KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Wednesday 9 July 2014

WHATS ON ? BREAKING NEWS'' FLORA LYIMO AWAOMBA WATANZANIA WENZAKE WA ISHIO UK KUTOKUHUDHURIA KUKUTANA NA WAZIRI MKUU IN LONDON UBALOZINI'' ' HAO WATU HUKO UBALOZINI NI WANAFIKI WAKUBWA NA WANAFANYA KAZI ZAO WAKATI VIONGOZI WAMEKUJA UK TU'' WANATAKA MUENDE KWA KITU GANI WANACHO WASAIDIENI NYIE KAMA WATANZANIA WENZANGU MKIWA NA MATATIZO MKIENDA KWAO WANAWASAIDIENI ?WAO HUWAPENI KAZI ZA KUWATAFUTA VIONGOZI WETU SISI WENYEWE NA HUKU HIYO IKIWA NI KAZI ZAO TENA WAMESHAAMBIWA WAFANYE LIVE''' NA NAOMBA HII ''HAIMUHUSU BALOZI WETU UK ''INAWAHUSI WAFANYAO KAZI CHINI YAKE'''INGIENI HUM KUSOMA ZAIDI ''MBUTA NANGA' MPAKA KIELEWEKE'

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO PICHANI  '
Ndugu zangu Watazania wenzangu ''kwanza Huu ni Mwezi mtukufu wa Ramadan kwa wale wenzetu Waislam '' napenda kuwatakieni Ramadan Njema''
Mimi hapa ninayo machache ''juu ya huu mualiko wa kukutana na Waziri wetu Mkuu Mh.Pinda'' Nadhani wengi wenu mnanifaham vizuri sana hasa kwangu Mimi kuipenda Nchi yangu na kujihusisha kwenye Mikutano au chochote kinachoihusu Nchi yangu au niseme Watanzania wenzangu'' 

Lakini Tangu Habari zangu kutangazwa wazi na gazeti moja maafuru kule Nyumbani Tanzania kuhusu Mimi kubakwa na Godbless Lema Mbunge wa Arusha '' Wengi wenu mlianza kunitenga ,kunidharau ,kutokunishirikisha kwenye Shughuli zenu za Watanzania na Vile vile kunizuia hata ninapokuja kama Watanzania wengine kuhudhuria mikutano yenu kama huu wa sasa hivi wakukutana na Waziri wetu Mkuu 'Ubalozini '' 
Yani Wanaofanya kazi mle au niseme pia Viongozi hao Wanakuwa na chuki zao juu yangu na maisha yangu 'mbali na kilichotukutanisha pale na vile vile kazi yao waliyo pewa''
MNAMO MWEZI WA NANE MWAKA 2013
Waziri mkuu Mh.Pinda akiambatana na Mkewe walikuwepo hapa jijini London na kulikuwa na mkutano Ubalozini wa Watanzania waishio UK kukutana nae'' Mimi sikuwa na habari hizo '' Ila Dula langu kwa bahati nzuri lipo karibu na Ubalozi wa Tanzania UK House'' 

Na nilipomaliza kazi nikawa najiendea zangu kukutana na Rafiki yangu ambae nae alikuwa in Town '' Nikakuta watu wengi wengi wamesimama Nnje ya Ubalozini ''Ndipo nikapitia kuuliza kuna nini ? Yani huwa siyo kawaida kuona Watu wengi pale ''Mimi hupapita Kila siku'' Nikauliza na nikaambiwa ni Waziri wetu Mkuu yupo hapa leo '' Basi nikampigia Rafiki yangu sim nikamuambia anisubiri nataka na mimi nimuone Waziri wangu Mkuu labda anaweza kunisaidi matatizo yangu '' Basi nikaingia ndani na kukuta ndiyo wapo karibu kumaliza'' Nikakaa pale na kusikiliza vya mwisho mwisho ''Wakamaliza na kuanza kwenda kupiga Picha za Pamoja'' Lakini Kwa sababu nilichelewa basi nikaona isiwe Tabu wacha niongee na Mama Penda'' Nilipotaka kuongea na Mama Pinda nilianza kuburutwa naanza kuambiwa yani hata kupiga Picha ya pamoja sikubaliwi ? kwanini ? Hata sikuelezwa sababu hizo ''Lakini kwli Ninavyojikubali hasa pale Mtu ananinyima haki yangu ''walahii pale nilipawasha moto ''mliokuwepo I think mnakumbuka what happen on last time'' Hizo Picha hapo Chini mtaona Mimi na Waziri Mkuu na Mke wake  kwenye Picha ya Pamoja ''ni baada ya kukataliwa kupiga Picha ya pamoja nikiwa nao kule ndani Ubalozini kama Wenzangu '' Basi nikajua Tatizo lao lilikuwa ni kunikataza nisiseme kwa Waziri kwamba nilibakwa na Godbless Lema'' Wajua nini ? I was this is it'' na mwambia wazi hapa hapa mbele zenu wote'' wakaanza kunivuta na kusema muda umekwisha'' Basi nikamshikilia waziri mkuu'' Kwa Heshima yako Baba yangu ''Mheshimiwa Waziri wangu naomba unisikilize ''Mimi nilibakwa na Godbless Lema 'Na hakuna Mtu anaetaka kunisikiliza na ndiyo sababu unaona wananikataza hata nisipige picha ya pamoja na wewe'' Yani unajua maana ya Kimnya'' Basi watu wote walikaa kimnya na kushangaa''Huku Waziri mkuu akinisikiliza na hakuenda tena Popote 'Yani wale waliokuwa wanamkimbiza kwamba Muda umekwisha''walitamani kujitia vitanzi'' Thats is Maana ya Kiongozi anae faa'' MHESHIMIWA WAZIRI PINDA'' MWINGINE HAKUNA'' YANI ALINISIKILIZA NA AKATOA AMRI KWAMBA'' KESI CHANGU ANAKIKABIDHI AMOS MSANJILA'' WA UBALOZINI ANISIKILIZE NA AMPE MAELEZO YOTE KUHUSU KESI CHANGU ''YEYE ATAKWENDA TANZANIA KUFUATILIA ZAIDI''
 Basi Mheshimiwa akaondoka na Mkewe na wakaniachia Hope wakaniacha na furaha hata hiyo picha unaona tunacheka sana ni baada ya kumaliza kumuelezea kuhusu kwangu Mimi kubakwa na watu wote unaowaona Pichani hapo na wengine wenggi hawapo pichani walisikia kila kitu ''na Mariam Mungula nae ndipo akaja kuniambia Pole pale adharani like hajawahi kusikia na wao ni Watu wa CCM tena Viongozi ambao Godbless Lema anadai ndio walionituma mimi kwenye Mkutano wake wa Chadema in London mnamo mwezi wa nane mwaka 2012'' na ADHABU YAKE NI KUNI BAKA''  Ndiyo maana nasema hivi'' 


WATANZANIA WALIOKO UBALOZINI NA VIONOZI WOTE WA VYAMA VYOTE NI WANAFIKI NA UKIWA NA MATATIZO HAWAKUSAIDII NA HATA WAKIAMBIWA WAKUSAIDIE WATAITIKA NA VIONGOZI WETU WAKISHA RUDI TANZNAIA NI BASI ''UTAZUNGUSHWA MPAKA UTAMANI KUJITIA KITANZI'' ALAFU BILA AIBU VIONGOZI WANAPOKUJA WANA ANZA KUWAITA WATANZANIA WAISHIO UK ''LIKE WANAWAJUA '' YANI HAKUNA ANAE KUJUA KAMA WEWE NI MTANZANIA UNAE ISHI HAPA UK ''
KWA SHIDA AU HATA KWA RAHA''
 UNAFANYA KABIASHARA CHAKO HUWEZI KUSIKIA HATA MTU AKINYANYUA HIYO SIM KAMA KIONGOZI NA MTANZANIA MWENYE KUTAKA MAENDELEO YA WATANZANIA WENZAKE ''KUKUPIGA SIM HATA KUKUPONGEZA'' AU BASI TUSEME WAFANYE MIKUTANO YA WATANZANIA WAISHI UK TUKUTANE KWA KUJUANA NA KAMA MTU ANA SHIDA TUJUE TUMSIKIZE NA TUTAMSAIDIA VIPI 'KWANINI MSIFANYE HIYO MIKUTANO YA KUWAJUA WATANZANIA WAISHIO UK NA SHIDA ZAO MBALI MBALI '' WENGINE TUNATAKA KUWASAIDIA NA WENZETU KULE NYUMBANI LAKINI TUNASHINDWA KWA UTARATIBU ULIOPO TANZANIA KWA BIDHAA ZINAZOTOKA UK '' NASEMA UK KWA SABABU Mimi MWENYEWE NATUMA BIDHAA KUTOKA UK KWENDA TANZANIA NA USHURU UTAKAO TOZWA BANDARINI NI NOMAA'''
 KWANINI ZANZIBAR HAWANA MATATIZO NA BIDHAA ZINAZOTOKA UK ? YANI MIMI SASA NAANZA KUHAMIA ZANZIBAR '' IKIWA TUNA PATA HUDUMA ZISIZO NA RUSHWA  SIONI KWANINI WATU TUSIANZE KUHAMIA ZANZIBAR ''SIYO BURE HATA HAWA VIONGOZI WETU HAWANA HABARI NA HIVI VITU NA NDIYO  MAANA WANAPO KUJA HAPA UK 'KUKUTANA NA WATANZANIA WAKAWAIDA WAISHIO HAPA UK ''WATU TUNANYIMWA KUTOA DUKU DUKU ZETU'' NA NDIYO MAANA MIMI HAWATANIONA TENA KWENYE MIKUTANO YAO '' NA WALA HAWANISAIDII KWA CHOCHOTE NA HATA MIMI SIJAWAONA WAKIWASAIDIA WATANZANIA WENZAO KWA CHOCHOTE'' WE NEED KUJIPANGA UPYA ''KWA MIKUTANO YETU KABLA YA KUWASHIRIKISHA VIONGOZI WETU '' HII MNAFANYA KUJIFUNIKA ILI VIAONGOZI WETU WAJUE MNAFANYA KAZI ZENU VYEMA WAKATI HAMFANYI ''TENA WENGI WENU MMECHEPUKA HATARI NA KWENYE BLOG YA FLORA LYIMO MMEIFANYA OFISI ZENU'' KAMA HUJAIFANYA OFISI ''ULIZIPENDAJE PICHA ZANGU ZA CHUPI NA KUANZA KUNIULIZA NI SHILINGI NGAPI ? NAOMBA UNIJIBU AMOS MSANJILA'' NA PILI NAOMBA UNIJIBU TANGU MHESHIMIWA ALIPOKUPA KAZI YAKUNISIKILIZA KESI CHANGU NA GODBLESS LEMA ''UMEFANYA NINI MPAKA SASA HIVI ? NA NI KWANINI MIMI NIKUULIZE IKIWA UMESHASIKIA CHOCHOTE KUTOKA KWA WAZIRI ''ALAFU UNANIPIGA CHINI NA KUNIAMBIA NIANZA KUMTAFUTA MIMI MWENYEWE? SI WEWE ULIPEWA HIYO KAZI TENA LIVE WATU WAKIWA WANASIKIA ? SASA LEO UNATAKA NIJE TENA HAPO UBALOZINI NIANZE KUBURUTANA NA NYIE? SASA NAKUAMBIA SITAKUJA NA WAZIRI MKUU NITAMSUBIRIA APO MLANGONI ''MBUTA NANGA'' MNANISIKIA TU'' MIMI NAISHI KWA SASA HIVI NIKIWA NA HASIRA SANA ''NI VILE HAMJUI LAKINI SIKU ZIKILIPUKA ZA KICHAGGA 100% NDIO WALE MNAO NIITA CHIZI MTAONA UCHIZI WANGU'' JAMANI NI HAYO TU'' MIMI NA HASIRA ZANGU HAPA NA NA SEMA HIVI''
MSIENDE HUU UKUTANO NI WAKUFUNIKA BOVU''SASA WEWE KAMA NI TEAM FUNUA BOVU aka TEAM FLORA LYIMO MAENDELEO '' USIENDE''  WAACHE WAKAE NA WAZIRI MKUU WENYEWE WAMUELEZEE NI KWANINI WATANZANIA HAWAJAENDA? ?? I THINK HAPO WAZIRI MKUU MH.PINDA ATAPATA PICHA KAMILI '' HAWASIKILIZI WATANZANIA NA MATATIZO YAO '' WAKATI HAMPO MHESHIMIWA WAZIRI NA MHESHIMIWA RAIS WETU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA'' WE NEED YOUR HELP '' BAADHI YA VIONGOZI MNAOWATEUA NI MICHEPUKO ,WASHINDA MITANDAONI (BLOGS SEXY ) KAMA ZA FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG, NA WANAFIKI WAKUBWA''
NIMEMALIZA MWENYESHIDA ANIPIGIE SIM '07787471024 AU WHATSAPP +44 7787471024 EMAIL :flo1974@btinternet.com
PIA NAOMBA KUSEMA HIVII'' SAY NO TO RAPE NA UNYANYASAJI '' KWA WANAWAKE NA HATA WANAUME ''
FLORA LYIMO ''



MWAIKUMBUKA HII ''2012 ? NA GAZETI MAARAUFU TANZANIA''



MWAKUMBUKA HII'' 2013 NA MHESHIMIWA MWIGULU 'ALIPOKUTANA NA WANA CCM UK LONDON '' Nae alichukua kopi ya kesi changu na Godbless Lema na kuniambia atakwenda kufuatilia na kunijibu pia alinipa namba zake za sim..Yani hizo namba utapiga mpaka Uchoke ni haipokelewi kabisaaa'' Uwii Jamani ikiwa hapo Tiyari kufanya mnayo ahidi kufanya basi Msitoe namba za uongo au namba ambazo hamzitumii'' ni hayo Tuu''Mheshimiwa Mwigulu ''Bado nakusubiria jibu sijapata sasa ni miezi imepita'' Kila kitu changu unacho nilikukabidhi mwenyewe mwaka jana' Na hasira na Huyu Godbless Lema na Team yake inayomtetea Mbakaji mkubwa jamani yani nyie ni wacheni ipo siku zitanilipuka za Kichagga ''
Wana CCM '' WANAODAIWA KUNITUMA''WAKO WAPI WHEN I NEED THEM? HAWAJANITUMA NA WAMEKAA KIMNYA NI KAMA KWELI WAMENITUMA ? JE HUO NDIYO MUUNGANO NA UPENDO WAKUTAKA WATU WAJE MIKUTANONI KUKUTANA NA VIONGOZI WETU ALAFU WAKISHAONDOKA KILA KITU KINAWEKWA KABATINI MPAKA ATAKAPO KUJA TENA'' MBUTA NANGA!!
FLORA LYIMO THE PROUD TANZANIAN UK EVER '' NA PICHA YA RAIS WETU MH. 'KIKWETE'' I LOVE YOU BABA''AKA RAIS WETU MZURI '' IPO SIKU TUTAKAA PAMOJA NIKUELEZEE YOTE'' THAT IS MY WISH''  JAPO JUZI JUZI KAMA KAWA YAO WALIKUWA WANAKUKIMBIZA MBIO KAMA UTAZANI KULIKUWA NA HATARI YA MOTO MLE NDANI' ''
HAPA NIKIWA NA MY BABA NA MAMA aka MHESHIMIWA PINDA NA MKE WAKE ''NDIYO SIKU NILIYO SIMAMISHA KILA KITU ''NA WENYE KUNIBURUTA NISIPIGE NAE PICHA MMOJA WAO AKIWA HUYO BABU MKONO WAKE KULIA AKIWA TIYARI KUNITOA HAPO...LAKINI KAMERA IKAMUAMBIA MZEE TULIA SASA WEWE UNATAKIWA KUKAA NDANI ULETEWE NA WAJUKUU WAKO MAVUNO YAO WANAYO YAVUNA LONDON '' MBUTA NANGA'' 
MSIMZIBIE MTU RIZIKI ZAKE  RIZIKI HUPANGWA NA MUNGU ''NA HII ILIKUWA NI RIZIKI YANGU KUKUTANA FACE TO FACE NA KUMUAMBIA YOTE WAZIRI WANGU MKUU'' IS SAD HAJANIJIBU LAKINI NAJUA SIYO BURE AMOS HAJATIMIZA ALOAMBIWA ATIMIZE NA MHESHIMIWA PINDA'' NA BAADHI YA USHAIDI NINAO '' TIZAMA EMAIL YAKE NA ALIYO NIJIBU BAADA YAKUTAKA KUJUA WHAT HAPPEN WITH MY CASE' JE KESHA PATA MAJIBU KUTOKA KWA MHESHIMIWA WAZIRI PINDA ? SOMA MAJIBU YAKE HAPO CHINI''


FLORA LYIMO DUKANI KWAKE LONDON OXFORD STREET ''WAKATI MH.PINDA ALIPOKUWA ANAKUTANA NA WATANZANIA WAISHIO UK UBALOZINI LONDON MWAKA JANA''MIMI NILIKUWA SINA HABARI KABISA NIPO JOB NATENGENEZA PAUNDI ZANGU ILI NIWEZE KUWASAIDIA WATANZANIA WENZANGU  KULE NYUMBANI NAO WAWEZE KUJIAJIRI ''FLORA LYIMO OPPORTUNITY 2014 IS NOW ON ''KUJIUNGA NI SHILINGI LAKI MOJA TU'' NA UNAANZA KUTENGENEZA PESA ''WHATSAPP +44 7787471024 KARIBUNI WOTE''
MNATUONA EEE'' MNAMUONA HUYU MZEE KULIA ANAVYONITOLEA JICHO ,YANI YEYE NDIE ALIE KUWA ANAIBURUTA KARIBU ANICHUNE NGOZI KISA HATAKI NIPIGE PICHA YA PAMOJA NA WAZIRI WANGU HAPA'' JILIMDONDOKEAJE SASA'' RUWA MANGI'' 
HAPA MHESHIMIWA AKITOA AMRI HIYO NISIKILIZWE 'HUKU NIKITIRIRIKWA NA MACHOZI '' MUNGU YUPO NA SITOCHOKA KUPIGANIA HAKI YANGU HATA NIKIFA LEO AU HUYO GODBLESS LEMA AFE LEO ''KWA MUNGU PIA LAZIMA NITAPEWA HAKI YANGU'' SAY NO TO RAPE''''

HAPA NI BAADHI YA EMAIL KUTOKA HUKO UBALOZINI aka KWA AMOS MSANJILA''
Amos >
Contacts za ofisi ya Waziri Mkuu unaweza kugoogle tu na kuzitumia, mie sina.
On 15 Feb 2014 20:35, "flo1974" <flo1974@btinternet.com> wrote:

Hi my dear!
Sawa nimekuelewa.naomba contact za hiyo ofisini kwake please. 
Asante na weekend njema pia
Flora Lyimo

Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: Amos Msanjila <-------------------@googlemail.com>
Date: 15/02/2014 11:39 (GMT+00:00)
To: flo1974 <flo1974@btinternet.com>
Cc: "Idrissa;Shaaban Zaharan" <-----------------@hotmail.com>
Subject: Re: WALIOKUWA WAKWANZA KUTOA HABARI HII WITH MY PHOTO..



Samahani sana dada Flora, kwa heshima na taadhima sisi hatuwezi kumtumia mkuu reminder. Huo utakuwa uvunjifu wa adabu. Yeye alitupa kazi ya kukusikiliza na kumpa taarifa. Sisi ni watumishi, tumefanya kazi yetu, yeye ndio wa kufanya maamuzi. Labda nikushauri wewe mwenyewe ndio umtumie hiyo reminder ofisini kwake.
Natumaini utakuwa umenielewa vizuri dada yangu.
Weekend njema.

Sent from my iPad

On 14 Feb 2014, at 23:18, flo1974 <flo1974@btinternet.com> wrote:
Salam ' Happy Valentines day pia my dear, pole kwa usumbufu najua mpo busy na hata Mh atakuwa busy pia..Mimi naomba kwa Heshima yako unisaidie kumtumia reminder tafadhali.yani anaweza kuwa kasahau juu ya ubizi.Natangulisha Asante sana
Flora Lyimo. 


Sent from Samsung Mobile

-------- Original message --------
From: amos msanjila >------------@googlemail.com>
Date: 14/02/2014 12:46 (GMT+00:00)
To: F LYIMO <flo1974@btinternet.com>,Idrissa Shaaban Zaharan <--------------@hotmail.com>
Subject: Re: Fw: WALIOKUWA WAKWANZA KUTOA HABARI HII WITH MY PHOTO..

Dear Dada Flora,
Asante kwa mail yako na samahani kwa kuchelewa kukujibu. Nilikuwa busy kidogo na mikutano.
Ile barua yako na taarifa kwa Mheshimiwa Waziri Mkuu tuliipeleka loooong time.
Hata hivyo na  s ie pia bado tunasubiri kusikia majibu toka kwa Mheshimiwa, bado hayajaja. Kaama unavyojua sisi ni wadogo, kwa hiyo hatuna la kufanya zaidi ya kusubiri. Tukijibiwa tutakuwasilishia ASAP.
Nakutakia siku njema na  valentino yenye amani. 

 NI HAYO TU WATANZANIA WENZANGU '' MIMI NIMEMALIZA MACHACHE YANGU ''
FLORA LYIMO +44 7787471024 LONDON UK '

11 comments:

  1. yani we dada umenifurahisha kwal kwa kumpa makavu hli li mtu le mutuz cjui! ubarikiwe sana

    ReplyDelete
  2. Wewe nenda kwenye huo mkutano tena ukae mbele kabisa wakuone wote na unyooshe kidole juu ukumbushie matatizo yako uliyowaambia kipindi kile ambayo mpaka leo hayajapatiwa ufumbuzi. Na kisha useme wazi haya uliyoyasema humu kuhusu kutokuwasaidia Watz na kutokutana na watu. Ukinyamaza kimya au ukisemea humu kwenye blogu hawataumbuka.

    Flora mie nimekaa UK nikiwa nasoma PhD yangu miaka 4, tena mwanamke peke yangu na watoto, sijui hata ubalozini kukoje au hata kama kuna ubalozi wa TZ, ingawa nilishawahi kuwaandikia, na kujisajili online. Kuna kipindi nilijisajili kabisa kuhudhuria kikao fulani lakini nilistukia kimeshapita hata mualiko sikupata ukizingatia nilikuwa naishi nje ya London. Nafikiri huo ubalozi hapo upo kwa ajili ya watu wa London na tena watu wenyewe na marafiki na mashoga zao. Shame on them, ila msisuse hii ndio nafasi ya kujikusanya na kutoa duku duku lenu. Bahati mbaya sana nimeshajirudia zangu Bongo nakula bata langu ningekuwa bado nipo ningeenda nikamuuliza hata huyo Mheshimiwa kama kaja huko kusikiliza matatizo ya Watz au kununua matrekta mengine au spares za matrekta yake.

    ReplyDelete
  3. baeleze baeleze mama maana wamezidi,na wataelewa tu.

    ReplyDelete
  4. Mariam Mangula Mnafiki mkubwa. Pole sana you had to go through this. Tunamkumbuka sana mama Majaar, alituunganisha watanzania UK. Ubalozi huu very selfish umetujengea chuki na unafaki yaani umetusambaratisha haswaa. I hope ubalozi huu wa kibaguzi utaisha soon. In Sha Allah!

    ReplyDelete
  5. kama kweli wewe unajiamini usibanie comments za watu wengine

    ReplyDelete
  6. ahsante my dada maana huwa napendaga sana kuangalia blog yako...nikiikosa huwa nahuzunika

    ReplyDelete
  7. My dear Anonymous hapo unaedai kwamba comments zingine nabania..kusema kweli huku nilikuwa sijainia na pole ''mkiona sijaachia comments zenu au sijawajibu ''jueni kwamba FLORA LYIMO MWENZENU NIPO BUSY SANA NA KAZI ZANGU PIA'' KAMA MLIVYO ONA JUZI JUZI NIMEANZISHA BIASHARA YANGU MPYA ..FLORA LYIMO OPPORTUNITY 2014 'AMBAYO INA NIFANYA NIWE BUSY MNO..But hata hivyo lazima nitajitahidi kuwajibuni maswali yenu'' na kuachia comments zenu..HAYA HIZO HAPO NIMEACHIA JUST NOW''

    ReplyDelete
  8. YOU BEEN SNAP BLOG Flora Lyimo THANKS WAPENZI WANGU NA WALE MNAO NIPIGIA SIM NA KUNIPONGEZA KWA HII MADA''ASANTENI KWA KUKUBALIANA NA MIMI '' UKWELI UTAJULIKANA TU'' MHESHIMIWA WAZIRI MKUU''TUNAKUPENDA SANA NA TUNAOMBA HII UTAISOMA NA NIMEAMBIWA UMEITUMIWA NA UMEISOMA'' SASA UTAKAPO FIKA UBALOZINI WAULIZE KAZI ULOWAPA WAMEIFANYAJE ? NA PIA WAULIZE WANAWASAIDIAJE WATANZANIA WENZAO NA MATATIZO YAO MBALI MBALI HASA KUHUSU NYUMBANI KWETU TANZANIA? MHESHIMIWA WAZIRI ''SISI TUNAPOHUDHURIA MIKUTANO YAO YAKUJA KUKUTANA NA WEWE HUKO UBALOZINI AU HATA NA MHESHIMIWA RAIS WETU WA MUUNGANO WA TANZANIA'' HATUKUBALIWI KUTOA DUKU DUKU ZETU FACE TO FACE 'NA KUPEWA MAJIBU NA NYIE VIONGOZI WETU'' WANATUNYIMA NA PIA KUWAKIMBIZENI FASTA FASTA ILI UKWELI MSIUJUE'' SASA NANYI VIONGOZI WETU '' JUENI TUNA NYANYASWA SANA SISI WATANZANIA TULIOPA HUKU UGENINI ''HASA WALE WATAFUTA MAENDELEO HUKU UGENINI NA KUTAKA KUYALETA NYUMBANI TANZANIA'' WANATUZUIA NA KUTUONEA''' NA HUKU HADI KUBAKWA NA HAO HAO VIONGOZI '' YANI WAMECHEPUKA ,WAMEKUWA WAONGO NA USHAIDI UPO '' MIMI SISEMI KITU AMBACHO SINA USHAIDI NACHO ''HATA KAMA NI MAHAKAMA KUU''TWENDENI NITAZIPANDA HIZO NGAZI FASTA FASTA KAMA RAIS WA MAREKANI MH.OBAMA'' ASANTENI NA NARUDIA TENA ..MSIENDE HUO MKUTANO NI WAKUFUNIKA MABOVU'' SISI TUNAFUNUA MABOVU'''

    ReplyDelete
  9. Sema tenaaaaaaaaaaa sema kwa herufi kubwa mama wa kichagga london '' wakusikie..uwiii flora lyimo umeuwaa siri zote za email nnje nje...yani mimi hoi'' huyo amos anawezaje kukuambia hana contact za mheshimiwa na wakati yeye kamtumia email ya barua yako..je hiyo email alimtumia mheshimiwa Pinda kweli??? '' kiruuuu''kweli hata mimi siendiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii'''flora kapate mbege kwa mangi nitalipa mao..

    ReplyDelete
  10. Amos >
    Contacts za ofisi ya Waziri Mkuu unaweza kugoogle tu na kuzitumia, mie sina.
    On 15 Feb 2014 20:35, "flo1974" wrote:
    Kweli huyu jamaa hanazo kabisa'' Waziri Mkuu alikupa kazi ya kumsaidia huyu dada sasa wewe unamtuma kwenda kugoogle contacts zake na wakati unazo ?kama huu siyo uonevu anao uongelea dada flora hapa nini ? unamdanganya ili iweje sasa'' dada flora nipo pamoja na wewe kweli hakuna haja ya kwenda hiyo mikutano yao kabisa'' ukweli mtupu umesema dada na hakuna mtanzania yoyote anae weza kuwaambia ukweli wao kama wewe'' so asante sana'' uzidi kubarikiwa na kututetea watanzania wenzako huku majuu''

    ReplyDelete
  11. This is shocking!! I hope Mheshimiwa Waziri Mkuu Pinda, sasa atakutafuta atakapo fika London ili akupe majibu yako japo in privet '' what a sham on that amos? surely you didn't have to tell Flora to go and Google contact za Mh.Pinda when you got them ''also you know them ''that is not the way to help Mtanzania mwenzako and that is what dada Flora Lyimo is talking about '' hamtusaidii tena kwa vitu vidogo vidogo kama hivi ? I solute you Flora Lyimo''

    ReplyDelete