KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 12 March 2014

BY FLORA LYIMO~ HAWA NDIYO WACHAFUAJI (SUGU ) KWENYE RED CARPET YA WOMEN'S CELEBRATION 2014 WASOJUA HILI WALA LILE' MBUTA NANGA'VIHOJAAAA''

Sasa jamani kama ningemsema bila Picha mngesema namuonea,,Sasa muone huyo Dada hapa 'alifikiri anakwenda kuketi kibarazani kuwasumanga watu au alifikiria nini kwa kweli'' hilo lijinsi tena kama la Mwanaume Mchafu nilanini kwenye Red Carpet? Hivi mnajua nini maana ya Red Carpet? Mbuta Nanga' Alafu hivyo viatu usipime''AU NI MLEMAVU WA MIGUU) Basi mnaomfaham naomba mniambie ,na hata kama ''basi tuachane na Viatu ''Hapa angetakiwa avae Gauni tena lirefu mpaka chini hata hivyo viatu siyo lazima kuviona'' 
Ni wale wale'' yani dont ever wear majinsi kwenye Red Carpet ''ni Njaaaaaaaa''I do think so ''nyie mlifika kujishibisha kwa Pilau na Mbege za bure'siyo Siri ninawaambieni LIVE''' Msikwende kuchafua shughuli muhim ''Sasa wewe angalia hawa hapa wote''
 AVOID KABISA''IS NOT FOR RED CARPET''
AVOID KABISA''IS NOT FOR RED CARPET'' Huyu tena katutilia na mapozi ya nguvu utazania ndio kavaa lile BEST DRESS OF HII SHUGHULI KABISA'''hahhahaaa'' niache nifanya kazi yangu jamani ''yani sitachoka kuwaanikeni hapa LIVE'' lazima mtaacha kama hamtaacha mtachapishwaaaaa''
AVOID KABISA''IS NOT FOR RED CARPET''
AVOID KABISA''IS NOT FOR RED CARPET''
AVOID KABISA''IS NOT FOR RED CARPET''
AVOID KABISA''IS NOT FOR RED CARPET''
Red Carpet Dress zinauzwa na your Flora Lyimo Fashion Police ''kama mnavyomuona hapa'' yani Mimi huwa kwa kweli ninajitahidi sana ili niweze kuwaona na Kina Mama/Dada wenzangu kufanya kweli hasa mliopo huko Nyumbani Tanzania'' Tena nawatumieni vitu vya mitoko kwa bei powa'' nyie msisite kunitafuta whatsapp +44 7787471024 hata unaweza kunipigia sim ''
Mwaona eee'' yani tizama picha ya chini nakuonyesha rangi ambazo hili gauni linakuja kwa rangi Tisa'' na pia tuna mitindo ya aina nyinggi na pia hizi zinafaa kwa hape zote'' 
Mwaziona eeee'Rangi ndizo hizoooo''chagua Rangi yako tutafute na in siku kumi za kufanya kazi utapata mzigo wako ''
Flora Lyimo kwenye Red Carpet ya The Tanzanian Super Star Didas Turabi' nadhani wengi mnamfaham anavyojituma hasa kuwa SUPPORT Mastar na Vile vile WATANZANIA WOTE WAFANYAO KWELI KUJISHUGHULISHA NA SIO WALE WAKAAO VIBARAZANI NA KWENYE MABAA KUWASIMANGA WATU NA KUPIGIANA SIM WASIHUDHURIE SHUGHULI ZA WENZAO'' Wagonjwa haooooo''tuwapelekeni Hospital 'pengine hata Hospital hawakufaham'' Mbuta Nanga''wacha Kazi ziendeleeeeeeee''
Hahhahaaaaa' Vicheko vyao hivyoooo''wenye Wivu na mafanikio ya wenzao wasiolala wakiyasaka maendeleo na maminoti ,na bila kuwasahau wale waendao kwenye shughuli za watu kuchafua''halooooo''wapi wale hodari wa vikaputula kwenye interview ? Mbuta Nanga!! ..Hakuna Maendeleo ya Mtu yoyote kama siyo Kufanya kweli jamani kaeni mkilijua hilo, Fanya kweli ukitumia haya'Kusema kweli na kusimama Imara, kutokuogopa kusema yote 'Ukitumia LUGHA MOJA'' UKWELI''
Haya basi my dears'' I think nimekwisha wapeni Ukweli wa hawa wenzetu waliokwenda kujishibisha matumbo yao badala ya kuzingatia shughuli hii ya Juzi ya WOMEN'S CELEBRATION''hasa Kimavaazi ZAIDI'' Kina Mama/Dada tuvaeni magauni zaidi''tunapendeza na kuonekana kwenye mistari ya Mbele kama kule HOLLYWOOD KWENYEWE'' Wasingejulikana Ulimwenguni ikiwa wangekuwa wanavaa Uchafu kama huo uliovaliwa na hao baadhi nilowarusha hapa'' eti wanajaribu kusema walikwenda kwenye Red Carpet''au ndiyo wale hutoroka makwao na kudanganya wanakwenda kwa jirani''' hahahhaaa'' sasa jueni mshanaswa na Flora Lyimo Fashion Police ''hapa kuna watembeleaji wa hii Blog zaidi ya Elfu ishirini kwa Siku ''hasa inapotegemea na wakati nimerusha habari HOT'' Kama HII''sasa leo hata kuposti nitashindwa kwa idadi ya watakao miminika hum ''kuja kuwaona wachafuaji SUGU'' Mbuta nanga'' habari ya Mujini ndiyo hiyoo''
Now follow this Blog ' Ili usipitwe na waliofanya kweli kwenye hii Red Carpet ya Women's Celebration'
Coming soon''
Flora Lyimo Fashion Police Blog

6 comments:

  1. mbuta nanga''wewe ni noumaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa'''

    ReplyDelete
  2. My Flora Lyimo Fashion Police wa Ukwee'' Wacha nikufahamishe na Umbea juu''
    Huyoo Hadija Mwanamboka ni Mlemavu ndo maana anavaa vile kujificha ulemavu wake, Pili'' Ni maarufu sana hapa Bongo ni Mbunifu wa mavaazi,ila mmh''vaaji yake mie inaniachaga hoi na wanasema msagaji shamim alikuwa mtu wake

    ReplyDelete
  3. na wewe noma'kitochi chako inamulika loh'' Blog yako ndo kitochi kinatujuza mambo kibao.

    ReplyDelete
  4. Hello dear I hope your well nilikuwa nakujulisha mzigo nimeupata na nimeupenda sana thanks very much

    ReplyDelete
  5. jaman frolaa huyo wa kwanza ni ,lemavu wa mguu ndo mana anavaa suruali kubwa na hivyo viatu hana size wanasema mguu wake una kama matende ni mkubwa kupitilizaa..nilitaka kukujuza tuu

    ReplyDelete
  6. Hi wapenzi wangu 'natumaini hamjambo na asanteni sana kwa wale wote mlio nipigia sim,whatsapp na kuni inbox facebook bila kuwasahau nyie nyota za Flora Lyimo Fashion Police Blog'
    Sasa hi hivi 'Jamani Mimi wala sikuwa namfaham huyo Dada'' Ila sasa nimemfaham na vile vile kugundua ulemavu wake kutoka kwenu,,,ILA MIMI SINA SHINDA NA HILO '' MIMI NILIKUWA NA MSHAURI ALICHOKIVAA KWENYE RED CARPET NI PASIVYO KABISA'' KWANINI ASIVAE GAUNI REFU MPAKA CHINI? KAMA NDIYO KUTAKA KUFUNIKA ULEMAVU WAKE? Nothing wrong with that'' whats is wrong with her is 'alituvalia nini kwenye hiyo red carpet..na je anajua nini maana ya red carpet'' ASIJITETEE KWA KUSINGIZIA ULEMAVU''' SHE NEED TO WEAR LONG DRESS'' SAWA MAMIIIIIIII''MBUTA NANGA!!

    ReplyDelete