KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 5 August 2013

BY FLORA LYIMO ~ KAMA UTAANGALIA HII NA UKAACHA KUTOKWA KACHOZI 'BASI WEWE NI ANONYMOUS DUDUKOPO ' MBUTA NANGA' WATANZANIA USHOGA NI NOMAA'' SIKILIZA HII'' MAJANGAA' TAKE ONE 30/APRIL/2013 - HOT HOT - JACKY PENTZEL NA NDOA YAKE



FLORA LYIMO MTANZANIA HALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Kama ni hivi huyo Mwanaume anaakili timamu kweli?''mimi naona kama hana Roho ya Binadam pengine ana Roho ya Mnyama.. Wajua swala la kusema Umeibiwa /chukuliwa Mme huwezi kumlaum Mwanamke/Dem' LABDA IKIWA HUYO MWANAUME NI MAITI''Mimi ni Huyu Mwanaume ndo kweli angekoma'' Maana anajua wazi nini kinaendelea kati yake na alonae MKE /MPENZI 'Kama ni Moto na uwe Moto kwa Moto na Ukiwasha jua Kuuzima''
Lakini Kama Mwanamke /Dema ni Rafiki yako hapo ndo Moto zaidi '' yani Haponi Mtu aisee'' Mbuta Nanga' Kweli Wote Hao sasa watakuwa siyo Binadam wenye Roho za Ubinadam'' Huwezi kumuowa Mme wa Rafiki yako jamani 'na huku ndo katoka kumzalia tena kwa Shida hivi utadhubutu na wewe kumzalia huyo Mwanaume?'Ogopeni Mungu maana mnaweza mkalaaniwa na kuzaa vitu vya ajabu''' Ni aibu na Utalaaniwa Milele'' Hutokaa uwe na Furaha Maishani'' Mungu aniepushie nisije kukutana na Mwanamme wa Rafiki yangu Yani haiwezekani kabisRuwa Mangi''

 Ushoga sasa ndiyo huuuuu??...Yani Mwanaume Unaowa una ulizwa unasema unashuti Muviiii?(movie) Uwiii'' Yani hilo siyo limwanaume ni LIMBURULA'' HOW CAN YOU DO THAT TO MWANAMKE MWINGINE HUKU UKIOWA MWANAMKE MWENGINE NA YULE ULOMZALISHA UNAMTENDA KINOMAA'' SIUNGEOWA HATA MBWA INGEKUWA AFADHALI'' MBUTA NANGA'' NIMECHUKIA UTADHANI NI MIMI '' YANI MIMI NINGEKUWA NISHAUWA LONG TIME'' YANI WOTEEEEEE'' KUDADADEKI'' SOBUUUUUUUUU''SOBUUUUUUUU.NIMELIAJE KANILIZAAA VIBAYA MNO'' AISEE.POLE SANA MY DEAR...ILA TUMEJIFUNZA SANA KUTOKA HAPA'' MIMI MME WA MTU JAMANI SIMTAKII NA AKIJA KUNIDANGANYA NDO AJUE MGUU MMOJA UPO DUNIANI MWINGINE TUHARANI''' 

                     ''WANAUME WAKIBONGO HII TABIA YAKUWANYANYASA WANAWAKE /DADA IACHENI 'SIYO FRESH KABISA'IS JUST SO UGLY''

KWANI KUTENDEANA HIVI SIYO KISHUJAA KABISA'NA HUKU HUNA HATA UWEZO WAKUMLIPIA HATA SODA NA MKATE KILA WIKI?'' SO SO SAD' NIMEKASIRIKA SANA...'' NA KINA DADA/MAMA WACHENI TABIA YAKUTOKA NA WAUME ZA SHOGA ZENU  AU NISEMA MWANAUME UNAMJUA NI MME /MPENZI WA RAFIKI YAKO AU MTU FULANI ALAFU UNATOKA NAE''MIMI NAWEZA KUTOKA NAE IKIWA SIKUMFAHAM KABISA '' NA KWA KWELI JUENI KWAMBA KUNA WATAFUTAJI NA WATAFUTWAJI'' SO TUWE MAKINI NA HAWA WANAUME HASA WAKITANZANIA SIKU IZI NASIKIA NDO ZAO YANI TENA ANATOKA NA RAFIKI YAKO NA UKIMUULIZA NDO KUKUCHEKEA AU KUNYAMAZA KIMNYA'' RUWA MANGI''

''INTEVIEW SAFI SANA''' HONGERA MY DEAR''

3 comments:

  1. Hahahahaa ndo akome kulea Ving'asti'ambao ni vijana wa kiume wanao penda kulelewa na wanawake wenye pesa . Huyo Maryam alimweka ndani huyo jamaa na kuwa ana mhonga pesa , sasa ikala kwake kwani ving'asti huwa hawana reputation ya kutulia , wasanii karibu wote wa kiume wa Bongo flava. Ni ving'asti hahahhahahah''

    ReplyDelete
  2. Na wewe Flora siulishadanganywa na yule mme wa fifie ''Peter..ila tumekupenda ulimtupa kule yani flora sijawahi kukuheshim kama nilivyokuona umeachana na lile zugu''litaira limeshafanywa taira na yule kilema wake yani mwanamke yule pia ni mchawi hatari no way hata ungemzalia...lets put it that way''you are my number one Tanzanin lady INSPIRE ME'' YOU ARE MY INSPIRATION ''keep do your thing'mme wako Mungu alokupangia utampata tu''Thanks for this post by the way 'also I love your BLOG''

    ReplyDelete
  3. Huyo nae mwanaume au mwanaume suruali???!!! Halafu ninawashangaa sana hivi vishanshuda vinavyopiga kelele kutwa kwenye blog za watu oh flani kamwiba mume wa flani, hivi hao wanaoibwa ni misukule au watu na akili zao tena kwa taarifa yenu hao wanaojiita waume za watu wakianza kutongoza anakwambia nilikuwa na mke ila tumeeacha pete zinavuliwa vidoleni basi tafrani. Mimi nikimkuta mtu na mume wangu wala sijishughulishi kuongea nae hilo janadume ndio nitadili nalo maana angetulia wala huyo mwanamke asingemuona. Ila mijanadume ya Tz imefanya fashion kuwa na nyumba ndogo ndio kuonekana wewe rijali haswa, bora waislam wamewarahisishia wake 4. Nayo pia haitoshi unalikuta jibaba linawake 4 ila bado anatongoza wengine,jamani dunia imekwisha ni majanga tu. Tusubiri tu kutumia dawa za kuongeza maisha maana mtandao umekuwa haswa.

    ReplyDelete