KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 26 August 2013

BY FLORA LYIMO~ KUDADADEKI'' MAEX BOYFRIEND WOTE PUMBAVU ,MAHATERS WOTE PUMBAVU MAEX MKE /MME WOTE PUMBAVU'' YANI MAMBURULAS''' ETI WALE WASICHANA WALOSHIKWA MA SEMBE 'EXBOYFRIEND WAKE MMOJA ATOBOA SIRI NAKUSEMA ALIWAONYA WASIBEBE KWANI WALIMUAMBIA WANA NJAA NA PESA" RUWA MANGI' SIMUAMINIII!!

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Ndugu zangu najua wengi Watanzania ndio mnaoisoma hii Blog yangu zaidi na pia namimi niliifungua kwa Ajili ya Ndugu zangu Watanzania zaidi ''so I' AM  Proud and over the Moon to see that''Karibuni sana ''
Sasa basi leo ninayo machache yakuwanung'unizia'' Hii ni kuhusu wale wote wanajihusisha kwa Biashara Haram''hasa za Ubebeshwaji wa Unga'Sembe,Punda na mwisho wa siku yote hayo yakijulikana na Dunia kama Cocaine Biashara'' yani Madawa yote yakulevya'' Yamekuwa ni Njaa ya Pesa kinaomaa''
Sasa Mburula kama Huyu hapa Chini leo kajitokeza na kusema Eti alijua wale wasichana walikuwa wanakwenda kufanya hiyo Biashara' kwani walikuwa na Njaa ya Pesa akawakataza lakini hawakusikia'' Mimi kwasababu yameshawahi kunitokea kutendwa na EX'S NA HATERS WANGU ''Naweza kusema ninawajua Ex's na Haters'' wanavyoweza kujisikia Vibaya sana pale ambapo umewakataa'' Kimapenzi au kibiashara zao ''sasa wanaposikia unamatatizo wao ndiyo wakwanza kujitokeza na kusema Uwongo ili kukukomoa sijui ''yani nikiimanisha ''kukulipizia kisasi'' cha kuwaacha au kutokukubaliana nao' Kama mwakumbuka yule Mburula wa Mamburula's  William ''Big Shit'' alivyojifanya kwamba yeye ananijua sana Mimi ni Chizi sijui hili na lile''Kisa nilimkatalia kumuowa aje kujiuza Uk-London '''hivii anaweza kweli kwenda na mimi hospital tukapime huo ukichaa kama alivyodai mpaka na mahakamani atakuja kwa Kesi changu na Godbless Lema Mbakaji na Mbunge wa Arusha''?? Mungu wangu'' yani Mtu kuwa nae kwa Madakika na Kumpa zawadi zake kutoka UK kwa Marafiki zake ndo yamekuwa ananijua sanaa na pia nimeweza kumbebea Zawadi zake na Zawadi zangu nilizomnunulia Uk alizoniomba Mwenyewe 'hakuona Mimi chizi wakati huo..lakini nilipompotezea na Kurudi zangu Uk-London Bila kuowana nae''Ndo nimekuwa Chizi''''Kichaa''??Mbuta Nanga!!Yewoomi waka na wasoro'''hahhahaa''Ndiyo maana nasema hivi'' Huyu mwanaume hapa'
               '' SOMA HABARI YAKE HAPO CHINI'' 
SIMUAMINI NA WANATAKIWA WAFUATILIE KWA MAKINI SANA MALENGO YAKE YAKUSEMA KWAMBA ALIJUA KUWA WANAMPANGO WAKUBEBESHWA HIZO SEMBE''BASI MBONA ALIKAA KIMNYA 'MPAKA WAKAENDA KUKAMATIWA UWANJANI WAMEZIBEBA? HAKUWEZA KUSEMA MAPEMA NAKUWAJULISHA POLICE KABLA HAWAJAENDA KUFANYA HIVYO ? NA SIYO BURE HATA WAHUSIKA BASI ATAKUWA ANAWAFAHAM''LABDA ONE OF THE GIRLS ALOKUWA ANA DATE NAE ATAKUWA KAMUAMBIA NI KINA NANI WANAWABEBESHA''AWATAJE PIA IKIWA ANAJUA HAYO YA KUBEBESHWA SEMBE ZILE' NA SIYO BURE WABEBESHAJI ATAKUWA ANAWAJUA PIA'HAKUNA MOSHI BILA MOTO 'KAMA KAAMUA KUTUONYEHSA MOSHI NA MOTO ATUONYESHA PIA MAANA SIYO BURE 'KESHAJITOKEZA NA UMBURULA WAKE'CHENZI KANIFANYA NIKAKASIRIKA SANA LEO''POLE ZAKE YULE BABA WA ONE OF THE GIRLS ALOMPELEKEA MWANAE HADI BIRTHDAY CAKE JELA JUZI JUZI'''
Msikubaliane na Haters Maneno na pia Ex's'' NA LAMUHIM MY DEARS''KAENI MBALI SANA NA BIASHARA HARAM'' ZINA HASARA KUBWA SANA KATIKA MAISHA YA BINADAM WOTE DUNIA NZIMA'' NJOONI JIUNGENI NA MKOPO EXPRESS ''FLORA LYIMO NAKUJA KIDOGO KIDOGO NIKIWASAIDIENI ALL''WANAUME KWA WANAWAKE ''AMBAO WAPO TIYARI KUJISHUGHULISHA KWENYE BIASHARA HALALI NA BILA KUJALI MTAJI WAUTOE WAPI'' WhatsApp +44 7787471024'' Pamoja tutafika na kuangamiza Njaa na Biashara zisizo za halali''God Bless''

Shane Knowles, a heavily tattooed convicted fraudster, said Melissa Reid and Michaella McCollum Connolly were 'money hungry' and claimed it was their 'own choice' to carry the cocaine
Shane Knowles, a heavily tattooed convicted fraudster, said Melissa Reid and Michaella McCollum Connolly were 'money hungry' and claimed it was their 'own choice' to carry the cocaine'

A former boyfriend of one of the ‘Peru Two’ claimed yesterday that both women knew they were being used as drug mules and were warned not to go through with it.
Shane Knowles, a heavily tattooed convicted fraudster, said Melissa Reid and Michaella McCollum Connolly were ‘money hungry’ and claimed it was their ‘own choice’ to carry the cocaine.
The 37-year-old, who dated Miss Reid over the summer in Ibiza, spoke out as it emerged that his former girlfriend’s own father remained unconvinced by her story and wanted her to plead guilty.
Miss Reid, from Lenzie near Glasgow, and Miss McCollum Connolly, from Dungannon in Northern Ireland, were caught in Lima, the Peruvian capital, trying to board a flight to Spain with £1.5million worth of the Class A drug stashed in food parcels in their luggage.
 

The pair, both 20, claim  they were kidnapped and forced to carry the drugs by a gang of armed Colombian drug dealers who threatened to harm their families if they refused.
But Mr Knowles cast doubt on the girls’ account, claiming they knew exactly what they were doing and had plenty of chances to ‘walk away.’
‘I told them not to get involved,’ he said. ‘They were girls who hung around people with money in villas.
‘And then somebody made them a good offer and they went and did it.
‘Everyone is out there with no money, trying to make money and they obviously got an incentive to do it.’
Miss McCollum Connolly’s lawyer, Peter Madden, has repeatedly stressed that the women were not offered money at any stage.
However, Mr Knowles, who did not know Miss McCollum Connolly personally, but was aware of her circle of friends,  added: ‘They made a choice. There were plenty of chances they had to stop and walk away.
'They are going to have a hard time, aren’t they? Tough on them. All of these girls are just money hungry.
Melissa Reid, from Lenzie near Glasgow, and Miss McCollum Connolly, from Dungannon in Northern Ireland, were caught in Lima, the Peruvian capital, trying to board a flight to Spain with £1.5million of cocaine
Melissa Reid, from Lenzie near Glasgow, and Miss McCollum Connolly, from Dungannon in Northern Ireland, were caught in Lima, the Peruvian capital, trying to board a flight to Spain with £1.5million of cocaine''

‘[Melissa knew] another girl who did something naughty. The girl went and brought stuff back from Marbella.  It gave Melissa the confidence to do this.’
Bodybuilder Mr Knowles,  of Runcorn, Cheshire, lost his left eye in 1999 when he was nearly beaten to death in a gangland feud.
He started dating Miss Reid – who friends say took the horse tranquilliser drug ketamine during the month she was in Ibiza, but was not involved in dealing drugs during her stay on the island – after they met in San Antonio.
Mr Knowles, who claims he has left his criminal past behind, told the Irish Independent newspaper: ‘I had no connection whatsoever with this happening to the girls, only that I told them not to do it. I have not got one ounce of sympathy for them.’
The women, who were arrested almost three weeks ago, are currently being held in Lima’s tough Virgen de Fatima prison and it could be three years before they go on trial.
Miss Reid’s father said his daughter should change her plea to guilty in order to get a shorter sentence.
The two Britons could be sentenced to 15 years if convicted following a trial, whereas if they admit the charges they may get off with six years and eight months.
Melissa Reid's father, William Reid told The Mail on Sunday that he's not totally convinced by the Peru Two's version of events and he wants his daughter to come clean and plead guilty
Melissa Reid's father, William Reid told The Mail on Sunday that he's not totally convinced by the Peru Two's version of events and he wants his daughter to plead guilty to receive a lesser sentence

Mr Reid was reunited with his daughter Melissa at Dirandro police station in Lima last week
Mr Reid was reunited with his daughter Melissa at Dirandro police station in Lima last week''
William Reid, 53, who works for the National Grid, said: ‘They should plead guilty. God forbid, if it goes to trial, you have the prospect of receiving that 15-year sentence.
‘It’s indefensible to say that they didn’t have drugs or know they had drugs. They did carry the drugs.
‘They were found to have drugs on them. They collected packages which transpired to be drugs. They are going to be guilty of that.
‘If that’s the Peruvian law, regardless of the mitigating circumstances, then you are as well pleading guilty rather than defending that to the nth degree and be sitting there with 15 years that you’re trying to appeal and reduce.
‘These girls are young. They may be living in cloud cuckoo land and thinking that magically next week they’re going to go free.’
Mr Reid confessed that he was still not ‘100 per cent about their story’. ‘But two girls, who prior to Ibiza did not know each other, are telling a very similar story,’ he said.
‘They have been pretty consistent all along. Only those two girls know the truth.’

TUMESHIRIKI NA KUCHAMBUA KUTOKA DM''

No comments:

Post a Comment