KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 2 April 2014

BY FLORA LYIMO~ MAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UINGEREZA NA KUWAPA MAKAVU LIVE ' WANAWAKE MSICHUKULIANE WANAUME' KINA MAMA WALIGEUKIANAJE SASA'' MBUTA NANGA!! INGIA HAPA KUSOMA YOTE''

Mama Salma Kikwete akisimama na kuanza kuwapa kina Mama Watanzania Waishio Uingereza Yote aliyokuwa amewaandalia siku ya leo 31/03/2014 hapa Ubalozini London ' Mama Salma Anaambatana na Mme wake kama kawaida Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwenye Mwaaliko wake na Mheshiwa David Cameron wa Siku tatu hapa Nchini Uingereza ' Siku hii Ya Jumatatu Mama Salma kagawanyika na Mme wake Ili aweze kukutana na Kina Mama wenzake Waishio hapa Uingereza ,ambapo ni kitu cha Kuheshim sana ,kwani anaonyesha ni jinsi gani anajali Kina Mama wenzake.Kwani Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete nae Leo yupo kwenye Hizi shughuli maalum zilizomfanya akaalikwa kuja hapa Uk kuhudhuria'' 

Mama Salma akiendelea Kuhutubia Kina Mama jambo la kwanza na La kuliza ni Lile la shughuli zake anazozifanya ambazo alikuja na Video haswa kwa malengo yakuonyesha kina Mama Umuhim wa kufanya kazi ,kupendana na kuwasomesha watoto hasa wale wasiojiweza ' na Huku wengi wao wakiwa ni waambukizwaji wa maradhi ya HIV huku wengine wakiwa hawana Wazazi hata Mmoja.
Salutiiiiiii kwa Mama yetu mpendwa Mama Salma Kikwete ,tunakupendaje sasa!!

Flora Lyimo Fashion Police with her Big Nyota'' Yani I love you my Girl and thank you kwa yote uloniambia '' I will Always zidishieni nyie maukweli at Top blog yenu ya maukweee''I promise Mbuta Nanga!!






mbuta nanga''This is Anastasia the Tanzania super Model kanifanyaje mfupi 'Uwii jamani mdogo wangu siunigawie kadogo hata nikufikie bega to bega basi ''hahhahaa''I wish you all the Best with your Modeling Kipenzi''






Mwaona Jinsi ya kukaa eee'' yani Mrembo mwenye Blue Moshi Shoes'' Anakuonyesha how to seat like a Lady''Siyo Mtu unakaa umejiachia kama Mwanamme vile' Mbuta Nanga''

Mitambooooooooooooooooo''''Mbuta Nanga" Shidaaaaaaaaaa!!
Ms .Francia Chengula /All ' Akijiandaa kwa Wimbo wake ,ila alikuta Mitambo imeganda na kuisubiria iyeyuke'Mbuta Nanga'' Kweli Watanzania hata tupelekwe wapi Ni Shidaaaaaaaa''Yani sioni ni kwanini wasingeijaribu hiyo mitambo yao kabla ya shughuli kuanza ili kila kitu kiwe tiyari na kuepuka aibu '' Anyway ''She did sing Baada ya Kusubiri hadi kikaeleweka''
















Hapa ndiyo usipimeeeeee''Kabla ya Yooooo''was Aibuuuu''yani kwa kweli nilitamani kulia'' baada ya Mama Salma kutoa Video ya kazi zake anazozifanya ambazo alitaka tuonyeshwa which this one was soo Special to her and to us,soShe wanted All Kina Mama wa Kitanzania UK Diaspora Community kujionea yani MUST SEE.I CAN SAY''' Ila aisee haikuweza kutizamwa na Sauti yake tatizo sijui lilikuwa nini haswa'' ,sasa watu tukabakia tukitizama Picha bila sound'' Yani Mama Salma alibakia akishangaaaa'Uwii 'Huwezi kuamini kabisa hapa ni UK utadhani ni kule Vijijini Tanzania maana hata kule Mijini kama Dar wanatushinda kabisa now days'' Na tatizo la Watu wengi wanaohusika na Mambo kama haya ya kusimamia Shughuli huwa hawajipangi na pia wengi wao wakiwepo ni wavivu,yani wewe ukitaka kuwajua ni wavuvi watizame wanapotembea,yani huwa hawana habari kabisa'' 
Mimi I can give you advice kidogo tu Ndugu zangu Watanzania wenzangu '' Kuweni mnafika mapema panapo shughuli hizo na kuvijaribia vyombo vitakavyotumika hasa vya sauti ambavyo vinaweza vikawa havitoe sauti au pia vikawa vimeharibika ,na vile vile  kuviweka mahala pake ambapo watu wanaweza kutizama vizuri bila usumbufu kwa kuketi mwisho wa viti vyote na kona kona zote ili muweze kuona ni jinsi gani watakao kuwepo hapo wanaweza kuona mbele au mahali hapo mlipopaandalia pa kusimamia Viongozi au TV na vyote vitakavyo husika kwa ajili ya shughuli hizo, Siyo msubirie on time of kuvitumia ndipo muanza kuitana na kujeukiana huku Waheshimiwa wakiwashangaeni''that is how they do it in here UK haswa 'ndiyo maana mnaona wanamaendeleo walionayo sasa hivi ,so msikae hapa UK bure bure ,Jifunzeni bure bure,maana huhitaji kwenda shule unahitaji kuiga mazuri tu'' How like I said''' JARIBUNI VYOMBO VYA SHUGHULINI KABLA HAVIJAANZA KUTUMIKA'' NA PIA UKUMBI ''JAMANI TULIBANANAJE HAPA'' Uwiii ,Mimi nilishindwa hata kupiga Picha kabisa ndiyo maana mnaona Nyingi sijaweka kulikuwa na mambo mengi sana na mimi hupenda kukamata yale yalosahaulika lakini 'Hapa palikuwa hapatoshii'' Na nachukia sana kukwaruzana kwaruzana na Watu hasa ambao hata usingependa kabisa kukwaruzana nao'' But unajikuta huna jinsi'' I do think Shughuli kama hizi zinafaa Zifanyike kwenye Hotel za Bei za chini ambazo hizi Hotel zinakuwaga na sehem za mikutano mikutana na bei zake ni powa sana,kama hii sioni kwanini kufanyika hapa Ubalozini wakati kuna Hotel za kule nnje ya Mtaa huu wa Mapesa ''Barking London ,yani pale kuna Hotel Mbili ambazo hizi shughuli zingefaa sana pale na hata watu wasingelalamika How to get there by Magari yao ''maana wengi hawakudhubutu kuendesha Mjini hapa kabisa'' Yani Walioendesha ni wale wanaojiamini haswa na wanaojua magari yao yapo na hali inayoridhisha Police wa Mji mkuu''maana hawa hawabahatishi kukunasa ni sekunde moja tu'' Mbuta Nanga'wacha niachie hapa Next time pia ukitaka mpate sehem huko Mahotelini na mpewe bei powa nijulisheni ''Nitawaelekeza wakuwapeni kwa bei powa''

Pole sana our first Lady 'Jamani Mama Salma Kikwete bado anabakia akitizama kwa masikitiko sauti hakuna kabisa'' Uwiii''SHIDAAAAAAAAAAAAAAAA"MBUTA NANGA!! Wasamehe bure Mama''Nadhani wamenisoma na kujirekebisha next time wajifunze kuijaribu mitambo hiyo kabla ya kutumika Live''
Flora Lyimo Fashion Police ''Akiwa kwenye Kijibajaji cha Mtaa wa Mahela 'London ''Yani hivi ndivyo Furaha ya huu Mji mkuu ''Usifike ukaacha kutembezwa navyo ''ili kujionea maduka yetu na Mtaa wote kwa ujumla ''
Kiatu mwakiona ee,,Kinauzwa kipo Dar na Tanga'' Hapa London vimekwisha'' Na Pia gauni na jacket nauza vimebakia vichache Only hapa London '' Magauni yatakuwa Dar mwisho wa Mwizi huu'' Ila majacket situmi na pia yamebakia machache so only for London au UK people'' Karibuni Whatsapp +44 7787471024

I love Usafiri huu kinoma,Yani huu ndio usafiri wa Flora Lyimo Fashion Police in London ''


In a London Black cab time to go home''You cant go home with kijibajaji''Mbuta nanga'hata ningependa haviruhusiwi kwenda mbali 'chezea London sheria weweeee'Itakukomeshaje''




I love Usafiri huu kinoma,Yani huu ndio usafiri wa Flora Lyimo Fashion Police in London and Yes for Life''

Yooooo''Baada ya Programme kubadilika na kuendelea na mambo mengine hasa yale ya makavu live ' Ndiyo na Sauti ikakubaliii''sasa ona Watu wakishangilia''Yooooo''And thanks God Mama Salma aliweza kurudi Home na amani ,kwani tuliweza kuangalia alichotaka tuone''na tuliliaje sasa Wengine kama Flora Lyimo '' Uwiii''kweli I do think wangetuuzia hiyo Video tununua na vile vile hizo hela zikaenda kuwasaidia hao watoto kule Shuleni'' Mama una Fanya kazi nziri Mno '' IM SO PROUD OF YOU ''NA NIMEKUIGA VIBAYA SANA NA NITAZIDI KUKUIGA'' PAMOJA SANA AND GOD BLESS YOU ALWAYS MAMA SALMA KIKWETE''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment