KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 16 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS~ HII NI MUHIM SANA KWA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA KWENYE MAHELA YA JUU ULIMWENGUNI'' SIKILIZENI HII KWA MAKINI ''Mh Rais azindua rasmi WESTADI nchini Uingereza


Ubalozi wa Tanzania Nchini Uingereza ukishirikiana na Urban Pulse Creative Media  wanakuletea ziara ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete London Tarehe 30.03.2014 alipozindua rasmi mpango wa Westadi kutoka shirika la NSSF
Miss Flora Lyimo na Rais Jakaya Mrisho Kikwete 'On the day of Huu uzinduzi ''Yani Mimi ninakubaliana na WESTADI 100% Ni vizuri kuona kwamba hata Nyumbani Tanzania tunaweza kufikiria maisha yetu ya baadae kama Wazungu wafanyavyo hapa Uingereza''
Jamani Ndugu zangu Watanzania tuishio hapa Uingereza Nchi yenye Mahela ya Juu Ulimwenguni ''£300 kwa mwezi yani hata £300 hazifiki kule Marekani ni Dollar mia tatu '' Sasa Mimi naona hiyo ni hela kidogo sana hasa kwa mwaka ?Hasa ukifikiria wengine huenda kujirusha one night out na zinaishia hivi hivi kwa masaa machache hata kabla hujaiona siku ya kuamkia your night out uliyo tumia hiyo £300 yako kwenye  starehe 'Tufikirieni Mambo ya kutusaidia Baadae'' I thank you Watu wote ambao huwa siku izi wanafikiria mbali na vila vila kuweza kuwashirikisha na wenzao (WATANZANIA)'' Mimi pia nipo tiyari kujiunga kabisaa'' Sitaki SHIDA'' Bora Kuishi kujua unapunguza Shida kuliko kuishi ukijua unaengeza Shida'' TUEPUKENI SHIDA JAMANI '' NA KAZI NDIYO MPONGO MZIMA WAKUEPUKA SHIDA PAMOJA NA KUJIPANGA'' 

Habari ndiyo hiyo Ndugu zangu Wanzania wenzangu ,I hope mmesikiliza hadi Mwisho kama Mimi hapa Flora Lyimo ,nimesikiliza hadi Mwisho na huku nikitamani kunyosha mkono juu''niulize shwali 'Mbuta nanga'Kumbe is not Live mkutanoni ''Hahahhaa'' Jamni kuna maswali Mengi sana ningependa kuuliza na pia kutoa Ushauri ''Ila hata sijui kwa nani '' But nitawatafuta baadae '' Nataka kujiunga na nipo tiyari '' Nawe jiunge Mtanzania mwenzangu Maiasha ni kuishi kukaa ukijua unapunguza SHIDA na siyo kukaa ukijua unaengeza SHIDA'' Kwa hiyo TUJIUNGENI NA NSSF' Ili  tuishi tukijua tunapunguza SHIDA'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment