KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 28 October 2014

WHATS NOW? MATOKEO YA BIRTHDAY PARTY YA STAA WA FILAMU ZA TANZANIA 'AUNT EZEKIEL '' MAMBO YALIKUWA YA PINK LOVE'' WACHAFUAJI WALIKUWEPO KIBAO HATA BEST YAKE WEMA SEPETU NAE NDIYO KABISAA USIPIME'' ULE URAFIKI WA KUVAA NGUO ZA KUFANANA ULIKUFA LINI ? ''MBUTA NANGA!!



HAPPY BIRTHDAY OUR SUPER STAR 'BE BLESSED ALWAYS'ILA'' HILO GAUNI YANI USINYANYUE MKONO JUU KABISA KUONYESHA MAKWANI TU'' MBUTA NANGA''
Staa wa Filamu Bongo, Aunt Ezekiel akikata keki  ya bethidei yake ndani ya Ukumbi uliyopo kwenye   Mgahawa wa Rodizio Masaki jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo' .
Aunt Ezekiel akimlisha keki Wema Sepetu Ambae ni Best yake'' Sasa Flora Lyimo Fashion Police' najiuliza hivi ? ULE URAFIKI WAO WAKUVAA SARE NGUO HADI WIGS ULIKUFA LINI ? Maana hapa naona Wema amekuja kumchafulia best yake siku yake muhim kabisa' Ona hiyo Nguo gani sasa Wema kavaa na huku haimtoshi kifuani ndipo akaona afungue vifunguo na kubakia nusuuchi ' And why Black and not Pink Love'' Yani jioneeni wenyewe ,Hii party inajieleza yenyewe na hata Aunt kaivalia Pink kama dress code yake pamoja na Cake yake ya PINK LOVE'' SO JUENI MMEFIKA KUCHAFUA NA SIYO KUPAMBA''MBUTA NANGA!!.
Shilole (kulia), akilishwa keki na Aunt Ezekiel.
Msanii wa Filamu Bongo, Jacob Stephan 'JB' akilishwa keki na Aunt Ezekiel.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Bongo Movie Unity, Steve Nyerere akilishwa keki na Aunt.
Msanii wa Filamu Bongo, Wellu Sengo (kulia), akilishwa keki na Aunt Ezekiel.
Aunt Ezekiel akimlisha keki Shamsa Ford.
Msanii wa filamu Bongo, Jack Wolper (kulia), akiwa katika pozi na Aunt Ezekiel muda mfupi baada ya kulishana keki Flora Lyimo Fashion Police..nasemaje'' NGACHOKA'' Jakilyinyi komonoko irindalii ni lye WIITSA KAPITSA'' OMUICHO MONOKO' yakuchihiya pfo '.
Mwigizaji Elizabeth Michael 'Lulu' akilishwa keki na Aunt Ezekiel kwenye sherehe ya kuzaliwa kwake iliyofanyika usiku wa kuamkia leo ndani ya Mghahawa wa Rodizio Masaki jijini Dar es Salaam.
Mwanaharakati Lemtuz akikumbatiana na Aunt Ezekiel mara baada ya kumlisha keki.FLORA LYIMO FASHION POLICE'Nasemaje ? Ukiwa umevaa nguo kama hii ya kufunua makwapani na pia ukijua makwapani kumegandiana ule weusi weusi kwa kunyoa au kutokunyoa'' USIMKUMBATIE MTU MPANA KAMA BAHARI YA HINDI 'HIVI''YANI UMEBAKIA MCHAFU HADI KICHEFUCHEFU KWA AJILI YA HUYU KUBWA JINGA ,NEXT TIME KWA YOYOTE MPANA HIVI ''WEWE MPE ZA BUSU ZA USO NA KUISHIA HAPO HAPO
Msanii wa filamu ambaye pia ni rafiki kipenzi wa Aunt Ezekiel, Nice Chande (kulia), akilishwa keki hiyo.
Msanii wa filamu Bongo, Vivi akilishwa keki hiyo.
Msanii wa Bongo Fleva Diamond akiwa amekumbatiana na Aunt Ezekiel muda mfupi baada ya kuwasili mahali hapo.
Diamond na Aunt Ezekiel wakijadiliana jambo muda mfupi baada ya kuwasili ukumbini hapo.
Diamond akiangalia moja ya mshikaki kutoka kwa mmoja wa wahudumu wa mgahawa huo.
Jack Wolper akigongeshana glasi kwa mbali na baadhi ya waalikwa.
Wema Sepetu akikumbatiana na watoto wa dada zake Aunt Ezekiel muda mfupi baada ya kuwasili ukumbini humo.
Baadhi ya waalikwa wakiwa mezani hapo.
Wema akimpatia zawadi ya hereni za dhahabu Aunt Ezekiel.
Aunt akimlisha keki rafiki yake.
Msanii wa filamu Bongo, Daudi Kipungani (kulia), akilishwa kipande cha keki.
Wema akimshushia mvua ya fedha Aunt Ezekiel.
'Minoti' aliyomwagiwa Aunt Ezekiel.
Nice Chande (wa kwanza kulia), akimwagia dola Aunt Ezekiel 
NGACHOKA 'YANI NIMECHOKAA'' NIKAMA MLISTUKIWA HAMKUJUA MWAENDA KWENYE PARTY YA SUPER STAR WA BONGO MOVIE ? MBUTA NANGA'' NI TAAAABUUUUU AU NIIKOSA WAI '' NI SHIDA AU NI KUKOSA''.
(PICHA: MUSA MATEJA/GPL)

No comments:

Post a Comment