KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 3 April 2014

BY FLORA LYIMO ~NA HAYA NDIYO MAKAVU LIVE YA MAMA SALMA KIKWETE ALIYOYAMWAGIA LIVE KINA MAMA WAKITANZANIA WAISHIO UINGEREZA 31/03/2014 UBALOZINI UK' NANI ANAOGOPA KUACHIKA ? UNAOGOPA KUACHWA ? MBUTA NANGA!!

OUR FIRST LADY 'AKIANZA KUMWAGA MAKAVU LIVE ''BILA KUACHA HATA CHEMBE''
Ukitaka kumsikiliza ingia Flora Lyimo in Facebook kuna Video kwani huku imegoma kuingia kwasababu sijaifanyia mambo mengi kwani nimeirusha fasta fasta'' huku maneno na Picha ndizo muhim sana kwa Flora Lyimo Fashion Police'Mbuta Nanga!!

Hivi Wewe unaogopa kuachwa, wewe mwanamke ambae una maarifa yako yote,nguvu unazo,akili unazo ,nguvu unazo UNAOGOPA KUACHWA ? Watu kwiii kwi kwii, Mama -sisemi hivi alafu muende mkadai talaka huko eee,, watu ni walichekaje sasa,Lingine ni Haki yako ni lazima uipiganie Mwenyewe,Usipoipigania utateseka na utaonewa sana,  Lingine nataka niwaambieni kina Mama,msipigwe baada ya kupigwa eti ,unajua nakuanza kusema ninaonewa sana ,Mimi sijui nina nini sana ,alafu unachukua vidonge unameza,yani unajiuwa sababu ya mwenzio ? eti nakufa sasa nakuachia wewe uendelee na Ulimwengu,,MSIFANYE HIVYO KABISA WANAWAKE '  Mpango mzima kwa Mwanamke ni Kazi hata kama inakupa kamshahara kadogo ,kazi ni muhim sana.kazi ndiyo kitambulisho chako ,kazi ndiyo zamana yako''Mama - Mimi naolewa tu,Mume wangu ni waziri '' 
Na Kwa wale mliokuwa hamfaham hili ,Mama Salma Alikuwa Mwalim so ni Mwalim 'na Rais alipopata Urais Mama Salma aliendelea kusema kwamba hajanyimwa kufanya kazi lakini kuna Wanaume wengine huwanyima wake zao kufanya kazi, Yani kazi ni Muhim sana jamani ,hivyo ndivyo nimemuelewa Mama Salam' Fanya kazi ili uwezi kujitegemea na siyo kumtegemea Mwanamme ,hata Flora Lyimo ,Alishawahi kuwaambieni mara kadhaa kwamba Kazi ni muhim sana kwa mwanamke yoyote unapokuwa na Kazi hata Mme wako hawezi kukunyanyasa hata siku moja'' 
Mama Salma Kikwete ,Akiendelea na makavu live kwa Kina Mama wa kitanzania Uk ndani ya Ubalozi wa UK Mjini London ' Kina Mama unaishi Ulaya epukeni sana urafiki wa kuvuka mipaka,Kupeleka rafiki zako chumbani kwako ,kila kitu ona ona ona ,Mbuta Nanga',Yani Chagueni neno la kuwaambieni marafiki zenu' Lingine pia ambalo Kina Mama walibakia wakijeukiana ni kwamba Kina Mama Usichukue Mme wa Mwenzio ,Yani  Agenda yake ni kwamba ,WANAWAKE KUPENDANA WANAWAKE KWA WANAWAKE Mwenzio anaomba nafasi ya Uongozi ,kwasababu wewe yule kakutendea jambo  unasema humpendi''sasa ili ufanikiwe kwenye hili ,kwenye Bibilia inasema ondoa boriti ndani ya jicho lako ndipo uondoe kibanzi ndani ya jicho la mwenzio.ina maana kwamba rekebisheni haya matatizo haya makubwa haya,yaliyoko baina yenu ,na haya makubwa ya kurekebisha ndiyo yale yakutokuchukua MME wa mwenzio ,(kina Mama ni kwii,kwii,kwiii) msifikirie ni mambo madogo ,hayo ni makubwa sana,yanajenga chuki ,yanajenga uhasidi ,yanaondoa ,yani huruma,kila kitu hakuna kwenye mazingira hayo' Yani kina Mama epukeni tabia hizi jamani ,Mama Salma amesema kweli kabisa ,Ila Mimi nilitamani kumjibu ,na kumuambia kwamba ?Tatizo nalo ni wanaume pia Vitombi tombi ,yani wamekuwa hawaridhiki na wanayoyapata kwa Wake/wapenzi zao ,Sasa unaweza kumkuta mwaname baa yupo peke yake na wala vidoleni hana Pete yoyote ya ndoa wala ya Uchumba,Mara anamtongoza Mwanamke baa na huyo mwanamke yupo kwa kujitafutia bahati zake kwani yeye she is single,Sasa mwanaume huyu anamuambia yeye hajaowa na wala hana mke,,sasa hapo wanakubaliana na mapenzi yana anzia hapo hapo na huku hata Nyumbani Mwanaume huyo asirudi na kulala kwa huyu Mwanamke alomkuta baa akijitafutia bahati zake, sasa hapo ni nani mwenye makosa na huku mwanamke huyo wala hajui ikiwa mwanaume huyu kama ana Mke au hana? So kwangu Mimi Mama Salma naona ni Mwanaume ndie mwanye makosa na vile vile hiyo ndiyo sababu nilishawahi kusema Mimi iwe siku nimeolewa na Mme wangu nimkute na Mwanamke wala sitomuuliza chochote huyo Mwanamke Ila huyu Mwanamme wangu ndiyo atakae ziona namba badala ya Miaka na Miezi 'Mbuta Nanga'' Anyway MMESIKIA KINA MAMA EEE''
HABARI NDIYO HIYOO''SASA SUBIRINI VIDEO.
Flora Lyimo Fashion Police Blog'

No comments:

Post a Comment