KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 16 March 2014

BY:FLORA LYIMO ~ETI 'OH AOLEWE NA NANI ? SASA TIZAMA ALOMUOWA NI NANIIII'''MBUTA NANGA!! MATOKEO YA HARUSI YA RASHID AND RURIKO' HII NI ALBUM (1)''WALOCHAFUA KWENYE HARUSI HII NITAWALETEENI SOON''

Ukiona Heka Heka ,ujue anaolewaaaaaaa''Hongereni sana MR & MRS'' Mungu aibariki Ndoa yenu' Haya ndiyo Maisha na Ishara ya Mme na Mke kwa wakati wao na tabia zinapofanana Basi Dunia lazima iwatambue hivi''' 
And Yes Flora Lyimo Fashion Police lazima azinase Picha '' Mbuta Nanga!!
Mambo Tiyariiiiiiiiii''sasa mwaona tabasam la Shemeji yetu' yani kweli anaturingiaje sasa''chezea mpata chake Ubaki ukiziona namba za Kila mwaka''hahhahaa'We love it''












Jamani I just Mpenda huyu Dada mwenye Blue Nairobi Dress aka Blue Moshi Dress 'Yani her smile make me feel happy sijui kwanini'' keep that Hot Smile on at all the time my darling'' kuna wengi kucheka kwao ni bahati mbaya''' huwa hawajui kwamba ni jambo jema sana kucheka na kuyafurahia maisha ''hasa Ukiwa kwenye maisha Mema ya ndoa '' Stay Bless ''




Mtajuaje Likoje Nyuma'' haya wakuiga igeni Nyuma na Mbele pia''mbuta nanga!!








Hapa kwaooooooooooo''Jamani Flora Lyimo Fashion Police'' Kasema hivii'' follow this Blog ili usipitwe na waliochafua kwenye hii Harusi yetu'' yani ikiwa hawajanunua Kitenge chao na kushonesha na vyenyewe vinavyopatikana kwa bei powa ,Basi waandike wameziona namba Mwaka hawajauona na wala hii Harusi' kwa kifupi Vitenge kama hivi hapa vyote vya patikana at Flora Lyimo Designs &Trades' Also come in Rangi Tatu'' whatsapp +44 7787471024 ' KARIBUNI NA MADADAS KUSEMA KWELI MMEPENDEZA NA KUONYESHA UMOJA NA UPENDO'' 

No comments:

Post a Comment