KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 10 February 2014

BY FLORA LYIMO: BREAKING NEWS 'MSIKILIZE SHILOLE AKIJIELEZEA JINSI ALIVYOBAKWA AKIWA NA MIAKA ONLY 14 YEARS OLD!! WARNING''HAKIKISHA UNA TISSUE MKONONI''

So sad' Flora Lyimo so Proud of you Shilole and you know how much I love you '' yani kumbe umekuwa na maisha yako magum ya namna hii 'kweli kama Sprorah alivyo sema you are a super srong Woman ''Mungu azidi kukubariki na uzidi kuwa na Moyo huo huo wakuwapenda watoto wako zaidi ''kwani pia hata wewe mwenyewe umesema kwamba kuna wanawake wengi huficha kwamba wamezaa sababu wamempata mme /boy friend mpya'' yani kama wewe ni mama na mwanamke ulosikia huo uchungu wanaosema wakuzaa maana Mimi sijawahi kuzaa so sijui 'ila yani huwezi kabisa kumficha mwanao kisa mwanaume'' Mpende mwanao na kama mwanaume huyo hatawapenda wanao au mwanao basi mtupilie mbali '' Mbuta Nanga!!
Pole sana Shilole 'Munggu yupo nawe daima na milele''
 Picha zinasema yote''yani Shilole Im so PROUD OF YOU ''Pamoja sana Mdogo Wangu'' 
 Mastaa wakutana,Shilole and Flora London Home 2013 mwamkio wa Xmas 2014' Tukielekea kwenye Mauno yake Bila mifupa''
Pole sana Shilole ,kwa kweli nimelia sana yani I Feel you 'jamani kina Mama /Dada mmemsikia Shilole na mshamsikia Flora Lyimo pia alipo jiweka wazi kumtaja Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini kwa Kunibaka mkalichukulia ni jambo la kutumwa na watu wa CCM..Msifikiri ni jambo la kutilia mzaha wala la vyama''Ubakaji ni hatari sana katika miasha ya mtu yoyote kwani maisha yako yote huwa lazima yanabadilika hapo hapo '' na Shilole kasema yake'sasa basi msiogope kabisa kusema wazi kwamba mmebakwa na kuwataja wabakaji hao live''kwani ni aibu kwao na siyo kwako na vile vile ndiyo maana nika anzisha Flora Lyimo STOP RAPE AND RAP CHARITY 'nikiwa na malengo yakuweza kuwasaidia kina mama/dada wa kitanzania zaidi kuweza kupata mahali pakuweza kukimbilia na kukuwepo na wahudum wakuwaskiliza na kupeleka wabakaji wao mbele za haki''kwani wanastaili vifungo vya maisha'ili iwe fundisho kwa wengine'' Amen'' Shilole now ndiyo tutakupenda zaidi na kununua nyimbo zako zaidi ili uweze kufanya yako na kuwalea wanao ipasavyo '' I LOVE YOU SHILOLE''BE BLESS ALWASY''

AND TO SPORAH NICE INTERVIEW MY DEAR''

No comments:

Post a Comment