KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 26 July 2014

WHATS ON ? ONA VICTORIA BECKHAM NA NA PETE ZAKE 13 ZA UCHUMBA NA ZA MAMILIONI YA PAUNDI''FLORA LYIMO SAY ''HAYO YOTE NI MADHARAU NA MAJIGAMBO'' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO'
Natumaini hamjambo popote mlipo Watanzania wenzangu'
Na machache tu 'yakugusia leo ,baada ya huyu Super Star Muke ya mcheza mpira maarufu Duniani Victoria Beckham kutambaza pete zake za Uchumba'' Yani ni Hivi 'Mwajua Mimi hakuna kitu na Kiheshim kama Ndoa na hicho kidole cha Uchumba na Ndoa? Hivi unawezaje kuwa unaacha kuivaa pete yako ya Ndoa na ile ya Uchumba ambayo ndiyo inayoiwakilisha Ndoa yako ? Yani sababu ya Hela mtu unajikuta 'UNAKOSA HESHIMA' UNADHARAU WATU HATA MILA ZAKO UNAZIDHARAU ? JAMANI WACHENI HAYO MAMBO NDIYO SABABU HATA VITU VINGI PAMOJA NA NDOA HIZO ZINAKUWA HAZIDUM NA ZIKIDUM BASI UTAKUBALI HATA MMEO KUCHEPUKA NA PIA KUPIGWA KILA SIKU NA KUNYAMAZA 'KISA NI MAJIGAMBO NA AIBU ZA MAJIGAMBO YAKO ''
Kwa kweli haipendezi kabisa kwa wale kina Dada mnajivisha pete kwenye kidole chako cha ndoa au kuchumbiwa na huku hata hamjachumbiwa au kuolewa'' why so DESPERATE ? Tulia na Heshim Kidole chake kina kila sababu why kikachaguliwa kuwa ni cha kuiwakilisha NDOA YAKO'' Basi ni hayo tu '' Wacheni majigambo na madharau '' kama anachikifanya hapa huyu Mama Victoria Ni MAJIGAMBO NA MADHARAU''  UNGEKUTA HANA HAYO YOTE''UNGEMKUTA ANAVAA ILE PETE YAKE YA 1998 ILIKUWA NI YA KWANZA KUIVISHWA NA DAVID''

So Posh, just how many engagement rings does a girl really need? Victoria Beckham has owned 13 bands worth £4million in 15 years of marriage'

Victoria Beckham rings
HABARI NDIYO HIYO'' JAMANI TUSIWE NA HELA NA KUDHARAU WATU NA VITU MUHIM KUVIPUUZA'

The singer-turned-designer has got through 13 engagement rings in 15 years of marriage to 
husband David worth £3.8million. Her first engagement ring was a £65,000 'marduise' shape diamond but her taste have appeared to have grown ever more expensive as at Wimbledon this year she was wearing a £100,000 yellow diamond set in yellow gold.
TUMECHOTA NA KUMIMINA KUTOKA DM ILIMJIONEE'
MBUTA NANGA!!

No comments:

Post a Comment