KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 5 January 2014

BY:FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS ZA MSIBA WA NDUGU MTANZANIA MWENZETU '' MUNGU WANGU KWANINI KUMCHUKUA MAPEMA HIVI '' R.I.P DADA YETU NA NDUGU YETU'AMEN''

PICHANI WAKATI WA UHAI WAKE'' 

Msiba DMV Zeinab Buzohelo ambae ni mke wa Dullah MaWhite afariki Dunia'

Inna Lillahi wa inna ilaihi raji'un

Msiba DMV Dada yetu mpendwa Zeinab Buzohelo ambae mke wa Bw. Dullah umerufu kwa jina la (Dullahyo) amefariki dunia siku ya jumamosi Jan 3, 214 majira ya jioni katika hosptali ya Doctors Community hapa Jijini Maryland nchini Marekani.

Msiba wa Zainab 016Ngugu jamaa na marafiki wakiwa katika kisomo cha kumuombea marehemi  Zeinab Buzohe huko nyumbani kwake Mdogo wa marehemu, Ngalu Buzohera (wa pili kushoto) akiwa katika kisomo

Msiba wa Zainab 009Pichani mfiwa mume wa Marehemu  Zeinab Buzohelo Bw.Dullah maWhite umerufu kwa jina la (Dullahyo) akiwa na hudhuni nyumbani kwake alipokua katika kisomo cha kumuombea Marehemu kulia Terry katika msiba huo siku ya Jumamosi Jan 4, 2014 mitaa Bladensburg jijini Maryland

Matayarisho ya Msiba

Tunaombwa tujumuike na Dullah na familia ya Buzohera katika harambee ya mpendwa wao Marehemu Zainab Buzohera itakayofanyika leo Jumapili January 5, 2014 kuanzia saa 10 jioni (4pm ET) 

Kwa ajili ya kuchangisha pesa za kusaidia na hatimae kuwezesha kusafirisha mwili wa marehemu Tanzania kwa mazishi gharama za kusafirisha mwili ni $15,000.

kwa watu waliombali na maendeo ya DMV ambao hawataweza kufika kwenye harambee mnaweza kusaidia michango yenu kupitia. 

Ms Ngalu Buzohera CITI BANK AC 50070000 Routing 9106834936

Harambee itafanyika 
5401 Anapolis Road, 
Blandensburg, MD 20710
Ukipata taarifa hii mtaarifu na mwenzio

Kwa wakaazi wa DMV na wale wa majimbo mengine ya jirani watakaofika kwenye harambee tunaomba msaidie kuja vitu vitakavyosaidia kufanyia mnada

Kwa maelezo zaidi na maelekezo

Ngalu Buzohera 240 330 0169
Idd Sandaly 301 613 5165
Jabir Jongo 240 604 0574
Jasmine Bernett 443 841 9982
Hidaya Mahita 240 271 7799

POLENI SANA WAFIWA WOTE'MUNGU AWAPENI NGUVU ZA UVUMILIVU '

AMEN''

No comments:

Post a Comment