KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 7 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ MHESHIMIWA RAIS KIKWETE NA MAMA SALMA KIKWETE WAUAGA MWILI WA MAREHEM KELVIN MSEMWA'


 Amiri Jeshi Mkuu Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitoa heshima zao za mwisho
 Wakitoa pole kwa wafiwa
 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akielekea kutoa heshima zake za mwisho
 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akitoa heshima zake za mwisho
 Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange akimfariji mjane wa marehemu
 Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akielekea kutoa heshima zake za mwisho
  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akitoa  heshima zake za mwisho
  Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi akimpa pole mjane wea marehemu baada ya kutoa heshima zake za mwisho
 Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akielekea kutoa heshima zake za mwisho
  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akitoa heshima zake za mwisho
  Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akimpa pole mjane wa marehemu
 Wakuu wa mikoa ya Dar es salaam (kulia Mhe Saidi Mecky Sadid) na Mtwara  (Kanali Joseph Simbakalila)  wakitoa heshima zao za mwisho
  Katibu Mkuu Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Ndugu Job Masima akitoa heshima zake za mwisho
 Heshima za mwisho
 Mnadhimu Mkuu wa JWTZ Luteni Jenerali Albert Ndomba akitoa heshima zake za mwisho

 Profesa Philemon Sarungi na Dkt Emmanuel Nchimbi wakitoa heshima zao za mwisho
 Wafiwa wakipewa mikono ya pole
 Mikono ya pole kwa wafiwa
 Wanadhimu Wakuu Wastaafu wa JWTZ Luteni Jenerali Sayore na Luteni Jenerali Iddi Gahhu wakitoa heshima zao

 Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Robert Mboma akitoa heshima
 Mkuu wa Majeshi Mstaafu Jenerali Robert Mboma akitoa pole kwa mjane wa marehemu
 Heshima ya mwisho kwa marehemu
 Saluti ya mwisho kwa marehemu
 Majenerali walio kazini na wastaafu wakielekea kutoa heshima zao za mwisho
 Heshima za mwisho kwa marehemu
 Pole kwa wafiwa
 Maafisa waandamizi wakimuaga mwenzao
 Wakitoa pole kwa wafiwa
 Poleni sana....
 Foleni ya kwenda kutoa heshima za mwisho kwa marehemu
 Maafisa waandamizi wakielekea kutoa heshima 
 Kuelekea kutoa heshima za mwisho






 Waambata wa kijeshi katika balozi mbalimbali walikuwepo
 Heshima za mwisho toka kwa waambata wa kijeshi 










 Mjane wa marehemu akipelekwa kuaga mwili wa marehemu




 Jeneza likifungwa baada ya heshima za mwisho
 Mwili ukiandaliwa baada ya heshima za mwisho kutolewa
 Mwili ukiondolewa baada ya heshima za mwisho
 Mwili wa marehemu ukiondolewa eneo la tukio
 Amiri Jeshi Mkuu akisindikizwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt Hussein Mwinyi na Mkuu wa Majeshi Jenerali Davies Mwamunyange

 Jeneza lenye mwili wa marehemu likiagwa na maafisa waandamizi wa JWTZ
Mwili wa marahem utasafirishwa tarehe 7/4/2014 kwenda Songea kwa mazishi' Mungu ampokee Marehem na kumlaza pema'AMEN'
THANKS FOR THE POST .BY:MUHIDINI MICHUZI'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment