KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 8 July 2013

BY FLORA LYIMO~MBUTA NANGA'MAJANGAAAA!! HII NI YAKO SPORAH NJAU'a.k.a. THE SPORAH SHOW'' YOU OWN T.I.D. APOLOGY WITH HIS FANS 'WACHA UMBURULA NOW.KAMA UMEISHINDWA KAZI YAKO MPAKA UWAULIZE MAMBURULAS WAPISHE WENGINE WAJARIBU''HEBU MSIKILIZENI HAPA NA SOMENI WHAT IS FLORA LYIMO THINK"


WHAT WENT ON HERE IS ABUSE 'NOTHING ELSE'' Sasa wewe Sporah hebu jisikize Mwenyewe tena ,na tena 'huwezi na huruhusiwi hata kama ungekuwa Dactari'Afya ya Mtu au Ugonjwa wake unatakiwa kumuuliza yeye mwenyewe in a private'Or labda kama mmekubaliana na mkaandikiana na to be sign that you are agree with it' na siyo kama hivi kumuanika Live''kumwambia mtu yeye Afya yake siyo nzuri na huku umeshikilia mauchafu ulosomba huko mitandaoni ya Haters wake ambayo mengi ni ya Kimburulas na yenye kumtuhum kwamba anatumia Madawa ya kulevya (Drugs)na pia amekonda hata akivaa nguo hapendezi ,Ina maana hao hao wanaosema pia anatumia sembe 'ndo wamempa au ? mara anadokoa, Kusema kweli ungetakiwa uchague maswali yaku muuliza mengi yakiwa ni yako wewe Mwenyewe Sporah what your doing to T.I.D. Here is just ' ,abuse '' I'm sorry but you are and make me feel bad about you and All of those mamburulas'' Stop Abusing Him na kumuharibia Biashara yake ''Kudadadeki Watanzania tena kama wewe Sporah nilidhani ni Mtu ambae unatakia watu Mema kumbe ndo umeshakuwa wakuwatakia watu Mabaya tena kuwaharibia Biashara zao''so you just want to see all Watanzania not attend his Show kama wewe unavyofanya alafu ndo tukae Vibarazani na kwenye Vistudio tukiwasubiria waje ndo tuwashambe na hasa to Abuse them ? yani sikutaka kuambiwa nilitaka nione na kusikia mwenyewe and I just did that''na ndo maana nikaamua kukujibu pale nilipoweza '' kwani ninakazi zangu sina Muda huu wa Mamburula maswali ya Kijinga 'upumbavu mtupu' Tupa kule and I hope Wasanii wengine hutowafanyia hivi tena maana ndo will be the end of Sporah Show'' Mbuta Nanga'' Jirekebishe Mono Njau''Ruwa Mangi''



 T.I.D Live in London at the Pride of Tottenham 'hivi majuzi '' sasa wale Mamburulas waliomtumia Sporah Ujinga wao wengine wakisema kwamba eti amekonda na hata akivaa Nguo hazimpendezi 'je huyu hapa ni nani na je kapendeza au la''? Hebu muone Mnyama mwenyewe alivyo Pendeza na alivyo msafi'' yani People wengine nimewajua mpo Duniani kibahati tu'' siku itafika Bahati yenu iwe Mbaya ndo mtakoma kuwaharibia wenzenu Biashara zao'' na nyie tuonyesheni Kazi zenu na isitoshe hakuna Mtu anaekuja kuwaharibieni Biashara zenu ;''So Sporah na hao Mburula's wako ulowaomba wakusaidie kazi yako 'eti unawauliza wakuandikie maswali ya kumuuliza mteja wako na huku una maliza enterview yako alafu unawajeuzia kibao''Majangaa''Jamani next time angalieni maswali mnayonitumia nisije nikachapwa stejini''ALA'' KUMBE'' kumbe ulijua uliponea chupu chupu Eee,yani kweli T.I.D. hana hizo hasira za haraka mlizompachikia.angekuwa nazo yani ungejuta kuwauliza hao Mburulas Maswali ya kumuuliza the Big Mnyama wa wa Nyama' au angekuwa ni Flora Lyimo hapo sasa sijui kama Kuku angebakia na manyoya''(joke) Ila Dada kama kazi imekushinda waachie wengine wajaribu'' I mean 'why Wewe Mwenyewe usifikirie maswali ya kumuuliza ? hadi uje uombe HATERS zake wakusaidie? what do you think Haters wake wangekuandikia umuulize ? yani watu wote waliokuandikia Umburula wao are not T.I.D FANS'' na isitoshe take a look of hayo majina yao ''yenyewe ni ya Umburulas'' Sporah unatufanya nasi tuanze kukubandika kwenye Blogs zetu alafu turuhusu comments ''yani jua nyingi zikiwemo zitakuwepo za your haters alafu uone utajisikia vipi'' do yo know watu wengi pia wanauliza Maswali Mengi sana kukuhusu ni vile niseme Mimi mwenyewe siwekagi na pia sikuweki Picha zako ilikuepusha Ubaguzi? sasa leo hii nashangaa wewe una mharibia Mwenzio Biashara yake ''for what ? kwanza umemlipa how much na hata kama umemlipa huna Ruksa ya kumlazimishia Gonjwa ambalo unarudia tena na hadi una muambia una uhakika kabisa he is not Health''basi kumbe wewe Dactari pia' sasa hebu tuonyeshe vipimo ulovitumia kumpima T.I.D. kujua Afya yake siyo Nzuri ''Mbuta Nanga"



 


 T.I.D HAPA AKIWA ANAWAPAGAWISHA FANS WAKE HUKU AKIWEPO NA FLORA FLORA 'SHABIKI YA WATANZANIA WOTE WENYE KUIWAKILISHA NCHI YETU HASA HAPA UK MAJUU''

 HERE IS T.I.D. DEFENDING HIMSELF AT SPORAH SHOW 'MASWALI YA UMBURULAS'KUTOKA KWA MAMBURULAS.I LOVE YOU FOR NOT ANSWERING SOME OF THEM MY DEAR T.I.D ''SO PROUD OF YOU'' NA JUA KWAMBA KILE BINADAM ASICHOTAKA UWE NACHO NDISHO MUNGU ANACHOTAKA UWE NACHO AND YOU WILL ALWAYS HAVE IT'' SASA MAMBURULAS MTAJIPANGA TENA UPYA NA HUYO SPORAH WENU''

JUST MSOMENI HAPA NDO SPORAH ALIPOZIDISHA UMBURULA'S''

Sporah >Watu wanasema kwamba wewe siku izi umepungua sana hadi ukivaa Nguo hazikupendezi'


T.I.D.>I’m fit, I am healthy, I don’t care about what people say about me' it’s my weight, it’s my life, it’s my health. If am good, am good'


Sporah>Do you think you have good healthy at the moment?


T.I.D>Yeah I am fine, I am healthy'


Sporah>I don’t think you are healthy though'


T.I.D>Are you my doctor? Are you trying to be my doctor?


Sporah>I mean you don’t look healthy'


T.I.D>You think so but I look healthy. You haven’t taken me to hospital how do you prove such a thing? So you have a point, you brought me here today to tell me I AM unhealthy, you want to have an interview with an unhealthy person? I really don’t appreciate what you are saying if you are coming to the point like telling me straight I am unhealthy. I am healthy, you are not a doctor, you haven’t checked me yet so don’t try be.. (tusi) Na mengine mengi ni kama mlivyo yasikiliza hapo'' yani Hebu nyie fikirieni mtu akuite for Interview alafu aanze kukupa stress za maswali ya kimburulas 'Mengine mpaka hata Sporah mwenyewe kaonekana Mburula Live kwa kushindwa kumjibu T.I.D' Who is that?Mtoto wa Jakala?? yani utaona jinsi Umburulas ulivyoitawala hii Interview''



Sasa hebu ona Mburulas ''na hawa ni baadhi yao wapo wengi kibao yani kweli hawakuwa na kazi za kufanya na ndo mana naomba ufanye show ya LIVE TV'' Uwaalike alafu wakija mimi nitakulipa kwa Idadi yao wote walofika'' what ajoke' yani huu ni Uaribifu wa maendeleo ya Watu na siyo anything to do with sijui what''hivi mlikuwa mnampango gani haswa kumfanyia hivyo ''Show yake niliyohudhuria mimi was a nice show na sikuona pale ameanguka kwenye jukwaa au aliposhindwa kuimba ''tatizo ni waloishiwa kisumuni Watanzania wengi UK hawana lolote hasa siku izi hakuna Benefit zile za bure kama zamani na Wanafunzi pia hakuna na pia waliopo hamna zile kazi zao zakuibia ''yani hakuna kazi na hata Wanafuzi kwa ujumla'

Yani hamna Watu wakishua anymore 'na Wengine wenye vihela vyao vyakuweza kuja Club kama wewe Sporah Njau ndo wamekaa Vibarazani au niseme sebuleni (kwenye sofa) manyumbani mwao wakimsema na kupigiana sim, Vipi kuna watu wengi? ,vipi jamaa kapiga au kagoma''kudadadeki zenu''Mwengine kama T.I.D. hakuna 'yani alipiga Show yake utadhania kulikuwa na Watu mia tano'' badala ya watu watano''That's is a Really Msanii anae ipenda kazi yake na anae penda kuwakilisha Nchi yake''Will do ''and He did just that'' Be Bless T.I.D. Na usiwape nafasi kabisa  Haters na Mamburulas''your Personal (matters)Life is your Life na siyo kuja kuanikwa adharani''na pia isinge ingizwa kwenye Biashara zako''

Moto ndo ulipoanza kuwaka 'hapa ndo TID The Mnyama Mwenyewe na Sporah .a.k.a. Toto la Njau'' Ambae kwa Mtizamo wangu naona anaelekea kubaya siku kweli atachapwa Live ''Mbuta Nanga' Spora Ushauri wangu Mdogo ''Wacha kuwauliza Mamburulas wakusaidie Show yako ''I mean Maswali yakuwauliza wageni wako for Interview ''the show is yours and you need to make sure umeyachambua maswali ya wageni wako na pia kujua ni jinsi gani yakuwauliza maswali hayo na je yanaweza kuwadhuru vipi ? wao pamoja na Fans zao 'hasa Biashara zao ''kumbuka wengi hapa wanategemea Pesa kwetu sisi Watanzania wenzao tunao ishi Majuu wanapokuja Majuu kwa Show zao''

HUG'S

Hivi ni kwanini ulikuwa una taka aku hagi hagi ,akukumbatie huku umeketi chini ? how can you ask someone to give you a hug huku wewe kama mpokea wageni wako umekaa chini ? ungetakiwa kuamka ,kusimama then unamuuliza ask him for hug' au ndo ulikuwa wataka kumshika shika ili uone kama kweli kakonda ? why were you crying for His hug? yani mpaka nilitamani kuvunja my Laptop ''you were so annoying and Abusing Him' and that made me so Upset and Angry ''I don't want to watch the show anymore' you need kumuomba T.I.D Msamaha'' I mean wewe mbona Nguo zako zingine huwa hazikupendezi na huwa ni kubwa mwilini'so tuseme pia kukonda kwako ni Ugonjwa na hiyo ndo sababu au pia wewe unatumia sembe? what you feel watu tukianza kuuliza mitandaoni kukuhusu''and oh 'what happen with you and Jestina G' ulimchukulia Mme wake ? ndo sababu mkavunja penzi lenu na mlikuwa mashosti wa mwiko na ugali?'Yani Sporah don't even go there kuwauliza Haters wa Mtu wakuandikie vitu vya ku muuliza unae mfanyia Interview kabisa. Kumbuka hapa Duniani ukishakuwa na Kitu ambacho wengi hawanacho lazima utakuwa na Haters tena kibao 'so chakufanya ni kutokuwapalilia'kama unavyofanya wewe'' Anyway 'ni hayo tu from Flora Lyimo'Msema kweli wenu'mbuta nanga"

WATANZANIA MSOENDA KWENYE SHUGHULI ZAO''

Nikianza na wewe Sporah 'huendagi kwenye Shughuli zao hata Moja mimi tangu nianze kukusikia na kukutane na wewe uso kwa uso kwenye your studio sijawahi kukuona hata siku moja umehudhuria show zao 'Wasanii wa Tanzania hapa UK 'na huku wao wakija kwenye  studio yako unaanza kuwauliza Maswali ya kimburulas'' Au hata ukijishughulisha na kuhudhuria mambo yanayo wahusu Sisi Watanzania tuliopo Majuu UK 'Ningeomba siku moja ufanya Live Television show ambayo itakuwa broadcast at exactly the same time as you are interviewing Mtu' alafu uone kama kuna atakae kuja utaniambia Flora Lyimo ' nimekuonea hapa au hapana nimekuambia Ukweli wako'' Usione hawa Wenzetu waliokuwa fasta kukutumia maswali yao ya umburulas ukadhania wana mapenzi mema na T.I.D au hata ambae utakae mfanyia hiyo Interview '' Wasanii wanapata shida sana kupewa Pesa zao kihalali hapo na hapo tena kabla ya show au ya safari zao 'na vile vile Watanzania wenzao wakiwa ndo wanaogoma kwenda kwenye show zao kwa sababu zao binausi kukosa pesa pia kunachangia. Kwani kuishi majuu kwa Wengi ni hasara tupu ila wapo wapo tu 'anyway pia huwa wanambizana wasiende'' yani hii yakwako japo itakuwa pia ni bure licha ya kulipisha £10 pound pesa ndogo hivyo na inawashinda uone kama hiyo ya Live show watakuja''You know how good we are kwa kuangushana..Right'' na hicho ndicho tunashotakiwa kukipinga 'hasa kutokuwapa nafasi HATERS''Ila hapa wewe Sporah unaanza kuwashirikisha na kukukufanya wewe mwenyewe kuonekana Mburula''TUPENDANENI JAMANI AND YES YOU NEED TO APOLOGIZE''

Flora Lyimo Fashion Police "

13 comments:

  1. Asante sana Florah maana nimeona hiyo interview nikataka nimpige makofi kwenye laptop yangu. Hana ethics za maswali kabisaaaaa!!!! Swali moja linarudiwa na kubadilishwa badilishwa. I really congratulate TID kwa kuweza kukaa pale hadi mwisho wa kipindi.

    Alikuwa na lake jambo huyo chokraaaaaaaaaaaaa

    ReplyDelete
  2. Yeye mwenyewe sporah ni mgojwa kweli nyani haoni makalio yake, ameshare bwana na Jestina wote wanahesabika tu.

    ReplyDelete
  3. Thanks Flora Lyimo 'you say it all'' and here is the top up Naomba TID please do not attend her show anymore...did you see the stupid whore eti give me a hug?? TID akagomaaa mbuta nanga that was so embarrassing . Halafu the way she kept asking the same question over and over again just using different words...really puting Him on a very bad spot and such a DISRESPECTFUL interview..hata kama ni ukweli kuhusu Afya yake kupungua Sporah she had no right do to that...and on and on...yani nimechukia sana plus kakaaa UK miaka nenda her English and accent mbaya show yake kama wanarecodi na simu tena not even a smart phone...

    ReplyDelete
  4. Hahhahahaaa kweli wewe Flora Lyimo ndo kiboko yao''and the talk of mujini''''umeuwaa kweli sina lakuongezea IT WAS A STUPID INTERVIEW sijawahi kuona from you SPORAH''pole zake TID''
    na nikweli anatakiwa amuombe msamaha na pia sisi FANS wa TID wa ukwee''katuudhi sana nilitamani niingie kwa my laptop nimnyang'anye vile vikaratasi vyake vya maswali alivyokuwa anasoma upumbavu kutoka kwa wapumbavu wenzake nakuvimchania chania usoni mwake''shame on you SPORAH''

    ReplyDelete
  5. It's was just pure humiliation.
    Thank frola for standing up against huu upuuzi

    ReplyDelete
  6. flora lyimo nimekupendaje sasa'' Ingekuwa mimi ninge nyanyuka na kuondoka kabisaa nisingevumilia maswali yakimburula hata kidogo. Utamwambiaje mtu "mdokozi"? mara "anapokezana sigara kwenye club" "mara yeye anahasira sijui ana masifa" clearly Sporah wanted to humiliate MR TID!!!! hata kama fans wa TID wamemuuliza hayo maswali, Sporah angeyachuja kwanza kabla ya kumuuliza TID ''Sporah hakujiandaaa kabisaaa na hii interview alikuwa anabahatisha maswali tu na mengine alikuwa hata hajayasoma kabla ya TID kufika hapo maana unaona kabisaaa yalikuwa yanamshinda kusoma. Sporah I really like you but this was the worse interview I have seen from you'and flora lyimo hapa kakuambia ukweli mtupu' na narudia tena you did nothing but kumuharibia biashara yake ndo malengo yako makubwa na yatakushinda''rudi bongo machame kwenu ukachume kahawa'msunyooooooooooooo'''

    ReplyDelete
  7. kwa kweli alimuonea TID ,Sporah unatakiwa kuangalia vile wenzako wanavyofanya interview zao kwa mfano Salama wa Mkasi''mama utajapigwa mangumi bure'' hata sijui alivumiliaje hadi mwisho'and did you get HUG from him at the end?''majangaaaa''welldone florah'

    ReplyDelete
  8. yai leo kwa mara ya kwanza ndo nimekujua wewe ni mtu wa aina gani... kudos florag!!! u said them all,asante sana!!!

    ReplyDelete
  9. Big dada Flora!Atakukomajee??? Umenikosha sana kwa kichambo ulimchamba Sporah, hawezi kumtoa mwenzako kibanzi jichoni wakati yeye mwenyewe ana boriti kwenye jicho lake because even herself doesn't look healthy. Nampongeza TID kwa ustaarabu aliouonyesha wa kuweza kuwa mvumilivu hadi mwisho wa show. Huyo Sporah iko siku yake atapata mjinga mwenzake atamtoa nishai live, ni wazi kuwa ile interview haikuwa ya heshima na alidhamiria kumdhalilisha TID na alivyoona kashalikoroga akajishitukia akaona aue soo kwa kuomba hug shame on you Sporah! Kaogeeeeee!!!!! Ahsante dada Flora endelea kuwapa lesson wapuuzi kama Sporah

    ReplyDelete
  10. Hi Flora just reading your comments over TID and Sporah ! Big up for telling her the TRUTH ,that was an abuse to TID ,huyu fala kweli alikosa la kumuuliza TID.

    ReplyDelete
  11. Nimbay sana hiyo show asiitumie kudharirisha watu' tena TID alimmwaambia bora aulize maswali productive lakini ameng'ang'ania tu,hata show ya Diamond alishabikia mapenzi tu na issue ya Wema hakuwa na la maana.

    ReplyDelete
  12. Mjinga yeye mtangazaji ataongozwaje na mashabiki tena wasiompenda mtu unaemhoji??

    ReplyDelete
  13. huyo mburula spora mi niliwatch kipindi chake mara mmoja tu na nikaona utumbo tu! yee mwenyewe kakondeana utafikiri kifagio cha chelewa hana hata kashepu ka kuvali vile vinguo vyake vya mtumba wa wazungu walozichoka. changudoa huyo sasa kapata umarufu wa kipindi uchwara anajiona nae mwanamke katika wanawake. aende na yeye akatafute dawa za kumuongezea afya maana kama alipitia mwiko mmoja na jestina imekula kwake, afazali hata TID anaonekana ana afya sana kuliko yeye!

    ReplyDelete