KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 20 September 2013

BY:FLORA LYIMO~ HII NI KWA WALE NYOTA ZANGU NA MARAFIKI WA UKWEE AMBAO MMENIPIGIA SIM NA KUNI WHATSAPP..ETI KUNA PICHA ZANGU ZA UCHI ZINATEMBEZWA MITANDAONI HUKO BONGO'' ASANTENI NA POLENI KWA WANAYO YAANDIKA'' ILA PICHA SIYO ZA UCHI '' NA KWA TAARIFA YAO'' KILA SIKU NITAKUWA NA POST PICHA ZANGU KAMA HIZI '' ILI WAJIFUNZE NINI MAANA YA PICHA ZA UCHI'' AND IF UNACHUKUA PICHA ZANGU NAKUZIANDIKA NA KUACHIA WATU WA COMMENT UMBURULA WAO ''JUA NIPO NA WEWE DAWA YAKO INACHEMKA''MBUTA NANGA!!

I'M SEXY AND I KNOW IT''' FLORA LYIMO  NAJIPENDAJE SASA'' ENJOY THE SONG'' AND THE NO UCHI WAONASEMA PHOTO'S'' HAHHAHAAAA'' MAJANGAAA,,MBONA MAJANGAAAA!!
 ETI HIZI PICHA NDIZO ZINAITWA PICHA ZA UCHI''''SASA NIKIWAWEKEENI ZA UCHI MTASEMAJE?? ZA FULL DRESS? KWELI MAMBURULA NI MAMBURULA TUUU''HATA UWASOMESHE SHULE ZIPI DUNIANI''PENGINE ZA MBINGUNI NA JE HUKO MBINGUNI WATAFIKAJE?? HAWAFIKI KULE KABISA JAPO KUFA WATAKUFA''' JAMANI FANYENI YENU ''MIMI NAFANYA YANGU AND IM SO HAPPY MYSELF'' SO WEWE ULIE TU'UCHEKE KWANI UNA MWANYA? HAHHAHAHHAAA'NAWASHANGAAA''PICHA ZA FLORA LYIMO ZA  UCHI NDIZO THE TALK OF MIJINI''' MBUTA NANGA'' HAKUNA UCHI WALA NINI JAMANI MSIDANGANYIKE NA WALA WANAO YAANDIKA YASIWAINGIE AKILINI KABISA''
BE BLESS ALWAYS''AND BE HAPPY WITH YOURSELF'' LOVE NYIE MINGIIIIIIIIII''

 I LOVE ME'' AND IM SO SEXYYYYYYYYYY AND I KNOW IT''' HAHHAHAHA''NACHEKA NINAMWANYA MIE''' TENA HAMNILISHI WALA KUNIVISHAAAAAAAA'''
FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA  MAELEZO''
Ndugu zangu Watanzania na Nyota zangu' Poleni sana kwa yale mnayoyasoma kwenye Baadhi ya Mamburulaz'' Blogs na Facebook bila kusahau Vipage Group vyao'' Sasa napenda kuwaambieni kwamba Poleni sana kwa Mnavyoandikiweni ''Yani Picha za Uchi '' Mimi kama Mimi Sioni Uchi wa Hizo Picha'' Nakama Ninavyo elewa ''HAMJAWAHI KUONA PICHA ZANGU ZA UCHI AU NISEME HAMJUI NINI MAANA YA UCHI'' FULL STOP'' 
Pili'' HII NI AHADI NA MNAJUA AHADI NI DENI'' NAWAAHIDINI KILA PALE NITAKAPO PATA  NAFASI '' NITAWAPIGIENI PICHA KAMA HIZI NA ZAIDI 'NA SIYO ZA UCHI NINAOUFAHAMU MIMI AU UNAOFAHAMIKA NA WASOMI NA WAELEWA PIA'' SASA WALE WASIO WAELEWA NA WASOMI ''WATAPATA CHA KUWASUKUTUA MIDOMO YAO NA MENO YAO YALOOZA 'KWA HIZO PICHA NITAKAZO POST KILA NITAKAPO JINAFASI TENA NAJIFYETUA MWENYEWE'' CHEZEA MPIGA PICHA WA UKWELI TENA SASA NINA CAMERA 4''NNE'' YANI FULL KUWASNAPIENI''
NI HAYO KUTOKA KWA MSEMA KWELI WENU NA
YOUR TOP IN TOWN ''FLORA LYIMO FASHION POLICE'' 
HAVE NICE WEEKEND MY DEARS'' AND THANKS KWA WINGI WENU WA KUMIMINIKA KWENYE HII BLOG LEO''YANI NIMESTUKAJE KUONA WINGI WENU ? KUMBE MWASEMA HAMNIPENDI NA HUKU MWANIPENDA HIVI'' RUWA MANGI 'AIKENYI NDAO 'MORE PHOTOS LIKE HIZI EVERY DAY NIKIWEZA''
DONT FORGET TO FOLLOW THIS BLOG''
  • Hii nimewapa Vidonge vyao Mburulas huko Facebook''
  • Flora Lyimo YATA WASHINDA.......KUMBE NYIE WOTE WAJINGA MAMBURALAZ HIVI.....? HIVI MNAJUA NINI MAANA YA UCHI ?? SASA KWA TAARIFA YENU ..NITAJIPIGA PICHA KILA SIKU ZA HIVI '' NA NITA POST KWA YOUR TOP IN TOWN ...FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG....ILI MPATE KUSUKUTUA MIDOMO YENU MICHAFU NA MENO KAMA YA MMNYWA UGOROO..HAHHAHAHAAAA...NYIE MLIE TUU''MCHEKE KWANI MNA MWANYA..

17 comments:

  1. Pole tumeipokea,mimi ni mmoja wa fans wako ambao tumelipokea hilo swala kwa mshangao. Naomba nikukumbushe kidogo dada yangu naona umekaa ulaya muda mrefu umesahau na maadili ya nyumbani. Wewe ni mtanzania halisi na unaipenda nchi yako kama mwenyewe unavyosema. Je kwa maadili ya kitanzania hizo picha zako ni sahihi? Kwasisi tuliokuwa huku hilo ni jambo la kawaida lakini kwa nyumbani kwakweli sio jambo la kawaida, mwanamke akipiga picha ya matiti wazi tunamuhesabu yuko uchi si mpaka avue chupi. Ile kesi na muheshimiwa ilikwisha? Wasije kutumia hizi picha kukuangusha. Ushauri wangu achana na hao mambulura ila next time plz my big sister usiweke tena hizo picha za hivyo. Watu hawana dogo, dogo kwao huwa kubwa but kama unasababu zako binafsi unaweza weka.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Acheni ujinga nyie. Huyu anakaa UCHI. Mbona atuambii maana ya uchi aujuao yeye? Matiti kumuonesha baba yako na kaka zako ni maadili ya Tanzania? Alafu anasema anaipenda Tanzania. maadili ya Tanzania ni hayo ya matiti hadharani chupi nje?

      Delete
  2. safi sana, nimeipenda hii sana. vizuri sana Flora. BIG UPS!!!

    ReplyDelete
  3. hongera sana, na umepata mshiko wako wa Pound 20,000 ila watu wamepiga sana kelele kwa ajili ya hizo picha ila mimi nimezipenda na inaonyesha confidence

    ReplyDelete
  4. dada lyimo kusema ukweli umetutoa sana watanzania hasa familia za karne ya ishirini na moja. hii ni blog yako na una uhuru wa kufanya unachotaka mwenyewe na nadhani ni vizuri. bado nakuheshimu na una adabu, heshima na kujitambua na si unatafuta umaarufu kwa sababu wewe kuanzia leo ni maarufu tayari?

    namshukuru pia mume wako kwa kukuruhusu kufanya hivi, maana wanaume wengi wana jealous.

    flora wewe ni jasiri sana, na nitaendelea kutembelea blog yako. binadamu mwenye akili zake timamu ni wewe.

    me tangu nimeona hizi picha naona fahari jamani. na wanaume wakituona sisi tunapiga picha kama hizi watatu heshiima kwa ujasiri wetu. sisi waafrika asili yetu ndio hii, nguo zimekuja hivi karibuni.

    angalia wa sauzi afrika wanavyojiachia!

    I LOVE YOU FLORA, I LOVE YOU FOR THIS.

    ReplyDelete
  5. kwanza hata hao wazungu wa ulaya huwa wanaficha matiti acheni kumdanganya mwenzenu kweli fedha fedheha

    ReplyDelete
  6. LE MUTUZ WILIAM MALECHELLA KIBICHWA KAMA NZI WA UHARO, UMBO KUBWA KIBICHWA KAMA KABANDIKA SUPER BIG LE MUBURULLAZ, JANA ALIKUA HANA KAZIIII,KUTWA KUKUWEKA KWENYE BLOG YAKE UKUTE ALIKUA ANAZITIZAMA HALAFU ANADINDISHA KILE KIMBILIMBI CHAKE NUSU KWENYE KAPTULA ANAFANYA KUKUSAGIA, WAKATI HUYO HUYO ALISAHAU KAMA ALIKUTAKA NA KUKUKARIBISHA KWAKE SABABU UMEMTOLEA NJE ANANZA KUSAGIA MATITI YAKO ORIGINAL SIO MIFEKI KAMA WAZUSHI WENGINE WALOWEKA KWENYE BLOG ZAO.

    LE MNUKO MUTUZ WEWE KULA KWA PICHA TU KULA KWA MACHO TU, KUMTUKANA DADA WA WATU HAJASOMA WEWE MSOMI MBONA KUTWA UNAZUNGUKA VIJIJINI KAMA BUNDI NA MAGWANDA YAKO YA KIJANI KAMA MGOMBA ULOKOSA MAJI HUKAI OFISINI UKAFANYIA KAZI HIZO MASTERS ZAKO ULOSOMA AU UMESOMEA KUZUNGUKA NA CAMERA TU MACLUB KUPIKA PICHA NA WANAWAKE ZA WATU MAANA WAKO HUNA FUTAKIWI FULL KUNUKAA UHARO MAJASHO

    ReplyDelete
  7. HELLO CUTE LADY'
    Mambo Flora ''Upo weye Mrembo ??Nimefurahi sana baada ya kuona picha zako na baada ya kuona boobs zako....lol..sijaziona natamani uachie hapo ili niona your boob's kwenye umeumbika ...yani hapa nimechanganyikiwa zaidi na ninawivu na huyo Erick ''hivi ndiyo Erick Shigongo,mmiliki wa magazeti ya udaku?wewe ni mwanamke mzuri sana kaa ukifaham hilo ,I wish uwe mke wangu wa ndoa haswaa'' yani Picha zako siyo za uchi na wajinga hawajasoma ndiyo wamejaza blogs zao kukusema umepiga picha za uchi'''pumbazuuuuuuuu wale''

    ReplyDelete
  8. hivi najiuliza....hizi picha zingekuwa za uchi kweli wangeandikaje ??

    ReplyDelete
  9. Kweli viblog vya uchwara ni uchwara blogs tuu'' sasa hizi picha mbona wanasema ni za uchi ?kwenye hivyo viblog uchwara kuna uchi gani hapa... uchamba kazi sana''duh''

    ReplyDelete
  10. achana na wangese Flora fanya yako waache wanye wazoe wale uchafu wao

    ReplyDelete
  11. hakuna kitu kinachodanganya kama MOYO

    ReplyDelete
  12. ingia hapa uone>>>>http://uswaziblogg.blogspot.com/2013/10/flora.html#.UlRyslPqq2k

    ReplyDelete
  13. MAISHA YANATUDANGANYA SANA... HAO WANAOKU SUPPORT WAMBIE WATUME ZAO MSHIRIKIANE HAPA KAMA UTAZIONA... ""BINAADAM PEKEE NDIO ANAEJUA KUFICHA UCHI WAKE NA BINADAAM PEKE NDIO ANAONA AIBU NA KUJIREKEBISHA NA MAKOSA""!!!!!!!!

    ReplyDelete