KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 16 April 2014

BY FLORA LYIMO ~ ONA THE SUPER STAR NAOMI CAMPBELL KWENYE PARTY JANA USIKU IN LONDON ''WAKIGOMBANA LIVE'' KAMPAJE DOSE MODEL MWENZAKE'' MBUTA NANGA!!


Fashion party: Supermodel Naomi Campbell looks pretty in purple as she leaves a Jean Paul Gaultier party in London's Marylebone
Fashion party: Supermodel Naomi Campbell looks pretty in purple as she leaves a Jean Paul Gaultier party in London's Marylebone''
So chic: Naomi showed off her slim legs in a colourful minidress and peeptoe bootsSo chic: Naomi showed off her slim legs in a colourful minidress and peeptoe boots

She gave model Nicole Trunfio a serious dose of her diva antics on Australia's The Face jana usiku'' 
yani ni nomaa.nilidhani ni kina sisi tu tunapeana madose yakutosha'kumbe hata hawa wamo ?Wacheni kazi ziendelee jamani madada's ''Msipigane kwa matusi ,tupigane kwa kazi bwana'' 
But the now infamous TV scene couldn't have looked further from Naomi Campbell's mind as she left Jean Paul Gaultier's party at Chiltern Firehouse restaurant in London's Marylebone a few hours later.
Almost smiling, the 43-year-old didn't appear remotely bothered about the furore she had caused back in Oz.
Fashion party: Supermodel Naomi Campbell looks pretty in purple as she leaves a Jean Paul Gaultier party in London's Marylebone
Fashion party: Supermodel Naomi Campbell looks pretty in purple as she leaves a Jean Paul Gaultier party in London's Marylebone''
So chic: Naomi showed off her slim legs in a colourful minidress and peeptoe bootsSo chic: Naomi showed off her slim legs in a colourful minidress and peeptoe boots
Mbuta Nanga''Naomi showed off her slim legs in a colourful minidress and peeptoe boots Jana usiku kwenye party iliyo andaliwa na Super tena the one of the Top up there Designer ambae namuaminia kinoma'' si mwingine ni the one and only Jean Paul Gaultier '' Back to Naomi 'Yani ukimuona Naomi utadhani ndie Super Model top tena Duniani kama Black Model ?'' Ama kweli tusicheze na Maisha kila siku tunapolala na kuamka maisha nayo huamka nasisi au hulala na sisi'' Ona anavyovaa Club siku izi '' Utadhani she is just a Woman from kule Moshi Vijijini ameingia Dar in just month kujitafutia Riziki zake'' Na umbea wa mjini ni kwamba'' Aligombana na mwenzeke tena kasichana cha kumuamkia Shikamoo Da'Naomi'' Yani soma walichotupiana Live'' Chezea Naomi weweeee''Hivi pia hili swali nimekuwa najiuliza'' Naomi sasa hivi she is 43 years Old ''hajaolewa na wala hana Mtoto wala watoto na Hela zake na usupastaa wake wote''how come ? Jibu ni kalipata hapo hapo mwenyewe nikiandika hii habari yake ya jana usiku'' Jibu ni kwamba'' Kila mtu ana bahati yake na bahati hupangwa na Mungu ,na Vile vile kila mtu anavile anavyojipangia mwenyewe maisha yake aishi vipi na ni Mtu ,Mwanaume /Mwanamke wa aina gani anataka wakuowana nae ,maana kuowana siyo kula soda na mkate'' au kunwa mbege kule Uchaggani mkipokezana,,(RIHA MHO MBEE) No kabisa,,Kuowana ni kitu cha kuzingatia na kujua ndiyo basi umefika na hakuna kurudi nyuma ''yani mzigo wako ushaufikisha Nyumbani sasa ni kukaa na kuanza kuufurahia kwa lolote lile'' so Ikiwa hujampata wakukaa nae for goods ni basi utasubiri mpaka umpate hata mpaka mwisho wa maisha yako ''itakuwa ndiyo bahati yako hapa Duniani haikuwepo na wako yupo Mbinguni labda'' You know ''like we always say ''YOU NEVER KNOW'' Is true kabisa'' Anyway ' habari ndiyo hiyoo'' Usione Mtu hana watoto au hajaolewa na Umri wake kusogea hata miaka mia ukafikiri hataki ,siyo hataki ''wengine wana watu wao wanaowapendelea kuolewa nao na hawajawapata bado''Good Luck Naomi ''wewe kula maisha my dear'' party hard when you can ''why not'' Mme na watoto Mungu ndie mteuwaji''soon atakuteulia wako wa maisha na watoto pia''Ruwa Mangi''
                 'Now soma waliyotupiana live''
Naomi showed off her fierce side on Tuesday night when she told Nicole: 'Don't compare yourself to me ever. You are not on my level and you never will be.'
It's no secret that there's been no love lost between the two beauties but Aussie-born Nicole has no explanation for the dramas.
Speak to Kyle and Jackie O's on Kiss 1065 on Wednesday morning 28-year-old Nicole said: 'I honestly don't know where the tension came from. I'm kind of dumbfounded, I have the utmost respect for her. She's Naomi Campbell, I'm no competition for her.'
Popular designer: Jean Paul Gaultier hosted the swanky party in London for his famous guests
Popular designer: Jean Paul Gaultier Mwenyewe nampendaje sasa'' Ndiyo alie host Paty hii jana usiku the swanky party in London for his famous guests' Na walijitokeleza kwa kweli Famous Face zilikuwepo kwenye party na wengine kugombana hayo ndiyo maisha ya Ubinadam'' 

FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment