KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 16 March 2014

BY FLORA LYIMO~ HAPA SIMDALILISHI WALA HATUJIDALILISHI .ANAJIDALILISHA~MWANADADA HUYU NDIE ANAEMUHARIBIA FLORA LYIMO BIASHARA '' HEBU MUONENI HAPA AKIWA STEJINI BILA CHUPI'' MBUTA NANGA!!

SAMAHANINI MY DEARS'' ILE PICHA YA YULE MDADA ANACHEZA STEJINI BILA CHUPI NIMEIONDOA HAPO MAANA KUNA MTU TUNAHESHIMIANA SANA NA KANIOMBA NIITOE KWANI WANAUNDUGU NA YULE MDADA'' KWA HIYO KWA HESHIMA YAKE NA VILE MIMI NA YEYE TUNAHESHIMIANA NIMEIMTOLEA ''BASI NA MIMI NIKAONA NIWAWEKEENI HII NEW BIASHARA YANGU MPYA'' FLORA LYIMO OPPORTUNITY 2014 ''TUTAFUTE NAMNA YA KUJITEGEMEA KWA KUFANYA KAZI NA KUTANGAZIANA KAZI NA VILE VILE KUSAIDIANA KWA NJIA ZOTE'' VICHOCHORO NA BARABARA'''MBUTA NANGA!!
ENJOY MABEG 'NA UKITAKA KUJIUNGA NJOO NA LAKI YAKO MOJA TZSH'' AT WHATSAPP +44 7787471024 'YOTE MWAKARIBISHWA'' 

 MABEGI YOTE ONLY TSH.25.000 EACH NA UNALETEWA MPAKA DAR AU MOSHI''













 HIVI VIPOCHI VYA KUFICHIA MAMINOTI NI TSH.13.000

 ONLY TSH.13.000..WAHINI KUJIUNGA NASI ILI MPATE KUJITEGEMEA''
 VYOTE KWA PAMOJA TSH.50.000 AU MOJA MOJA ONLY TSH.25.000 FLAT SHOES OR THE KIBEGI CHAKO CHA MTOKO WA PARTY ZAIDI''

POLENI KWA KUMTOA YULE DADA MUANIKA KITUMBUA CHAKE STAJINI ''I THINK IS BETA HILI BEGLA LV  KULIKO KILE KITUMBUA CHAKE '' 

BORA HII 'KULIKO ILE INGINE EEEE''
Mbuta Nanga'' Jamani jamani mdada huyu sijui anajiamini au anajianika'' hivi huu niuchafu gani ''siangevaa kachupi kile kidogo THONG/G'STRING'' Yani hapa kakwepa Ugly panty line na kuona afadhali ugly puss line'' Tena hivi ina maana kwamba hamnunui chupi na pia hamna hata chupi kabisa na kutuharibia biashara zetu sisi wafanyabiashara za Lingerie'' Nguo za ndani'' Flora Lyimo how to look sexy at Home'' Hii nitabia chafu ambayo mnataka jamii iwaige alafu iweje sasa? hebu jiulize wewe Mdada I hope utaisoma hii na pia ujitokeze na kuomba msamaha kwa ujinga huu ulioufanya''
Flora Lyimo Fashion Police in her Flora Lyimo how to look sexy at Home'' Hapa kwenye Picha zake zote anawaonyesheni umuhim wakujisikia unaraha ukiwa Nyumbani na vile vile Mpenzi wako /Mme kukimbilia Home kila baada ya kumaliza kazi zake badala ya kukimbilia kwenye Mabaa kudokezea Wadada wa Mujini na watafutaji mimacho na mwisho wa siku matamanisho kumkuta akiingia kusiko '' kisha kuvitaka vitu adimu asokuwa navyo at home au asovipewa na Mke /Mpenzi wake'' so my dears'' VAENI CHUPI'' ZUIENI YUMBA ZENU KWA KUHAKIKISHA ZINA MILANGO''NA KUTOIWACHA MILANGO YENU WAZI AT ALL THE TIME''



Hii hapa naweza nikamshauri au nikawashauri wadada waimbaji kuvaa hivi stejini badala ya kutokuvaa chupi na mwisho wa siku kutuonyesha mandazi yaliyozidishwa amira''YANAUMUKAJE TENA'' Mbuta Nanga!!
Hapo kwakeeeeeee''Mwanamke kujiamini na siyo kujianika bibieeeeeeee''
LINGERIE :BY FLORA LYIMO DESIGNS&TRADES 'WE ARE AT LONDON OXFORD STREET '
WHATSAPP OR CAL +447787471024 

Bei powa kabisa'' Both matching Bra and underwear Only £10 FREE POST PIA'' 
Vaa chupi kama hiyo kulia Wewe Mdada''usirudie tena now fanya fasta piga sim au whatsapp Flora Lyimo 'on +44 7787471024 nitakupa Moja Free pia on your First order just so upate chupi nyingi za kuvalia stejini '' tena za kila design'' 
Mdada asaovaa chupi stejini ndiyo huyoooo''alafu jamani bendi ya wanaume watupu yasemekana ndiyo anayowajia kwa Ugly Puss badala ya Ugly panty lines'' Mbuta Nanga'' sijawahi ona hii''Nyota zangu mnasemaje'' haya semeni yenu na wale mnao mfaham huyu mdada hebu nijulisheni ''ndiyo nani huyu''
Flora Lyimo Fashion Police Blog
www.missfbknitwearlyimo.blogspot.com

1 comment:

  1. Mama na Ngai...hii ni balaa.Uchi upo nje kapisa Dah!

    ReplyDelete