KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 8 January 2014

BY:FLORA LYIMO ~ WASOMENI BAADHI YA WATANZANIA NA WANAOJIFANYA WENYE KUJUA DINI YA KISLAM NA KUMVAAMIA FARIDA aka BINT GULLAM IN FACEBOOK 'KWA NGUO YAKE ALOVAA JUZI ''

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO'
Ndugu zangu Watanzania natumaini hamjambo popote pale mlipo '' Hii nimewaleteeni muisome kwa WOTE'' kwani mtapata kujifunza Chamarekebisho ya Mwaka 2014 'hasa kuhusu Dini na Mavaazi yake'' kwanza jiulizeni Dini ni Nini ?na Mavaazi ni Nini?someni pia nilichowajibu walomvaamia Farida kwenye Facebook inbox yake''
SAMAHANI MY BINT GULLAM..YANI HUKU NIMEFIKA KUCHELEWA....HII IMEKUWA YOUR MALALAMISHI YA KWANZA YA MWAKA KUVUNJA REKODI IN FACEBOOK KWA COMMENTS KUHUSU NGUO FUPI ? KWANZA WANAOSEMA NGUO FUPI HAO WALIOKUINBOX 'TUNGEWAOMBA UWAANIKE HUM FACEBOOK LIVE.........MAANA HAWAJIJUI NA HATA HAWAJUI NGUO FUPI NI ZIPI NA NDEFU NI ZIPI'' LINGINE KUHUSU DINI PIA HAWANA DINI YOYOTE NA NDIYO MAANA WAO NI WALE WALE WAKUBEBA SEMBE NA MABOM'' SO WASIKULETEE SHIDA ZAO WAAMBIE WAZIPELEKE MAKANISANI AU MISIKITINI 'HAPO WATAKUWA WASHAJITAMBUA'' MBUTA NANGA!! NA WAKUWACHE UISHI MAISHA YAKO NA UNAE MUABUDU MY DEAR''

Hivi ndivyo wanavyotaka Wanawake /Dada kuvaa Duniani'Yani kwa taarifa ya Ulimwengu 'Mtasubiri sana Haters ''labda Muumbe Dunia Yenu '' Pua zenu na mtazidi kunusa na kula hamli Ng'o!!
YASEMEKANA HIVI KWENYE PICHA KULIA NDIVYO WANAVYOMPENDELEA KUMUONA DADA NA SUPER MAMA FARIDA aka BINT GULLAM'' WATASUBIRI SANAAAAAAAA'' RUWA MANGI 'MWANAMKE WA KILEO NI KUWA HURU NA KUFANYA APENDAVYO '' DO WHAT MAKE YOU HAPPY MY DEAR FARIDA'' TENA RUKSAAAA!!

SASA MSOME BINT GULLAM ALICHOTANDAZA FACEBOOK 
Napenda nitoe maelezo kwa ujumla kwa wale mnaonipenda na kunifata inbox kuwa hamkufurahishwa na hizi pic kwa sababu nimevaa nguo fupi! Sawa nakubali nguo ni fupi lkn naomba mkumbuke kuwa 'msijudge book by a cover' nina hakika baadhi ya waliolalamika hata msikitini hawendi labda ijumaa tu. Kwa kifupi mimi naswali swala tano, namuogopa na kumuheshimu Allah kuliko maelezo, naipenda na kuijali dini yangu kadri niwezavyo.

Kuvaa nguo fupi hakuna dini inasema ni sawa bali ni maamuzi ya mtu tu. Naweza kuwa mie niliovaa nguo fupi na nikawa na heshima na uoga kwa Mola wangu kuliko huyo ambaye atavaa ushungi na maninja! Pls ma bro hapa naomba muwe na judgement ya haki na si kukimbilia tu kujudge mtakavyo! I am 38 yrs old nadhani nafahamu sana nini nafanya, nguo ni vazi tu! Mkae salama.


HA HIZI NDIZO BAADHI YA COMMENT'S ZA WATANZANIA IN FACEBOOK ''



    • Peter Shundi So lovely dear, mtu anayelalamika kuhusu mavazi yako si mwelewa cha kulalamika ni matendo na si vinginevyo.
      20 hours ago · Like · 1
    • Ahmed Mugo Ama hakika tusuhukumu ya wenzetu,,tutatue kwanza yetu,Dada binadamu hatujiangalii tunaabgalia,,
      20 hours ago via mobile · Like · 1
    • Nusrat Semtawa NDO WALEWALEEEEEE NDUGU YANGU...WANAFICHA MADHAMBI YAO NA MIJUBA....WANA MAKUBWA WANAFANYA LKN KAZI KUCHUNGUZA FLANI KAENDA DISCO FULANI KAVAA NGUO FUPI.....LKN UKIAMBIWA WANAYOFANYA WAO UTAOGOPA....ACHANA NAO NDUGU YANGU.....BINADAMU MIDOMO MALI YAO.........MUNGU NDO AJUAE NAFSI YA MJA WAKE IKO VIPI......NA NI YEYE NDIO ATAKAYE TUHUKUMU NA C WAO.....
      20 hours ago via mobile · Like · 4
    • Na Komba Kuna mtu anataka kuleta mahali ndio maana makelele Mengi ujashitukia
      20 hours ago · Like · 1
    • Omar Ali Do whatever you happy to do to feel happy,m mungu ndie peke anae judge Waja wake lakini binaadam hatuna fadhila always we look things in negative way
      20 hours ago via mobile · Like · 1
    • Ahmed Balloteli Fanya kile kitu unachoona ni sahihi kwako
      20 hours ago via mobile · Like · 1
    • Benedict Lugiye Swahiba umependeza kupita maelezo wanaojificha chini ya mwamvuli wa dini wanafiki wakubwa
      20 hours ago · Like · 1
    • Juma Bakari Dadangu chunga ulimi huo. "Tupu ya mwanamke ni mwili wake wote isipokua uso na viganja vyake." unafaa kujihifadhi kama mwanamke wa kiislam...
      20 hours ago · Like · 3
    • Herry Sikilo ADDUNIA MATA'U WADDUNIA MATA'IIYA
      20 hours ago · Like · 2
    • Sinyora Sinyoritah Kweli habibty..wengine washirikina..hakuna dhambi kubwa Kama 
    • kumshiriki Mola wetu..Allah atuhifadh
    • .
    • Swalahuddin Aliy Dada yangu naomba ukae na kufikiri juu ya mambo unayo yafanya . Mavazi unayoyavaa hayaendani na kivazi cha kislamu na ndomana nikakuliza ww upo dini gani?
    • Swalahuddin Aliy Hata wakristo wanatoa Aya na kuitafsiri wanavyo jua chunga sana dada usifanye mashara na Qur-an
    • Swalahuddin Aliy Pia kama ww Sunny mbona unazipinga Sunna . Allah s,w akuope moyo wa imani na akuongoze kwenye kheri inshaalah ww pamoja na mm.
      17 hours ago · Like · 1
    • Cutelady Shununi Ahmed Yr rite ma sis
      14 hours ago via mobile · Edited · Like · 1
    • Swalahuddin Aliy Innalilahi wainna ilayhi rajiun
    • Majid Majidmohammed kwa raha zake mwenyewe tutajuaje kama yeye ni mzuri akivaa jalbabu uko xwa hapo!
      12 hours ago · Like · 1
    • Ahmed Mugo Tunageuka watoa hukumu,,ilihari sie wenyewe sio tunayetimiza yaloamrishwa na Allah,,na tunayawacha yalokatazwa,,,Ibada hatufanyi,,Dhaka hatutoi na uwezo tunao,,hatutembelei wagonjwa,,hatusaidii mayatima na wajane,,tunaswali Ijumaa na Eid,,na wengi with hatuswali kabisaa,,na wengine tunamshirikisha Allah kwajiri ya Dunia,,hatuangalii tunafanya Dhambi Ngapi na tunatenda mangapi yakumuasi Allah,,Imani yamja IPO kwenye nafsi,,wangapi wanavaa majuba na wachafu kupindukia,,,tusigeuke mahakimu wakuhukumu,,kwani hiyo sio kazi yetu,kabla haujahukumu yamwenzako jaribu kutatua yako na kujisafisha kwanza wewe ndo uhukumu,,,Allah ndiye anayejua zaidi,
      12 hours ago via mobile · Like · 1
    • Swalahuddin Aliy Ahmed Mugo; hajahukumiwa mtu hapa ila tunafahamishana kama huna na kusema pumzikaka na kama unataka maneno Zaid nakukaribisha Inbox kaka
    • Richard Kasesela keep on having Allah close to you, you will always be successful....
      10 hours ago · Like · 1
    • Kichuna Wa Kimakua Mkwe Bint Gullam dunia imejaa wanafiki hii balaa. Kwanza usikute wamefurahi kweli umewaonesha wapendavyo kuona...Fanya yako...wewe na Mungu wako mtaonana siku ya Kiyama.
      9 hours ago · Like · 1
    • Mac Pele van Messi U luk pretty Aunt,don't listen to them it's a nyce pic!...don't be bothered.
      9 hours ago · Like · 1
    • Majid Majidmohammed ukiwashirikh utakonda
      8 hours ago · Like · 1
    • Naila Brown Bint Gullam tupa chooni na flush.
      8 hours ago · Like · 1
    • Swalahuddin Aliy Hawata Ridhika Mayahudi na Manaswra mpaka muzifate Mila zao.
      8 hours ago · Like · 1
    • Uthman Gorah Walantardha ankal yahudu wala naswara hata tatabiata milata hum...... nadhani hakuna msafi kati yetu ila wanapokukumbusha wenzio ubishi haufai ni vema ukakubali haki hata kama umepingana nayo, nikosoe na ikiwa kweli ntakubali na ntamuomba Allah anipe ujasiri wa kuyashinda mapungufu yangu.
      7 hours ago via mobile · Like · 1
    • Kichuna Wa Kimakua Hahahaaaa
      7 hours ago via mobile · Like
    • Fuad Janmohamed Beautiful
      7 hours ago via mobile · Like · 1
    • Bint Gullam Jamani eeehh mashekh acheni hizo hii ni nguo tu na tukisema tuanze kuhesabiana madhambi hapa basi hayo yenu tunaweza kujikuta tunaishia ICU kwa mshtuko! Qurran imesema niteremshe lkn haikusema how far! Kwani hamjui watu wa zamani walikuwa wakitembea uchi? Tuache kuhukumiana hasa ktk mambo haya ya sunna tu! 

      Nyie mashekh kazi yenu kuwahimiza wanaume wakaowe wKe sitasita na mkidai ni dini na basi mbona hamuwambii wafanyanye yale ya faradhi kwanza?
    • Bint Gullam Ahmed Mugo Ur so much right my brother! Hizo dhambi wanafanya wengine unaweza kuzimia kabisa! Hakuna kitu kibaya ktk dini km kumuhujumu mwenZio, mana huko ni kujivalisha joho la Allah
    • Swalahuddin Aliy Ujumbe umefika hata Mtume s.a.w alitaka kumuongoa Ami yake na akaambiwa hawezi kumuongoa mtu yeyete mwenye uwezo wakuongowa ni Allah ww wajibu wako kufikisha. Nami nimefikisha na nimeeleweka .
    • Bint Gullam Uthman Gorah Huo ubishi uko wapi? Au unataka nikubali tu kwa matakwa na uaminifu wa moyo wako? Unajua kila mtu na imani yake ktk dini so just leave as its, 
      Hata ww hapo unaweza kunibishia mengine kw kuwa unaamini unaweza kufanya the main point ia ni kuheshimiana. Ww si mungu na qLa hautakuwa Mungu hata iweje kuweza kuhukumu so nyamaza na tubu dhambi zako kwanza kabla haujarukia za wenzio
      5 hours ago · Like · 1
    • Bint Gullam @swalahuddi ujumbe gani umefikisha? Unajipa moyo na dhawabu za burebure tu! Dhawabu hazipatikani hivyo kaka. Hakuna ujumbe umefikisha, rudi tena madrasa na soma Qurran na hadith halafu jifunze ujue Mtume wetu alikuwa akifikisha ujumbe kwa kauli ipi kw miendendo ipi na hapo utakuwa umefuzu lkn so far ma bro ur failer tu. Ukae salama 
    • Sada Masoud umesema kweli bint gullam maana wewe umeshika dini ila hapo unafanya biashara ya kuuza hiyo mipaja yako ili uonekane. vipi umepata wateja wangapi?

1 comment:

  1. KUNA MTU KAWEKA PICHA ZAO INSTAGRAM WANA KUSEMA HATARII NA WA NA KUTUKANA BALAA UYO ALIYEWEKA PICHA ZAKO ANAITWA MATIKIBOKO YAO ,POLE FLORA UKO INSTAGRAM UNATUKANWA SANA

    ReplyDelete