KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 27 December 2013

BY: FLORA LYIMO~ JACKIE CLIFF MTANZANIA MREMBO ALIYESHIKWA NA MADAWA YA KULEVYA ANAYE WASHANGAZA WENGI'' NDUGU ZANGU WATANZANIA FANYENI BIASHARA ZA KUINGIZA HELA KIDOGO KIDOGO KAMA FLORA LYIMO'' HIZO ZA FASTA FASTA JUENI NI MAKABURI YENU MWAJICHIMBIA WENYEWE 'MBUTA NANGA!!




Huyo ndiyo Jackie Cliff'ambae anaonekana hapa na kitambaa cha kumzuia sura kutambulika usoni'jana ndipo mitandao mingi na whatsapp zilianza kupeperusha habari zake ' na nadhani wengi mliopo huko Nyumbani Tanzania mtakuwa mnamfaham au kufaham habari zake zaidi'' Ila Mimi huku kweli nimepatwa na kigugumizi Wasichana warembo bado wadogo wanakwenda wapi na maisha yao yote ? Mbona bora hata kama hujasoma ujifanyie hata kazi za Nyumbani 'au hata Flora Lyimo kajitolea kuwapa mikopo ya kuuza mabegi lakini mnapuuza mnafuata wanao wabebesheni Madawa ya kulevya maana mmewekewa mahela ya dhambi mfuko umejaa fasta fasta'' sasa ona mwenyewe yatakayo fuata au hata wale ambao wameshakamatwa na sasa wapo jela'' Ndugu zangu wacheni hii biashara siyo ya kufanya kabisa bali ya kuepuka kabisa' Ruwa Mangi''
Habari mitandaoni inasomeka kama ilivyo
''hapa chini'

“Mwanamke wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 28 amekamatwa na kilo 1.1 za dawa za kulevya aina ya heroin huko Macao.
Dawa hizo zilikutwa tumboni mwake baada ya kushtukiwa na kufanyiwa X-ray ambapo alikutwa na jumla ya vidonge 66 vyenye thamani ya dola za Kimarekani 137,720.
 
“Mwanamke huyo alikuwa akisafiri kutoka Thailand akielekea Macao Jumanne iliyopita. Aliwaambia polisi kuwa alikuwa anaelekea Guangzhou ambao ni mji wa jimbo la Guangdong huko Chima. 
“Pichani ni mwanamke huyo wa Kitanzania (akiwa amefunikwa uso) aliyekamatwa na kilo 1.1 za heroin huko Macau. Hapo amepigwa picha na vidonge vyake kwenyepress conference huko Macau, Disemba 19, 2013.”

No comments:

Post a Comment