KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 9 July 2013

BY FLORA LYIMO~ MATOKEO YA KILI MUSIC TOUR 2013 'MJINI MOSHI KWA WENYE MLIMA KILIMANJARO NA MBEGE YAO''WALIJITOKEZAJE SASA'MBUTA NANGA!!


Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva,Nassib Abdul a.k.a Diamond akiwajibika jukwaani sambamba na madansa wake wakati Onyesho Kabambe la Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013,lililofanyika kwenye Uwanja wa Ushirika Mjini Moshi ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro mwishoni mwa wiki na kuhudhuliwa na maelfu ya wakazi wa Moshi na mikoa ya Jirani waliokataa kupitwa na Onyesho hilo.
Msanii wa Muziki wa Bongo Fleva,Nassib Abdul a.k.a Diamond akiwapagawisha mashabiki wake wakati Onyesho Kabambe la Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013,lililofanyika kwenye Uwanja wa Ushirika Mjini Moshi ndani ya Mkoa wa Kilimanjaro mwishoni mwa wiki na kuhudhuliwa na maelfu ya wakazi wa Moshi na mikoa ya Jirani waliokataa kupitwa na Onyesho hilo.
Hapa sasa Kumekuchaaa'' Nilikuwa na Wangu akaniacha akaenda'nikabaki nalia na ........Malizieni Jamani huu Wimbo wa Lady JD'naupendaje sasa''
Wanamuziki wakongwe katika medani ya muziki wa kizazi kipya, Judith Wambura a.k.a Lady Jaydee na Joseph Haule au ukipenda waweza muita Profesa Jay wakiburudisha maelfu ya mashabiki wa muziki waliofurika katika Uiwanja wa Ushirika mjini Moshi mwishoni mwa wiki katika muendelezo wa Maonyesho ya Tamasha la Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013.
Hakuna Kitu kama Mbege'' Hata Mamka simtaki tena'''Mbuta Nanga''
Mkali wa RnB,Ben Pol akifanya vitu vyake jukwaani.
Barnaba Elias nae kwa nafasi yake na uwezo wake akiwajibika stejini.
Snura Mushi a.k.a Mamaa wa Majanga akionesha umahiri wake mbele ya mashabiki wake wa mkoa wa Kilimanjaro waliofurika kwa wingi katika Uwanja wa Ushirika kushuhudia onyesho la Tamasha la Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013.
Kundi bora la muziki wa Reggae Tanzania kwa mujibu wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013.  Warriors from the East, wakionesha uwezo wao katika kulimiliki jukwaa kwenye onyesho la tatu la Tamasha la Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013,lililofanyika kwenye Uwanja wa Ushirika mjini Moshi mwishoni mwa wiki.
Mkali wa Miondoko ya Miduara,AT akiwapagawisha mashabiki wake lukuki ndani ya Uwanja wa Ushirika mjini Moshi.
Rukeni tu 'hakuna Tabu Ushaggani kabisa''
Kundi bora la muziki kwa mujibu wa tuzo za Kilimanjaro Tanzania Music Awards 2013,Jambo Squard, wakionesha ubora wao katika jukwaa la tatu la ziara Kilimanjaro Tanzania Music Tour 2013 zinazoendelea nchi nzima.
Say ''Mbege''I say Kisusio'' Mbuta Nanga''
Mwamba wa Kaskazini, John Makini akifanya vitu vyake jukwaani.
Nani anajua Kidole hiki kina maana gani ?? weka mkono juu''mbuta nanga!!
Roma Mkatoliki. Mnaiona hii Rozari''niliipewa na Bibi yangu na siendi mahali bila kuwa nayo mkononi ''mbuta nanga''
Ni wagapi wamekunywa Mbege leo'' Mikono juu''Hahhahaa hakuna hata mmoja anakuelewa wote wachaleshwa na mziki  ''mbuta nanga''
Mwanamuziki bora wa Hip Hop 2013, Kala Jeremiah akiwarusha mashabiki wake juzi katika viwanja vya Ushirika jijini Moshi.
Nyomii' Yani hii ni Nomaaa'' Ruwa Mangi hata Mamka na Muona pale na Familia yake hadi na wafanyakazi wake wote'si kule Dukani kutavunjwa na Hela zote ziibiwe'' Mbuta Nanga''
Jay Dee Akisema yake pia'' Nataka Mbege'kwani mimi nasikia kiu sana x2  Wachagga Oyeeeeee''
Prof. Jay a.k.a Mti Mkavu. Karibuni sana Moshi yetu hakuna matata''Wachagga Mpooo''
Ona Swagga za Diamond na timu yake jukwaani.Hapana chezea kabisa'
Wakazi wa Moshi na Mlima wao Kilimanjaro.
And yes ndo Nyumbani kwa Flora Lyimo Fashion Police, yani kweli hakuna kama Moshi 'ona Tulivyo na Moyo wa Upendo na tukipigiwa Hodi tunavyowafungulia Wajeni milango yetu Fasta Fasta' Mbuta Nanga' I AM SO PROUD OF YOU MY PEOPLE' WACHAGGA NA WATANZANIA WOTE ''OYEEEEEEEEEEE!!
 
TUMESHIRIKI KUTOKA ''MM''

No comments:

Post a Comment