KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 14 April 2014

BY FLORA LYIMO ~MATOKEO YA FAB BAG PARTY IN SLOUGH 'ALBUM (3) MAPOZI YAKUMFANYA NYOKA KUWA NA MIGUU KUMI NA MBILI''MBUTA NANGA!!

 CHEZEA WIFI MTU'' YANI SHE TAKE IT OVER ''AKIWAKILISHA KAKA YAKE'' LOOKING FAB ''NA RANGI ZOTE ZA SHUGHULI HII IN ONE'' KAMTANGAZENIII''' 


 I just love it'' Wakati Mtu anachukua muda wake wakijiandaa ''Yani wewe muone wifi Mtu hapa'' alivyo jipamba na kuhakikisha Rangi zote kazivaa '' that is how you do it'' Mpora wetu anabahati kweli kukutana na Wifi Mrembo na mwenye kumjali Kaka yake'' Bila kusahau Big support to her Mama Mzaa Cute and Pretty'


 The top in Town Flora Lyimo Fashion Police nae hakuchelewa kuwakilisha Kaka yetu'' Yani Mpora tumekukubali na tunakusubirije kwa Ham'' Anyway ''Flora Lyimo hapo anafanya yake''anarusha walochafua shughuli hii 'LIVE'' Yani Waliochafua ndio walikuwa the talk of hapa kwenye hii shughuli yetu''


 Mwaona hizo rangi eeee''hapana kuchafuaaaaaa''yani wewe vaa gauni lako la rangi yoyote ikiwa ulikosa Orange na White''BUT''''''TUPIA ORANGE MTANDIO AU KIATU '' AU ANY ACCESSORIES''Itakayo iwakilisha hiyo Dress code''

Mrembo wetu mwingine alie chukua muda wake wakuhakikisha kajipamba kwa mauwa ya kunogesha hii dress code'' yani wewe tizama the Viatu vyake'' then hiyo Yellow yake'' so nice I love it'' 




Mwamuona eee'Nothing but GORGEOUS'' 


Dada huyu mwamuona eee'Mtizameni vizuri ,alafu mwishoni mwa hizi picha kasomeni habari yake''
Hawa Madadas nao walivaa sara zao za kufanana siyo kirangi tu'hata kimtindo pia'' Nice na welldone ''

Huyu Dada jamani mwamuonaje''She look like Shamim Mwasha'' Yani nilivyomuona nilidhani ni yeye au wanaundugu ? what you think mnao mfaham Shamim Mwasha''' I do think kweli wanafanana''Kisura lakini ,siyo mengine maana I dont know huyu Mrembo wetu hapa''

Wachagga Tumetulia hatutaki maneno ''tena hapa tunawaza Hela  zetu tuziingize kwenye Biashara gani '' Mbuta Nanga'' Hahhahaaa' Miss you tiyari my Darling'' Stay Bless Always ''Love you piaaaaa''





Mwaiona misosi yani ilikuwa tamuuu''Tulikula na kubeba haswaaaaa'''

The Top MC in UK ''akiwa kajituliaaaa''Baada ya kumaliza kazi zake za kuchangamsha Watu zaidi ''Yani hakuna ambae hakumfurahia'' Santeeee My DDF'' Love you Mingiiiiiiiii'''


Misosi kwa upana zaidi''Mwaiona eee'' Nasikiaje njaa sasa''

KATUTANGAZEEEEE''JAMANI THAT IS THE TALK OF MUJINI ''NOTHING ON ONE ON ONE' NA TULINOGA NA KUNOGESHAAA''MBUTA NANGA!!

MWAZIONA RANGI ZISIPOCHAFULIWA ZINAVYONOGA EEEE''SAFI SANAAAAAA''


MWILI HAUJENGWI KWA MAWE WALA MATOPE'' CHEZEA MISOSI YA WATU NA TAMADUNI ZAO WEWEE 'I LOVE IT''





Mwaona hii style ya Viti hivi ''yani ni kama Sexy Viatu viwili haswaaa''I love it'' 
Mwamuona Huyu Mrembo wetu Dada yetu ''Yani nataka wengi mtoe mfano hapa kwake'' Mnaona yeye kajitafutia Kanga yake yenye Rangi za hii shughuli na kazimechisha hadi kichwani kiutamaduni wao '' Sasa kwanini inakuwaga Shida kwa wale huenda shughulini za watu za Muhim na zenye Dress Code nakwenda kushafua na mavaazi yao yasiyo eleweka wala yasiyotakikana kabisa kwenye shughuli hizo'' Just do like huyu Dada'' Angalia hiyo Kanga Vaazi lake lilivyo Mnogesha''na kuendana na Mwili wake bila kuwa na wasi wasi wowote'' Yani kanogeshaaaa'' Well done my dear''

Maneno ya Kanga-Dress aliyoivaa huyo Mrembo wetu kwenye hii shughuli yetu ya Bag party'' Yani I do think walikuwa wanaimanisha''(UNDUGU)badala ya
UDUGU WETU UNAPENDEZA IGA KAMA UNA WEZA'' 
Au vipi mrembo wetu wewe unasemaje'' tusahihishie ikiwa Flora Lyimo kakosea au ndio wenyewe wamekosea''mbuta nanga!!
Mwisho kabisa ni Our Super Star wa Bongo Movie in UK na the Top MC in UK Da NUUUUU'' Yani kwa kiufupi kwenye Shughuli zako usimkose kabisa''Kamtangazeee'Mbuta Nanga!
Flora Lyimo Fashion Police Blog

No comments:

Post a Comment