KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 20 August 2013

BY:FLORA LYIMO~ MWANAMKE KUJIAMNI'' SIKU NYINGINE TENA HII ''TUMSHUKURUNI MUNGU'' WELCOME TO MTAA WA MAPESA 'RUWA MANGI!!

 YOUR FLORA LYIMO  FASHION POLICE 'AKITENGENEZA PESA ZA HALALI ZAIDI'' Karibuni my Dears'' Haijalishi kama Kiatu cha Ukwee au siyo ''Wewe bora umekivaa na kukitembelea juu kwa juu tena kwa pesa zako zaidi ' Mambo ya kusema cha uongo mara Fake mara hili na lile ni Umburula na Mburula Akipata Kitu cha kupewa na hata hajui kama ni cha ukwee au la''yeye Mdomo utakavyo mpanuka ni hatariiii'''Anyway 'Tujifunze ule msemo unaosema ''ALIE KUPA WEWE 'NDIE ALIE NI NYIMA MIMI'' So wewe vaa chako kisicho FAKE'' Na wengine waache nao wavae vyao vilivyo FAKE'' Mwisho wa siku nyote mmevaa Viatu hamjatembelea pekuzzzzzzzz''mbuta nanga'' Mwanamke Kiatu na akijulie mavaazi yake zaidi''






 I love my Mgongoooooooooooooozzzzzzz''' natamanije kujiona''hehehee''mbuta nanga where is my African King wa my Life'a.k.a. My Mirror'' I cant wait ......It must be Love ,Love ,Love''''Enjoy what your doing my Happy People''

Karibuni kwa Jumla na hata kwa Reja Reja'' Tupo Mtaa wa Mapesa 'Oxford Street London 'Mji Mkuu wa Uingereza'' Na Hata in Tanzania Vitu vya Majuu kutoka London vitakuwa vinapatikana mitaa yote'' kwa sababu Flora Lyimo yupo na pia anatoa Mikopo ili Sote tuweze kufanya Biashara za Halali na siyo zile zisizo za halali '' Stay Bless na Wasiliana na Your Inspire'' Flora Lyimo WhatsApp +44 7787471024'' Karibuni ,Welcome'' 

6 comments:

  1. Mbuta nanga leo umenena point tena hivyo viatu vyenye soul nyekundu navitaka na mimi nitinge juu kwa juu Kiruu no fake zone atajibeba maana na yeye nywele zake sio fake hahahahahah maisha haya mi sina hamu eti no fake zone matako!

    ReplyDelete
  2. mdau umeona ee,,yule wa kule kilasiku kutu umiza kichwa kwa fake zone zake na hujakosea maana yeye ile minywele yake ya vibandiko siyo fake eee,,hahahaa..miss flora lyimo naomba hivyo hiatu vya red soul mamii namimi nikawatembelee juu kwa juu..mbona watanikoma mie...mbuta nanga..

    ReplyDelete
  3. I love you flora lyimo ..naomba namimi unipe mkopo please mamii nataka kujiunga na biashara zako za halali mpora..kiruuu,,na mangi umeona alivyo anza kukuiga ..hakuwezi kabisa akajipange upya,eti nalo limetangaza kufungulia watu maduka ..hivi anajua maana yakufungulia watu maduka...hahhahaaa majangaaa....nakujitangazia lengo lake ni kuuwa botiq za watu hivi ana akili yule mama''kweli hanazo kabisaa hebu kalisome kwenye blog yake...sasa mbona anakuiga na betina alisema amemuiga kwa kuuza mac?

    ReplyDelete
  4. Nyie watoto ma anoni hapo juu wapana! hadi raha hapa duniani hakuna mwanzilishi wa kitu chochote kila mtu anaiga so kila mtu fake zone awe Mrs Meru, awe Mwamvita awe mama Abdul awe Paka shuma etc etc . Tena nimekereka kweli kwa kujigamba mtaji wa dola 15000 pfyuuuuuu bull shit. mpasulie mpasulie masifa mpaka yanaudhi anakuiga anakuiga idea zako Mbuta nanga!

    ReplyDelete
  5. kufungulia watu maduka kwa dola elfu 15 hahaha nisicheke mie, mi nilidhani anakopesha kumbe nimpe dollar elf 15 ndo anitumie mzigo nashuka mwenyewe china na los 'Angels kwa raha zangu pas inaniruhusu kuzurula

    ReplyDelete
  6. HI DADA FLORA,HABARI ZAHUKO,UK,NINAOMBA UNI ADD KWA FCBK PAGE YAKO,MAANA NIMEPITA KWA BLOG YAKO BAADA YAKUKUSKIA KWA BLOG FULANI,KWAKWELI UMETOKEA KUNIFURAHISHA NA NIMEKUPENDA LIFE STYLE YAKO SAANA,THE WAY ULIVYO OPEN KUWAMBIA WATU KITU,NAPIA UNAVYOWAPA WATU WENGINE MOYO NAKUMTANGULIZA MUNGU NA PIA WEWE NIMCHESHI,UNAROHO NZURI SAANA JINSI TU NILIVYOSOMA NAKUONA UNAYOANDIKA KWA BLOG YAKO HUWEZIAMNI NIMEKUWA INTERESTED SAANA KUPITA KWA BLOG YAKO KILA SIKU SIKOSI,YOUR MY ROLE MODEL,MUNGU WANGU NA AKUBARIKI SAANA KWA KAZI UFANYAZO NA BIASHARA ZAKO.

    ReplyDelete