KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 15 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS'' WALIOCHAFUA ILE SHUGHULI YETU YA BAG PARTY JUZI '' NA HII NDIYO SABABU NIKAITOA HII ON THE SAME DAY POST AT FACEBOOK LIVE ON 12/04/2014 ''Huyo ndiyo mchafua shughuli za watu hatarii..jamani Lulu Clara .ulifikiri waenda kwa jirani yako baada ya mke wake kwenda Holiday au ?..yani wenzio wamevaa magauni hatari...wewe nini hiii.?mbuta nanga..have your say my dears..

 LIVE ON 12/04/2014 Huyo ndiyo mchafua shughuli za watu hatarii..jamani Lulu Clara .ulifikiri waenda kwa jirani yako baada ya mke wake kwenda Holiday au ?..yani wenzio wamevaa magauni hatari...wewe umevaa nini hiii.?mbuta nanga..have your say my dears..Anyway ''Today 15/04/2014 Nimeona niwawekeeni Huyu Ndugu yetu Lulu Clara hapa kwenye Your top in Town Flora Lyimo Fashion Police Blog 'Blog yenye kusema maukweli tu'' na ni baada ya wengi ambao huwa nimeshawahi kuwarusha hum kwa kuchafua shughuli za watu 'kulalamika na kusema ole wangu kama sitomtoa kwenyeFlora Lyimo Fashion Police Blog''kwanini wao nawatoaga na huyu Lulu Clara niwache kumtoa alivyochafua shughuli hii kwa nini ' 'So ndiyo maana na mimi nikatimiza lalamiko lao'' But Is true Kachafua hatari hata Mimi nililigundua hilo '' Pia kuna baadhi ya wenzake walichafua Kidogo tu' not bad kama Lulu mwenye hapa na Mwenzake hapa ambae nae asingevaa leggings za Black.na kwa wale msomfaham Lulu Clara she is the one in that Bluu katop tena bila hata leggings'' mbuta nanga!!
 Hatariiii'Nshamtangazaaaa''Lulu my dear''Mimi sina Ugomvi na wewe na wala sitokaa niwe mgomvi wako 'maana I will never kukuchukulia Mme /Baba watoto wako ,why ? Maana I know Him'' tuseme Mtu kama simfaham alafu Mme/Mpenzi wake aje kunitongoza na Mimi nikiwa simfaham au Yeye pia kunidanganya kwamba yupo Single na mimi nikimkubali ''la sivyo nitakuja kukuambia '' na nitawaambieni wale wote naowafaham Waume zenu nikiwanasa na warembo watafutaji nitawaambieni ,,maana Warembo watafutaji wapo wengi sana now days''na wengine pia ni Wanaume wamejigeuza wanawake ''Mjini London wamekuwa wanted na Waume wafanyakazi wanaokuja London kisafari za Biashara'' Yani Ombeni Mungu sana ''Mana magonjwa hutokwenda kuyatafuta utaletewa ndani Umelala una msubiria Mmme wako '' na pia kumkaangia huku ukiwa huna habari yeye kesha kamuliwa tui lote la nazi na kukaangiwa kinomaa'' Mbuta Nanga'' Ask me''Flora Lyimo mwenye Mji wa London '' I know that and naonaga yote kwa Macho yangu '' Asikudanganye Mtu ''nasema ninayouhakika nayo'' Anyway ''
Back to Lulu vaazi lake ndilo lilikuwa the Mshtuko of watu wengi mle Ukumbini'' Yani aliingia Watu ni kujeukiana na kumfyetua picha za nyuma nyuma...I see it all'' And my self I did make sure sijamkosa kosa'' But ana bahati sijaenda na camera kubwa ya kumfyetua mtu hata akiwa kitandani kwake ''chezea Mimi hapana jamani '' nafanya hivyo kwasababu nawapendeni mtokeleze kisawa sawa ikiwa mmekwenda kwenye SHUGHULI ZA WATU HASA ZENYE DRESS CODE''Kama hii '' full dress code was out siku nyingi na siyo over night'Na waalikwa wote walipewa card vile vile Rangi za ukumbi zilikuwa out and open for kila mwalikwa na wenyewe shughuli au waalikwa na kualikana'' 
Ni muhim sana unapo alikwa kwenye Shughuli kama hizi na kuuliza watu wanavaaje''je ''is there any dress code'' if not ''then ''vaa kiheshima kwa kujiheshim kwenda kwa watu''vinginevyo ''ikiwa unafanya yako ''vaa mpaka chupi ni Ruksa na pia ukiwa unakwenda kwenye Clubs vaa upendavyo '' Paparazi wa Flora Lyimo Fashion Police watakunasa tu'' na siyo mpaka Flora Lyimo kukuwepo kwenye hizo shughuli ''Mpo hapo eee''
Mnaona hapa Huyu Dada wa kulia mwenye Black tupu ''nae kachafua ,but ''siyo sana angelitakiwa kukifanya hapa angebebana na mtandio wake wa ONRANGE AU WHITE'' YANI  JARIBUNI KUEPUKA BLACK IKIWA SHUGHULI HAMJAAMBIWA MVAE BLACK '' MAANA UTAJIKUTA UPO PEKE YAKO NA KUHARIBIA WENZIO PICHA ZAO UNAPO PIGA PICHA ZA PAMOJA KAMA HIVI'' But ''Again she look nice kavaa GAUNI NA KUJI TAARABIKA KITAARABU '' SAFII''
RUSHA ROHO MPAKA ASUBUHI ''NI RUKSA ,TAARABU NI TAMU NA KURUSHA ROHO ZISIZO NA KIPIMO KWA MAGAUNI MAREFU TU''
Jioneeni wenyewe ''Mwenyewe huyoooo''kwenye kujiduarisha na Top yake tena kaipigilia Viatu vya Blue pia,yani ni full chafua in 100% AVOID KUVAA HIVI MY DEAR LULU CLARA'' ONA MWENEYWE HATA HUNA RAHA'' USISEME NI MANENO YA FLORA LYIMO ''NA CAMERA PIA ? HOPE UTABADILISHA YOUR MITOKO LA SIVYO WALA HUNIPI SHIDA'' MAANA HUKU KUTAKUWA YOUR HOME'' UTAJIKUTA HUM KILA UNAPOCHAFUA'' NA UNIKUTE UNIPIGE HIVYO VIKUMBO VYAKO KAMA ULIVYONIPIGA KIKUMBO HAPA'' UJUE nilikuzarau maana mwenyewe ushajizarau ''na vile vile nilisha apa kwamba simpigi mtu tena na wala simtukani mtu tena ''kwani siku izi watu wengi wanatembea na magonjwa na wakijua siku zao za mwisho mwisho zimewadia siyo bure watajitafutia sababu za Mtu kuwasukuma na wafie hapo hapo na Mtu kujikuta ukiozea jela for THAT'' SO I say it before and I AM SAYING  IT AGAIN SINA MUDA WA KUGOMABANA NA WATU NA WALAWAKUPIGANA VIKUMBO NA WATU ,HAYO YASHAPITWA NA WAKATI ''SASA NIKUPIGANA NA KAZI TU'' STAY BLESS NA JUA KWAMBA SINA UGOMVI NA WEWE NA PIA KIKUMBO CHAKO CHA JUZI KWENYE HII SHUGULI  NISHA KIKUSAMEHE'' YANI ULIONA WIVU KWA KWELI MAANA SIYO BURE WATU TULIWAKAAA'' FULL KUVAA MAGAUNI YETU NA DRESS CODE ZAKE ''WALIOKUONA UKINIPIGA KIKUMBO NAO WALIKUPANDISHA NA KUKUSHUSHA MPAKA CHINI CHINI KABISA,YANI WE WAS LIKE'' NI SHIDAAAA''GAUNI LIMESHAKUSHINDA UMEBAKIA KUTIMULIA WATU VUMBI KAMA TEMBO INA HUUU'' MBUTA NANGA'' WATU HAWAPIGANI VIKUMBO WALA KUTUKANANA ANYMORE MY DEAR'' NA MIMI FLORA LYIMO  SIKU IZI ''MABAYA NIKITENDEWA SILIPIZI NAOMBA MUNGU NA KUSHUKURU '' KWANI NAJUA MUNGU NDIE KANIUMBA BILA KUKOSEA KITU'' NA HAKUNA MWINGINE ALONIUMBA KUNIAMBIA KITU'' NA UKIKOSA KUBALI MATOKEO ''KANTANGAZENIIIIIIIII''




SHUGHULINI MAHALI MAALUM'' MMEPAONA EEE'''SASA WEWE UJE KUPACHAFUA'' UWIII''YANI JAMANI HIZI SHUGHULI NI HELA NA SIYO MAGAZETI YA BURE YA LONDON AMBAYO HUGAWIWA WATU BURE'KWA HIYO YAFAA KUZIHESHIM' MBUTA NANGA!!
WALIOKUJA NA RANGI ZA HII SHUGHULI MNAWAONA WANAVYO NOGA EEEE' WEL DONE WALE WOTE MLIOFANYA KWELI '' YANI ENDELEENI HIVYO HIVYO''
ONENI HATA MEZANI ''YANI FULL KUNOGAAAAA'' KWA MARA NYINGINE TENA JAMANI HONGERENI SANA SANA WAPAMBAJI WOTE NA WAANDALIZI WOTE WA SHUGHULI HII''BILA KUMSAHAU MAMA MZAA CUTE BOY'' MPORA UMEONA UNAVYOPENDWA EEE'' ALAFU HII UNAAMBIWA NI MANYUNYU TU''BADO MVUA'' MBUTA NANGA''
Jamani Ndugu zangu Watanzania ikiwa kuna nilie mkwazisha naomba Anisamehe na ajue nipo kazini ''nafanya my job ''of kuhakikishia watu hawashafuliwi shughuli zao ''Mpo hapo eeee''Pia mmeona tangu nianzishe Flora Lyimo Fashion Police Blog'' Wengi wamejirekebisha hatariii'' Mnaona Vile ZAOMBA MATATA''ANAVYO VAA SIKU IZI MASHUGHULINI ? Yote hayo ni kwa sababu ya Flora Lyimo Fasion Police'' Na pia kuna wengi sana ambao hawapo kimajini in my mind ''But wanajijua na wengi siku izi huniona na kuja kuniambia Flora Lyimo Fashion Police ''wewe ni nomaa'''ulinitoa kwenye Blog yako na sasa ona ninavyojivalia mweneywe maana nakuogopa hatari ''na sasa nakupenda sana''kwani umenifundisha kuvaa''You see'' Yani watu kama hao kwa kweli hunipa moyo wakuendeleza hii FYETUA FYETUA YA KUWANASA WACHAFUAJI WA SHUHULI ZA WATU ''AND WENGI PIA HUNILETEA PICHA SO I DONT EVEN NEED TO BE AT THE SHUGHULI ZENYEWE''ILA KUMBUKA UNAPOTOKA KWENDA KWENYE SHUGHULI UNA UHAKIKA WA 89% YAKUKUTANA HUKO NA FLORA LYIMO FASHION POLICE' SO KAA NA VAA UKIJUA HILO''
ASANTENI NAWAPENDENI NYOTE NA MUNGU AZIDI KUTUBARIKI 'TUPENDANENI WATANZANIA WENZANGU NA TUSIGOPEANE KUAMBIANA UKWELI'' RUWA MANGI'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG.

7 comments:

  1. Huyo Lulu clara yuko kama nyangumi, yaani papa la majini hilo, si staharabu kabisa hilo nchi kavu haliwezu bora lirudi baharini kwa nyangumi wenzake

    ReplyDelete
  2. Flora we kiboko hata mi nilimuona alipokupiga kikumbo nikamshangaa sana. Kwanza napenda kukueleza kwamba huyo Lulu Clara hakualikwa kwenye hii shughuli yetu maana ange alikwa angevaa sare kama wenzake. Alidandia tu shughuli na ushari wake. Ametukwaza sana alivyo vaa katuchafulia na huo ushari wake hajatufurahisha kabisa. Lulu hatukutaki kwenye shughuli zetu ndo maana hatukukualika. Flora safi sana

    ReplyDelete
  3. Flora Lyimo wewe ni super star wetu hawakuwezi na huyo lulu clara ,mimi nilimuona kabisa alipokupiga kikumbo na angekufanya uidondeshe ile sim yangu angejuta kuvaamia shughuli za watu bila kualikwa,lilipo ingia na li tishet la mani tulishangaaje ? yani Flora tunakupenda sana na wakuwacheeee'' thanks kwa picha safi sana''

    ReplyDelete
  4. she look pregnant ,but pia hicho kisiwe kizuizi 'Lulu clara hujaa kuchafua chafua shughuli za watu tu,kama tembo msituni 'kweli flora hujakosea aliingia akitimulia watu vumbi''mbuta nanga'' NI SHIDA!! Usimpige mbuta nanga vikumbo tena 'wewe lulu clara utachapwa na ulimwengu'lol''

    ReplyDelete
  5. Flora Lyimo Fashion Police ,nakupenda sana na hii blog yako 'wewe husemi vitu vya uwongo maana siyo maneno yako tu''MIPICHA NDIYO THE TALK OF MUJINI''' Waweke mama wa wawekeeee LIVE'' Lulu wewe ni rafiki yangu ,Ila huwa nashindwa kukushauri kwa mavaazi yako ,maana hupendi kuambiwa ukweli 'sasa ona vituko ulivyo valia kwenye shughuli ya WAZANZIBARI...kwani huwajui shughuli zao magauni mng'aro ng'aro'''mbuta nanga''

    ReplyDelete
  6. Hahhahahahahhaaa'kof kof kof hadi kikohazi ,mbuta nanga'lulu kwani hunaga kyoo nyumbani ? Basi una mme asikushauri uvae vipi 'ulichafua sana kubali yaishe na kupigana vikumbo kusha EXPIRE... pigana na kuvaa vizuri ,fanya kazi na zingatia dress code kwenye shughuli za watu'' Flora uko juuu'''love you sana'' pia nimemiss picha zako za how to look sexy at home'' tuchekeshe bwana'''

    ReplyDelete
  7. Mambo yote dress code we kidungu maria aka kigodoro cha UK na kwa nini show haifanyiki tena huko kwake bi Kigodoro kama alivyo tangaza kila kona? Anyway Lulu hukupendeza shoga angu hata mimi nilimuinbox Flora kumwambi akuanike hapa na huo mwig wako na mitako yako ya mchina uliyovali umechekesa wazanzibari wanajipanga kwenye shuguli zao na wewe uwe unajipanga lakini hii nakusamehe sababu hukualikwa ulidandia na tusikuone tena

    ReplyDelete