa anakutukana kwenye mitandao na ulivosema kakutafuta ukamtetee...mimi ningekuwa wewe wala nisingelijibu ''malaya mkubwa wa waume za watu na pia ni ligonjwa '' sasa MALIPO HAPA DUNIANI LINASOTEA DAR''NIMELIKUTA LIKIJIUZA USIKU 'Ptuuuuuuuuuuuu''nikalitizama nikalihurumia kweli'' Mungu atakulipia Dada Flora ..

    ReplyDelete