KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 6 January 2014

BY:FLORA LYIMO ~ DADA ZAY B HARRY KABLA HAJAFA HEBU MSOMENI ALIYOANDIKA BAADA YA KUKUTANA NA NYOKA MJINI ? UWII 'MUNGU WANGU ''TENA MCHANA KWEUPEE''RUWA MANG''SO SAD''


NDUGU NA DADA YETU NOW MAREHEM  ZAY B HARRY ALIBADILISHA HII PICHA YAKE ON 14/12/2013 KAMA HER PROFILE PICHA 'LEO HATUNAE'R.I.P '
YANI MIMI NINASHINDWA KULALA KABISA BAADA YA KUSOMA ALICHOKIONA NA KUANDIKA HAPA CHINI''HEBU MSOMENI''UWIII' MUNGU WANGU WHY ?WHY ?WHY ?''
Zay B Harry
Jamani leo nimeona AJABU!nilikua mitaani somewhere Washington DC/Maryland nafanya weekend shopping nikasema aah ngoja nivuke barabara upande wa pili looooh hamadi uso kwa uso karibu na miguu yangu!!nakutana na NYOKA wa kijivu anahangaika kupanda ukuta wa barabara aelekee majanini.Sitaki hata kukumbuka nilitimua mbio kama mwizi,makelele barabarani watu nao wakafikiri nina kichaa wakawa wananishangaa na kunipisha! kwakua hawaoni kitu mpaka niliposema Snakeeeeeee.....sijui kama walimuua au vipi maanake sikurudi tena nyuma!.This is strange nyoka mjini kabisa hapa na hakukuwa na pori!mchana saa nane jua kaliii!!!.I hate SNAKE period....!!!!.mimi naamini nyoka ni shetani mbaya sana sijui kwa wengine wanavyoamini!.EEh Allah nakuomba yule nyoka kama ni wa shari....asharikie hukohuko aniache kama nilivyo na watu wote walionizunguka apotelee mbali.Hilo ndio dua langu na nina imani Allah ataniepusha kwa lolote baya!!!.Pray for me family/friends.Amina.

No comments:

Post a Comment