KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 6 January 2014

BY:FLORA LYIMO ~ KABLA HATA YA DADA ZAY KUZIKWA'' RIDHIWANI KIKWETE KESHAKUJA NA LAKE 'MREMBO MAREHEM NOW'ALIMUOMBA URAFIKI AKAMCHUNIA'' MBUTA NANGA'' TUMUELEWEJE JAMANI HUYU MR KIKWETE'' KWANINI HUKUSEMA KABLA HAJAFA?


  'DA-ZAY B ' AMBAE HATUNAE TENA LEO HII''SASA HEBU MSOMENI NDUGU YETU Ridhiwani ''TUMEELEWE VIPI ,,HAPO ALIPOONGEZEA KWAMBA ALIMUOMBA URAFIKI AKAMCHUNIA? SASA TULICHUKULIE PALE PENYE ULE MSEMO USEMAO UKIOMBWA USIKATAE AU ? ILA MIMI NAONA LABDA MARA NYINGINE UNAWEZA KUKUTA UMESHAJAZA MARAFIKI FB,,BUT YEYE HAKUSEMA HIVYO''SEMENI YENU JAMANI '' MKIOMBWA MSIRINGE 'ALAFU MTU AKIJAKUFA NDIO UNAKUWA WA KWANZA KUANZA KUMSEMEA ALIYOKUWA ANAKUFANYIA KIUNDANI ''SASA KABLA HAJAFA?NANI ALIJUA KAMA ALIMUOMBA URAFIKI AKAMCHUNIA ?MBUTA  NANGA''WHAT NEXT MR KIKWETE''

Baada ya kusoma taarifa toka kwenye Ukuta wa dada Diagi Janguo juu ya msiba wa Bi.dada Zay B pichani nimejikuta mwenye masikitiko mengi sana.

Kwanza kupoteza kada wa Chama Diaspora. Lakini kubwa zaidi nilipokuja gundua kuwa aliwahi niomba urafiki kwenye Facebook lakini sikupata nafasi ya kusoma na kumkubalia ombi lake.

Poleni sana viongozi wa Chama na watanzania mnaoishi Diaspora. Pia pole zote kwa Familia yake na wote wapenda maendeleo wanaopambana Ughaibuni.

Bwana alitoa na bwana ametwaa.Jina lake lihimidiwe.

No comments:

Post a Comment