KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 15 September 2013

BY:FLORA LYIMO ~ HILARIOUS!! MBUTA NANGA'' (ALBUM 1) OF SEPTEMBER 14 MWAKA 2013 'WALEVI & PART HARD PEOPLE WAKILA USIKU WA MANANE IN LONDON 'MJI MKUU WA UINGEREZA ' FLORA LYIMO FASHION POLICE WAS THERE KUWANASA WOTE'' THANKS TO McDONALD KWA KUFUNGUA USIKU KWA AJILI YA KUWALISHA '' MBUTA NANGA!

 Hahahhahahaaaa'jamani nilichekaa nachekaaa hadi sasa hivi na post hapa nipo hoi sina mbavu'' yani jamaa anakulaje hizo Chipooo''chips''kafunga macho yani hata nampiga picha hana habari wala hataki kujua Utamu aliokuwa anausikia ''mbuta nanga'' ndipo nikaamua kumuongelesha ''alipofungua macho kaniona na camera akaanza kuniambia wewe ni Mtalii eee'umetoka Ganna? Hahahaaa'' Jamani sijui ni kwanini aliniota hivyo ''anyaway ''back to the Photos'''
 Yani alikuwa Mlevi kupindukia''hata sijui aliwezaje kuoda na kulipa hadi kuvuka barabara na kuja hadi hapa kuja kula msosi wake wa usiku wa manane''
 Hahahhaaaa''Hapo kamaliza bado ananjaa anataka kuokota na za chini ndipo nikamuambia ni chafu umemaliza ''je ''unakwenda wapi ? hakuweza hata kunijibu na kuondoka '''Kutembea ndo mwendo wa Kinyongaaa''hahaahhaaaa''



 Anae walisha walevi na watokaji wa usiku party hard people in London Mji Mkuu''Usiku wa manane''
Menyu ya Mcdonald's imetuliaje''Yani hapa unapewa Nyama za Nchi Tano alizozichagua na kuziamini kwa Nyama zake za kuwalisha wateja wake'' Kila wiki hapo unapata kitu cha Kujilamba kisawa sawa'' hasa wale wausiku ambao hata kama chakula hakijaiva wao hawana habari kabisa wanabukia tuu''hata ukiwaambia ni mara mbili ya bei ya Mchana watalipa tuu''SO TESTIEEEEE''YAH BABY''YAH'' MBUTA NANGA'' Hahhaaa''Kumbe hapo ni Njaa ya Pombe imetawala na siyo Njaa ya kawaida bila Pombe''chezea Pombe nyie '''Flora Lyimo''

No comments:

Post a Comment