KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 30 August 2013

BY:FLORA LYIMO~ MSIKILIZENI ZARI AKITUAMBIA AACHANA NA MWANAMME WAKE WA 12 YEARS ON SPORAH SHOW'' AND YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE 'HERE IS WHAT SHE HAVE TO SAY TO SPORAH AGAIN'''' ? HIYO NDOA SPORAH ULIMFUNGIA WEWE AU?? KESHA KUAMBIA HAWAJAWAHI KUOWANA LEGALLY ''WEWE UNATUTANGAZIA KAONGELEA JUU YA NDOA YAKE 'WHICH NDOA? MBUTA NANGA!!!

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
NDUGU ZANGU WATANZANIA HABARI ZA MCHANA POPOTE PALE MLIPO NA TUMAINI HAMJAMBO KABISA''
Sasa leo nimeona nisiwapostie hii Interview  ya Zari na Sporah bila kuwaambieni nini hasa kinachoongelewa na nini hasa kilichoandikwa''  And hii ni mara yangu ya Pili kutaka kumuambia Sporah Ukweli wake hasa wa pale napokosea kwenye mahojiano yake na wageni wake''
Kwanza kabisa 'Sporah my dear 'I LIKE YOU AND I AM SO PROUD OF YOU '' Kwa kutokukaa Home nakufanya nothing ''na kwakusimama Imara kuiwakilisha Nchi yetu ''Yani I think you do know that pia'' Kwa hiyo usione nikiupata Muda wangu nikakuandika hapa kuhusu Show yako ukadhania kwamba sikupendi au kunakitu nakutafuta au ninaugomvi wowote na wewe ''no and never ''why ? Kwasababu no need of it at all'' hata wale wanajikuta wakitukanana na mimi huku ni wale ambao hawapendi kuambiwa Ukweli wao'' Sasa basi tukiendelea na Point zangu za leo kuhusu your Interview na Bi Mama Huyu '' Zari aka Boss Lady''
Sporah> Unatakiwa kumsikiliza mtu anapoongea na kujua nini anachokiongea na kuweza kupata swali la kumuuliza kuendana na majibu anayokujibu au mwenyewe anavyojielezea kwake na topic yenu inahusika na nini haswa'' Zari kakuambia kwamba she never got Married to Ivan ,Her Man of miaka kumi na mbili na watoto watatu juu''sasa wewe mbona unamkazania on Marriage when it never took place? hawajaowana na kakuambia hamna makaratasi yakukimbilia kutiwa saini za kuachana'' kwa hiyo wao walikuwa wameishi miaka hiyo yote 12 bila kuowana''
''YOUR MISS POINTS'
Flora Lyimo> Your key point hapa,Ungetakiwa kumuuliza WHY T
HEY DIDN'T GET MARRIED? AFTER HIYO MIAKA 12 YOTE PAMOJA NA WATOTO JUU??TENA WATATU ? THAT IS WHAT YOU MISS OUT BIG TIME AND I DO THINK MANY PEOPLE WOULD LOVE TO ASK HER THAT QUESTION IF WAKIMSIKILIZA HAPA KWENYE HII INTERVIEW YEKO''
Yani kuna vitu vingi sana ambavyo ni vya muhim ambavyo hujamuuliza wewe mwenyewe ukiwa kama mwenye Show yako na unaetaka watu wakusikilize na kukupa Yes ''for what you did''badala yakutaka kuvunja Laptop zao na masim kutaka wakunyang'anye hicho kikaratasi chako chenye Maswali ya Public Mamburulas yanayokupotezea Muda na Muda wetu pia wakukusikiliza only Mwishoni tunabakia tukisema what the F'''? anyway ''Nafikiri umenielewa na lingine ni kwamba''
KUDANGANYWA NA WAUME /WAPENZI WENU KWA KUWAITENI WAKE ZAO HUKU MKIWA HAMJAOLEWA LIGALLY''
Sporah na wewe I hope hudanganyiki ''maana nimekuona na hiyo pete yako ya uchumba muda mrefu now''sasa Harusi mwenzetu hatujaiona wala kuisikia'' Usidanganyike kuvishwa pete na kuitwa my Wife kwa msim na kwa ham'' kama mtu anakuvalisha pete ya uchumba na anakaa miaka bila kukuowa kihalali yani Haina haja kabisa unadanganywa ''Na hii ni kwa Wengi ambao huishi na Mwanaume wakijivisha hadi fake pete za ndoa uwongo ili waonekane kwamba wameolewa''that is so sad na mwanamke kutokujiamini na kujilazimishia kuolewa huku mwanaume huyu akikucheka kimoyoni''yani umekaa ndani na Mwanaume wako yeye hana Mpango wakukuowa wala kukuchimbia kukuvisha pete ya Uchumba,,wewe uende zako kujinunulia kapete chako na kuanza kukivaa''how sad is that?? dont do it my Ndugu wadadas Kama hakuowi basi nauisijidanganye wewe  Mwaambie tuowana au tuachane''hakuna kukaa na mwanaume ndani Bila kuowana hiyo ni Dhambiii''Mbuta Nanga''Na usikubali kudanganywa kabisaa na rudia tena Usikubali kudanganywa'' Yani Hebu ona sasa Zari kama siyo kutuelezea kwenye hii interview yako 'si watu wanajua wameowana kwa pale pengine wamemuona na pete au amekaa na huyu mwanamme ndani na kuzaa pamoja na huku wakiitana my Wife my Hubby'' yani ni nomaaa'' Now kayatoboa mwenyewe hawajawahi kuowana Legally wao walikwenda to meet the Parents tu'' Sasa simwaona kuna kitu hapo'' Ni kwanini hawakuowana?? na hapo ndo ungemuuliza''haya sasa next time Muulize that swali ''ndilo wengi wanatakiwa kujua'' na pia kujifunza Ikiwa hakuna kizuizi 'MSIKAE NDANI NA MWANAUME IKIWA HAMJAOWANA NAE''HATA SISI WAKRISTU TUNAAMBIWA KWAMBA NI VIZURI KUISHI NA MMEO KAMA MMEOWANA TENA LEGALLY ''KANISANI NA NDOA ZENU ZIPATE BARAKA,,ONA HAYO MALAANA SASA''WANAACHANA KWA MIAKA 12 WAMEKAA PAMOJA BILA LEGAL MARRIED AND THEM BLESSING'' YOU SEE '''AND I LIKE IT WHERE SHE ALSO SAY'' Mwanamke hajamfuata Mwanaume wake huyo ''huyo mwanamme ndo kamfuata mwanamke huyo ,,she know that ''Mwanaume huyo ni Kitombi tombi full stop'' And I love her for that''Ukimkuta mwanaume wako anakula Nnje wewe Wajibika nae na siyo anaemlishia Mle Nnje'' na hiyo ni fundisho kubwa sana Ndugu zangu Watanzania ''When your man cheat on you with other Woman 'dont go mad at the Woman''Go mad at your Man'' mliona juzi Dem alivyopigwa Chupa kama nilivyosoma na kuona Picha mitandaoni za Aunt Ezekiel na Ivon kule Tanzania juzi'' sasa nasikia kisa ni Mwanaume?? Mungu wangu ''kwanini huyo Mwanaume wasimchemshe Supu wote wakamnywa badala ya wao kwa wao kupigana kisa Kitombi tombi'' what the F''? Now jifunzi tena from Zari hapa'' The Woman never go to a Man''the Man go to the Woman' Habari ndo hiyo '' Na Zari kaamua kumuacha Mwanaume huyo ''yani I do Think she did the right thing kwa sababu ikiwa hataki kumuowa why stay with Him na huku anakuchitiiii (cheat) Dawa ndo hiyo ''Tupa kule ''Anyway wacheni niachieni hapa''maana ninakazi zinanisubiri kibao na hapa nimejilazimishaje ''Your Flora Lyimo Fashion Police'' 

ZARI aka THE BOSS LADY AND SPORAH OF THE SPORAH SHOW'
Hapa ndo wamekaa wakianza kuulizana maswali na majibu hasa kuwajibuni nyie mnao Mfanyia Sporah Kazi yake yakuuliza maswali badala yake Sporah kujua Maswali yakuwauliza Wageni wake mwenyewe'' Ok''Pengine hivyo ndivyo anavyopenda kuiendesha Show yake''lakini ajue kwamba Hayo maswali kutoka kwenye Public yanamuangusha pale ambapo anajikuta anakosa zile key point's zakumuuliza Mgeni wake''na pia kutokumsikiliza kwa makini kwaajili yakukimbilia kuuliza maswali ya waulizaji wa Public'' Mitandaoni''if wanataka kuuliza maswali basi fanya live show waje kuuliza hayo maswali wenyewe'' stop kutuharibia Muda wakukusikiliza kwa maswali ya haters wa watu pls..we love you and love your show and hasa the person you have on your interview at a time'' so that is why hata Mtu kama Mimi naacha nachokifanya kukupa my Feedback ili next time upate to do it better'' 
  • SASA NAOMBA KUWAULIZA KAMA MMESIKILIZA ZARI MANENO YAKE KUTOKA MDOMONI MWAKE'' ALISEMA KAOLEWA ? LINI NA SAA NGAPI ? NA HIYO NDOA MLIFUNGIA NYIE? HIVI NI KIZUNGU KINAWAPIGA CHENGA AU NINI MAANA SIJAWAELEWENI KABISA'' SHE SAY SHE NEVER GOT MARRIED TO IVAN''BADO MNAMKAZANIA IN HER MARRIAGE IN HER MARRIAGE''''' ELEWENI MAJIBU KWANZA NDIPO MUULIZE MASWALI''' AND DONT JUST PUT WORDS IN TO PEOPLES MOUTH'' MNAMBANDIKIA MTU MIJIMANENO YENU MNAYOFIKIRIA NYIE NA KUTUUMIZA AKILI WENGINE SIE HUKU AMBAO TUNAJUA KUSIKIZA NA KUELEWA NDIPO TUNAPOROMOSHA MIPOCHOPOCHO''''FLORA LYIMO NIKIWA HAPA MIMI HUWA SISEMEI KITU KAMA SIJAKISIKIA AU KUKIFUATILIA VIZURI '''YANI HEBU MSIKILIZENI HAPA TENA'' KASEMA ALIOLEWA LINI ? SHE NEVER GOT MARRIAGE TO IVAN'' SAWAA EEE''OK NAONA SASA MME ELEWA'' 

    FLORA LYIMO FASHION POLICE''YUPO KWA KUWAAMBIENI MAUKWEE'   

5 comments:

  1. Da flora naomba nikueleweshe kisheria mwanaume na mwanamke wakikaa ndani ya nyumba moja kama mume na mke kwa zaidi ya miaka miwili wanatambulika kama mume na mke halali kisheria inaitwa presumption of marriage so watu wanapo refer ndoa ya Zari ni sawa kabisa hawajakosea

    ReplyDelete
  2. Da Flora Lyimo hongera sana kwa points zako yani unatakiwa uwe una interview watu na wewe maana tunakuaminiaa'' kwa kweli miwanaume ya kiafrica hata uipe nini airithiki hata kidogo,Maamae zako ivan khaa zari una moyo sana my dear,yani bora nikajitafutie zangu kibabu cha kizungu miye.mbuta nanga'' I love you fashion police wetu'

    ReplyDelete
  3. Anonymous of 00.32...Usidanganyike na wewe my dear''' Nothing like THE REALLY THING'' NDOA ZA UKWELI ZA KUBARIKIWA KANISANI '' AU NISEME ZA KUBARIKIWA ''' KUISHI PAMOJA BILA NDOA HATA MIAKA MIA..YES IT CAN BE PRESUMPTION OF MARRIAGE''AU UPENDAVYO KUIITA AU WAPENDAVYO KUIITA'''BUT STIL STAND LIKE THIS ''ACCEPTED TO BE TRUE for borth to ISHI KAMA MME NA MKE..BUT NOT CERTAIN TO BE TRUE THAT YOUR BLESS AND IN REALLY LEGGALY Married''' Tena hiyo sheria ndo imepitishwa juzi juzi tu,zamani hizo haikuwepo '' so kwani wewe hujisikii Vizuri jamani kufanya kweli? 'kama vile Hapo zamani ilivyokuwa na Milele should be''to get Married in the Church ?? yani to Me hata wasemeje''kama Mmeishi na Mwanamme ndani bila kuolewa au niseme bila kuowana,,is just not your Wife or Hubby wanavyopenda kujiita my Hubby my hubby na mapete FAKE ya kujibandikia utazania basi wametimiza agano la Mwenyewezi Mungu kumbe wapi'''Wizi na Umburula mtupu '''and by theway ''siyo lazima ufanye masherehe hata mnaweza mkaenda kuowana kanisani just the 4 of you peke yenu''' so usidanganyike,,get Married Kisheria in Church to BE BLESS''Nausiishi na Mwanaume ndani Bila kuolewa,just kwasababu sheria itakutetea kujipatia hivyo vijisenti na pia kunawengine hawana lolote you just have to go with nothing dear'so be better off get them Blessing from the Church na kwa Wazazi wa Pande zote mbili'' RUWA MANGI'''

    ReplyDelete
  4. Yako yanakushinda unazungumza ya watu Hebu nipishe mie

    ReplyDelete

  5. Flora Lyimo''after viewing your photos in facebook and here in your blog'you know what! you are a kind of women never get born twice
    yo are vibrant, bubbly,lively, above all you seem loving and true at all levels
    may God bless you n keep you that way till last breath of you and that has to be at least when you are 125 years old.

    ReplyDelete