KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 22 April 2014

BY FLORA LYIMO ~BREAKING NEWS~ WALIO MTUKANA WEMA SEPETU BAADA YA YEYE KUSHINDA SHINDANO LA IJUMAA THE SEXIEST GIRL'' HAWAJAKOSEA KABISA''' WHAY ? '' KWA SABABU THEY DONT UNDERSTAND THE MEANING OF THE Sexiest ''' MBUTA NANGA!! AND HERE IS THE MEANING YOU HATERS'''

IF YOU GOT IT FLAUNT IT'' CONGRATS WEMA''YOU GOT THE IJUMAA THE SEXIEST GIRL'' Wengine wasubirie THE,,JUMAPILI,JUMATATU,JUMANNE,TUMANTANO ,ALHAMISI NA JUMAMOSI'' Mbuta Nanga'' Hahhaaa'' Flora Lyimo will get them All for Sure''Mbuta Nanga'' Heters Mpoo'' here is the Meaning of '
THE SEXIEST >A SEXIST IS SOMEONE WITH SEXIST VIEWS OR BEHAVIOUR. 
WEMA SEPETU ,SHE IS SEXY AND SHE KNOWS IT 'AND SHE IS RIGHT 'IF YOU GOT IT FLAUNT IT'' KANTANAZEE''  

Mme ona maneno ya Madam ''Wema Sepetu hapo juu baada ya kugandamizwa na Hater Wema aka Heter Maendeleo kwenye Inst'' Yani mimi huko nishaapa hata kwa Hela zote Duniani siingii ng'ooo'' Yani kule ni kwa Vinuka Mikojo wasotaka maendeleo siyo kwao tu ,bali kwa kila mtu ,hasa Watanzania wenzao'' Na wengi huwa wanajijua siyo Mtu mwenye kazi zake na mwenye kutaka maendeleo hasa kwa Watanzania wenzake kama Flora Lyimo atakwenda kujiunga nao kutukana watu bila sababu za msingi.. 
Sasa basi ,ndiyo maana nikasema hivi '' Waliomtukana na kupiga Madam kwamba SHE IS THE SEXIEST GIRL OUT THERE baada ya kushindana na LULU ,WOLPER ,NELLY NA JOKATE'' Kwenye shindano lililowekwa wazi na IJUMAA'' ni kwamba Those Haters they dont know the meaning of Sexiest ''' That is why wakaanza kupiga mswaki na maji machafu bila hata dawa ya kusungulia meno'' so Wema my dear'' I AGREE WITH YOU AND THOSE PEOPLE 'Waliokuchagua maana WE DO UNDERSTAND THE MEANING OF SEXIEST '' AND WHEN ITS COME TO THAT ''FOR REALY HAO WALIOTAJWA HAPO '' I CAN SAY HATA WAO THEY WILL ''AGREE TOO''And you Ijumaa'' Next time jaribu kutoa na maana za hayo maneno ya Kizungu in Swahili maana unajua wengi huko Nyumbani hata Bushi hawajabahatika kwenda'' na Wanajua maneno ya matusi kuliko Pesa'' wengi wao hata Milioni hawajui kama inatoshea kwenye kipochi au'' la''
Mbuta Nanga'' Anyway ''WEMA SEPETU YOU GOT IT FLAUNT IT ALWAYS MY DEAR..AND I CANT WAIT TO SEE YOU IN THAT FLORA LYIMO HOW TO LOOK SEXY AT HOME'' MBUTA NANGA''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment