KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 8 August 2013

BY:FLORA LYIMO ' LONDON LIFE STYLE KWA WENGINE'' BAADA YA MADUKA KUFUNGWA MJI MKUU WA UINGEREZA NA MTAA WA MAPESA !!

 Pesa zake mnaziona ee,alafu pakirushwa za note's yani Pesa za karatasi 'you know''anazichukua fasta fasta na kuzihifadhi akiacha  ndururu  tu na kufanya kama hajapewa za maana'' hapo yupo na sim na Mbwa wake akitizama na macho utadhani ni Mtu na Mtoto wake''Labda''Maana Wazungu huku ulaya wanapenda sana Mbwa hata na wengine huachia Mbwa pesa zao zote Benki na kuwaachia Watoto wao card za Benki zisizo na kitu na uwezo wakutoa chochote kwenye Benki zao'' Mbuta Nanga'' chezea Wazungu nyie wawaacheni kwenye mataa''

 Hapa mnajionea Vitu vyake na pia kasahani ambacho wasamaria wema Watalii wanamrushia Pesa humo''Sasa sijui wanampa hizo Pesa kwa kitu gani haswaa''



Huyu Dada/Mama hapo alipojilaza ni kando ya Duka kubwa hapa London Oxford Street .akiwa anaomba Pesa na huku yupo na Mbwa wake na anatuma meseji au kujifurahisisha macho na sim yake ya mkononi'' Yani ni Omba omba hivyo na sim anayo powa tu'' ikawaje apendelee maisha haya kwa kweli ikiwa anauwezo wakuwa na sim Bomba na Akili timamu zakuweza kujimambozia humo'' Mbuta Nanga'wajua hawa watu tena wana pesa hata kumliko mfanyakazi wa hapa Dukani alipojilaza baada ya Duka hili kufungwa''

No comments:

Post a Comment