KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 28 February 2014

BY FLORA LYIMO ~ WAONE HAWA WAZUNGU WALIOMAZIMISHA FLORA LYIMO KUMPENDA MBWA WAO KWENYE BASI' MBUTA NANGA!!

 So was like this' Niliingia kwenye hili basi on my way to work ,Na huyo Mzungu akaingia na Mbwa wake na kuja kusimama nae pale nilipokuwa nimesimama'mahali walipo pichani hapa' Mimi kwa kweli sipendi Mbwa kuwa Karibu nao kabisa ,yani nawaogopa naona kama ndiyo nang'atwa hadi mifupa,Basi nikamkimbia na kwenda kule nyuma kabisa ya basi hili ,Mmama ambae baadae niligundua wapo pamoja na huyo Mbaba,akaanza kunisimamisha nakuniambia usikimbie huyo Mbwa ni mzuri sana haumi watu'' Nikamuambia wewe' yani let me tell you something,A dog is a dog,and you must hear so many sad stories about how they kill kids and all that ' so please stay Home with your dogs and not near me'Basi Wakakasirika kweli nakuanza kuongea wenyewe hadi basi likasimama na wakashuka pamoja ,na Mimi nikawa nawanasa na camera yangu yani I wishi wangejua walikuwa wanagombana na nani ? And ni lazima kumpenda Mbwa wao ? Mimi nilisepa zangu kimnya kimnya mpolee ,sasa wao lazima wakulazimishie Umpende? Nyooo'nafanya yangu kwa kupenda mwenyewe ''yani Mimi nimsema kweli na sababu hiyo I will always win' and soon or later wataanza kunyimwa wasingie kwenye public places na Mbwa zao'' Uwii'yani was nomaaa' habari ndiyo hiyo na Picha pia'' have your say '' Je wewe ni mpenzi wa Mbwa na Je Mbwa waruhusiwe kwenye public Place kama hivi kwenye hili basi au wakatazwe'' mbuta nanga!!
Baada ya kupost on Facebook Live' Haya ndiyo majibu ya Wanafacebook Friends''

Flora Lyimo Hebu ona alivyo fungua mdomo .si akiamua kumrarua rarua huyo mtoto hakuna kitakachombakia ? Uwiii..mimi naogopa mbwa hasa nisomjua .....kudadadeki. ..

5 hours ago · Unlike · 5

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash3/t5/s32x32/276230_1583941580_1633276785_q.jpg

Mwatatu Myonga hahahah tuko wengi Flora Lyimonaogopaje mbwa mimi na kama nikikutana nae na najua hakuna kwa kukimbilia nashika kitovu eti asining'ate hahaha imani za zamani wakati tuko wadogo! hahahaha

5 hours ago · Unlike · 3

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Alafu anakaa kama ananjaa..hapo alikuwa anapiga miyayo...au sijui ndiyo usingizi? Mbuta nanga. ..wakae mbaliiiiii.

4 hours ago · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/1118358_100003054483019_1387634622_q.jpg

Brizzleleo Blogspot I hate hate hate these animals.

4 hours ago · Unlike · 2

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Hahaaaa unashika kitovu...sikuijua hiyooo..my dear yani mbwa ni wao wamemfuga ndani siku moja anawabadilikia na kuuwa watoto wao au hata wao wenyewe...mbwa ni mbwa. Mwatatu Myonga...pamoja mpenzi. .

4 hours ago · Edited · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086369_100000490973804_109000247_q.jpg

Ruth John HUKU KWETU SIJAWAHI KUONA MBWA KWENYE BUS DUUU!

4 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Brizzleleo Blogspot..my super Blogger mwenza. .ungekuwepo wangekomaaaa...hahaaaa team no dog in public places. ..

4 hours ago · Like · 2

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Ruth John..umeona eee..yani wangeruhusiwa wale wanaofanya kazi za kuongoza vipofu tu....and only God knows how they get to do that Job.....yani sijui wanafanyaje hiyo kazi yakuwapeleka wasoona mahali.yani unaona mtu haoni ila Mbwa anakuongoza..aisee...ni nomaa..na Big up to those Dog like that...Ila bado siwaaminiii.. Mbwa ni Mbwa tuu...

4 hours ago · Edited · Like · 2

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/1118358_100003054483019_1387634622_q.jpg

Brizzleleo Blogspot Recently imekua too much na watoto.eti family dogs!!i get in a bad mood nikiona mbwa karibu na mimi.

4 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Im with you my super blogger mwenza. .Brizzleleo Blogspot...

4 hours ago · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash1/t5/s32x32/203196_1176503891_1037605734_q.jpg

Godfrey P Mjelwa Mbutaa... Heheee na huko si ndo mnajifanya hadi mbwa anapanda basi au treni, .. lol

4 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Godfrey Mjelwa...my dear..yani huku Ulaya ni nomaaa kuna Vitu vingine havihitajiwi kufugwa na mwisho wa siku hufugwa na hata urithi mtu anaachia Mbwa na kumnyima mtoto wake alomzaa mwenyewe. ...mbuta nanga. ..uwiii. ..Wazungu na wakae mbali na mimi na Mbwa zao...yani watu wafanye yao jamani siyo kulazimishia watu kuyafanya yao..eti .ni powa tu..hatakuuma..ni mbwa mzuri sana....eee...mzuri kwako na subiri akuoonyeshe he is a Dog one day..

4 hours ago · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/211915_610964379_646827617_q.jpg

Beatrice Stephano Mpangala He he. Mbuta nanga,. Mimi Niko nae mbwa pia. Sasa ukisema Uwe mgeni lazima nimfungia. Ha ha.... Pole.

3 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Hapo tutaelewana Mdogo wangu hamna shida kufanya yako..shida ipo pale mtu unalazimishiwa kufanya kitu..kama vile mapadri wanalazimishwa kuwafungia ndoa watu wa jinsia moja....siyo powa kabisa kulazimishiana vitu. ...mbuta nanga. ..Beatrice Maria Stephano Mpangala..

3 hours ago · Edited · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/211915_610964379_646827617_q.jpg

Beatrice Stephano Mpangala Pole sana. Ni kweli, hayo yakulazimishana sio poa..... Lakini wakwangu nitamficha kabisaa, maana isije kua vituko dada. He. Mbuta nanga. Hamna tabu dada 

3 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/372105_100001575431665_2102011531_q.jpg

Amfirst Ladii hata binadamu ukimuona waajabuajabu inabidi ukimbie lkn hawa watu wanakasirikika sana wakiona unakimbia mbwa zao sijui wana matatizo gani ,,,,hawaelewi kama rafiki yako sio lazima awe rafiki wa wote

2 hours ago · Unlike · 3

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-prn2/t5/s32x32/261067_1186838136_1668319735_q.jpg

Nusrat Semtawa Hahahahaahahaaa nakupendajeee mamaa ya makavu live.....

2 hours ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1116461_100003401507033_1949099869_q.jpg

Krishna Krish Uwiiiiiiiiii hahahaaaaa nimecheka mpaka basi, hapana chezeiya dog kabsaaaaaaaaa#flora

about an hour ago · Unlike · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Krihna Krishna Krish,,,Mbuta nanga'wewe cheka tu'akiamua kukunyofoa habahatishiii'''

about a minute ago · Edited · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo Amfirst Ladii..ITABIDI NIKUZAWADIE ''YANI UMETISHAAAAAAAA..UKWELI MTUPU''

3 minutes ago · Edited · Like · 1

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1086453_1281783751_101469653_q.jpg

Flora Lyimo My shostitamu ,,yani wewe acha tu,I wish ungekuwepo ,Wazungu wananilazimisha nimpende Mbwa wao,mara next waanze kukukaribisha kwao ,,what next ..Mungu ndiyo anajua''waniwache mie Mchagga sijaja kwao kutafutana na Mbwa ''nimekuja kuziweka mfukoni Pound zao ''mbuta nanga''zinanukiaje sasa''Marashigaliiii'' hahhahaa' Miss you much Nusrat Semtawa.

15 minutes ago · Like

https://fbcdn-profile-a.akamaihd.net/hprofile-ak-ash2/t5/s32x32/1116461_100003401507033_1949099869_q.jpg

Krishna Krish Mbuta nanga....hahaaaaaaaa hahaaa


 

No comments:

Post a Comment