KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 24 August 2013

BY: FLORA LYIMO ~ NIKISEMA HAPA KAMATA MWIZI WA LAPTOP AU MTOTO SIMTAKUBALI EEE'''YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE OF 24/08/2013 ''MAMA NA MWANAE WAMEVAAJE ?MBUTA NANGA!!

 Yani hapa hebu muone mama na mwanae,anavyo mburuta utazani wametoka kuiba au kamuiba huyo Mtoto si wake vile'' na walivyo vaa? Hivi huwa kumbe ulemsemo usemao huwezi kufanya Baya kwako ukaacha kulifanya kwa Mwanao  ni kweli kabisa hasa pale ambapo watoto au mwanao huyu bado ni Mdogo anakutegemea wewe Mama 'ukisema Panda anapanda ukisema shuka anashuka''' Ruwa Mangi''
Hhahaaaa''kamata mwizi Mannnnnnnnnnnn"" whats a joke'' 
 Huu ndio baadhi ya wimbo wao ambao Mimi nilipokuja Uk-London ndo wanavuma kinomaa'' Ama kweli kila kitu kina Mwanzo na Mwisho wake'' and is not Bad to do things ukijua Kesho vitakuwa na Mwisho au one day vitakuwa na Fundisho kwa Wengi ''' Enjoy the song''' I'LL TELL YOU WHAT I REALLY 'REALLY WANT''' ITS YOU ,ITS YOU  'ITS YOU MY AFRICAN KING'' hhahaa'' Huu Wimbo haunihusu na wala sijaubadili ''ni vimistari vyangu tuu''''nimejaziaaaa''I can sing pia eee''
Hao Hahahhahaaaaa''Utazani wametoka kuiba hiyo Laptop'' Mbuta Nanga" Huyu ni Mel B'' Star wazamani wa kina Spice Girls kundi la kina Victoria Beckham'' kwa kusema kweli Kama Mama na ndani ya Mji wa Majuu wa New York na Ustar wako wote kuvaa hivi no No AVOID kabisa''' na wacheni kuwaburuta Watoto wapeni Uhuru wao '' She is miaka sita' sasa hilo likofia nilanini ? hata haliendani na Gauni lake la skirt and Blouse 'Jamani hawajawaombeni Muwe Mastar''hahhahahaaaa'''' USTAR UNAKAZI KWELI KWELI '' Bora kutokuwa ili uishi maisha yako upendavyo nasiyo uwe unaishi kiwasi wasi kila wakati''' Kama Tajiri vile''saa zote Wasi wasi ''Mwizi aja..Jambazi aja''' Mwanga aja''Yani kila Dakika yeye ni Wasi wasi tu'' Ruwa Mangi '''Have your Say People''Nyota zangu mpo'''What you think '''

No comments:

Post a Comment