KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Thursday 14 August 2014

WHATS ON ? BREAKING NEWS 'MWANAMUZI USHER AFUNGUKA KUHUSU KUOWA KWAKE NA KUSEMA THE BEST MISTAKES ALIYOWAHI KUFANYA MAISHANI MWAKA NI GETTING MARRRIED AT 28 -YEAR -OLD'' HEBU DIAOMOND WETU TOA MFANO HAPA KWA HUYU KAKA '' YANI KAMA NI KUOWA USIOWE KWA SABABU WATU WANAFIKIRIA NA KUKULAZIMISHIA OWA FULANI SABABU TWAMPENDA..HIVI MNAAKILI KWELI NYIE WOTE MNAO ONA MWANAMKE WA DIAMOND KUOWA TENA KWA LAZIMA NI WEMA SEPETU ''HIVI NYIE NDIO MTAKAE KAA NAE HUMO NDANI 24/7 NA KUMPA MAPENZI ANAYOTAKA YEYE AU MNAJISEMEA TU ILI MRADI MNAMPENDA WEMA KULIKO MJIPENDAVYO NYIE'' BASI MUOWENI NYIE ''MBUTA NANGA!!



Learning experience: When asked by O Magazine about his best mistake, Usher replied, 'Getting married at 28', in reference to his marriage to Tameka Foster from 2007-2009. The couple are seen on New Year's Eve 2008
Learning experience: When asked by O Magazine about his best mistake, Usher replied, 'Getting married at 28', in reference to his marriage to Tameka Foster from 2007-2009. The couple are seen on New Year's Eve 2008''
He continued: 'Most people probably think I regret it because I ended up getting divorced, but it helped me learn that sometimes I think I know more than I actually do'.
Usher has since battled with his former spouse over custody of their two children, six-year-old Usher 'Cinco' Raymond V and five-year-old Naviyd Ely Raymond.
In 2012, a judge awarded the singer primary custody of the two boys.
Usher has opened up about his divorce for an interview with the September issue of O magazine.
The 35-year-old singer, who was married to stylist Tameka Foster from 2007 to 2009, reflects that the ending of his marriage was something beneficial.
 DOPE................Keshaivaa haswaaa'' Diamond with Wema'' yani asiwadanganyeni mtu kabisa ''Mnaruksa yakufanya yenu na hakuna mtu anaruksa yakuwalazimishia anythiny ''hasa Mwanaume hata akiwa Mdogo vipi ''Yani sisi Uchaggani kwetu Mwanaume ni wakuheshimiwa sana na tunawaheshim sana wanaume''Yani ni balaa'' nakumbuka Siku Mama yangu akiniambia Mwanangu hata kama umekuja kuolewa always Mheshim Mme wako kuliko Watoto wako'' maana ipo siku hao watoto watakuja kukuacha na kubakia peke yako na Mme wako kama vile ambae ndio mnaanza kutongozana vile na hata hamjazaa'' and that is very true''I LOVE YOU MAMA FLORA LYIMO '' AND I LOVE YOU DIAMOND FOR SHOWING OTHERS HOW TO LOVE THEIR MAMA''YANI HAKUNA KAMA MAMA''' NA MWISHO WA SIKU MKE WAKO NA MME WAKO ''YANI NYIE WAWILI ''NA SIYO MITAKATAKA MINGINE HUKO HATA HUIJUI ETI OWA OWA HUYO NDIE MKE MWEMA''HIVI MWAJUA MAANA YA MKE MWEMA NI NINI AU MME MWEMA NINI ? HEBU MCHUKUE MUDA WAKUJIFIKIRIENI NA KUJIPENDA KWANZA KABLA YA KUUMUKA MIDOMO YENU KAMA MANDAZI YALIYOZIDISHWA AMIRA 'KISA MWAKESHA MKIPIGIA KELELE MSOWAJUA WALA KUWAONA LIVE WAOWANE WAOWANE'' KUDAGAAMBICHI'' SASA NISHA WAAMBIENI ''TOENI MIFANO MWA WALIOWAHI KUFIKA'' HIYO SAFARI '''
 WEMA UKITAKA KUCHEZA SHOW''NI POWA SANA ''ILA JIPANGE ''UWE MSAFI NA MAVAA YAKO NA SIYO MCHAFU CHAFU KAMA HIVI'''
NI MWENDO WA KUCHECHEMEAAAA''MBUTA NANGA'
'When asked about his best mistakes, Usher replied, 'Getting married at 28.'UMESIKIA DIAMOND''' AND HOW OLD ARE YOU AGAIN ?..MEN HATA UWE 5O -YEARS OLD 'USIKUBALI MAPAENZI YAKULAZIMISHIWA'' NA WALA USIKUIGE WENZAKO KWA KUZALISHA ZALISHA WANAWAKE OVYO ''' WEWE ZUNGUSHA MIZIKI YAKO NA DUNIA IKUTAMBUE'' NA SISI WATANZANIA WENZAKO WENYE KUPENDA MAENDELEO YA WATANZANIA WENZETU TUPO NYUMA YAKO NA USITUANGUSHE KWA MAMBO YA KIMUZIKI ''MAMBO YA WEWE NA WANAWAKE IS UP TO YOU '''
Doting dad: Usher pushes his two sons Usher Raymond V and Naviyd Ely around in a stroller in Atlanta
Doting dad: Usher pushes his two sons Usher Raymond V and Naviyd Ely around in a stroller in Atlanta''
Custody battle: In 2012, a judge awarded the singer primary custody of the couples' two boys six-year-old Usher 'Cinco' Raymond V and five-year-old Naviyd Ely Raymond
Custody battle: In 2012, a judge awarded the singer primary custody of the couples' two boys six-year-old Usher 'Cinco' Raymond V and five-year-old Naviyd Ely Raymond
Going through the divorce and custody experiences has resulted in some deeper wisdom for the star.
When asked about his best advice, the U Got It Bad crooner spoke about a meaningful encounter with one of funk and soul music's biggest legends.
'"If you stay ready, you ain’t gonna get ready." James Brown told me that right before we performed together at the Grammys in 2005.'
He added: 'I’ve never forgotten it, and I’m always telling people, "Well, James Brown once told me…"'


SISI HAPA '' FLORA LYIMO WITH THE KING DIAMOND'' I LOVE HIM '' NI KAKA YANGU TENA MDOGO SANA'' NA NDIYO MAANA HUPENDA KUMUAMBIA UKWELI ''HATA NIKIMUONA NA KUPATA NAFASI TUNAONGEA NA NAMUAMBIA NINAVYO TAKA YEYE AWE KAMA MTANZANIA SUPER STAR WETU TUNAE MTEGEMEA PAMOJA NA WENZAKE WAPO WENGI KAMA MNAVYOJUA TANZANIA TUMEBARIKIWA NA WASANII WENGE FROM MUSIC TO MOVIES''' NA KUNA WATANGAZAJI MBALI MBALI MAREDIONI ,TV ,MABLOGA ,MAGAZETI NA HATA FACEBOOK NA INSTAGRAM NA WAFANYA BIASHARA'' NA I THINK TATIZO LETU NIKUTOKUJIPANGA NA KUWATAMBUA ''TUNAPATA MUDA WA KUWARUSHA PALE WANAPOKOSEA TU ''MBONA WAKIWA WANAFANYA VIZURI HAKUNA MTU UNAMSIKIA AKIMUONGELEA FULANI ''LAKINI SUBIRI ACHEPUKE AU HATA AKOSE KWA KOSA FULANI AU KIFO CHAKE NDIYO UTAJUA TANZANIA KUNA WATANGAZAJI HATARI ''' YANI WANAKESHA WAKITANGAZA WATU HAO ''MPAKA UNASHINDWA KUJIULIZA''HIVI KUMBE HUYU MTU ALIKUWA ANA FANYA MAMBO MAZURI HIVI NA SIKU ZOTE MBONA HATUKUWA TUNAMFAHAM? SASA CHUKUA HATUA ''TANZANIA TUAMKENI NA TUACHENI CHUKI ,WIVU NA UONEAJI WA KULAZIMISHIANA VITU''NA HASA MATUSI ..KWANI NI LAZIMA UMSHAURI MTU KWA NJIA YA MATUSI ''BASI WEKA HATA TUSI DOGO ''LAKINI UNAWEKA MATUSI MAKUBWA KUBWA UATAZANI KAKUULIA MWANAU AU FAMILIA YAKO '' RUWA MANGI''
Kwa hiyo my dears Watanzania wenzangu hapa msione kwamba naongea hivi kwa sababu na mchukia Wema hakuna cha kumchukia Wema ''Mimi napenda kama alivyo kuwa Wema sina cha kunifanya nimchukie ,wala simjui sijawahi hata kumuona sasa ni mchukie kwa kitu gani ''Mimi namsemea Diamond hata kumtukana namtuka pia Diamond siyo kwa kukusuhudia ni kwa hasira za kumuona akifanya kweli ''Mimi Diamond na mjua nishamuona na hata tushaongea so I know Him that way ''and Also he is our Big Tanzanian SUPER STAR one of our Big Star's YANI  ''hatuwezi kuacha kumuongelea kwa mazuri na mabaya'' Sasa mnaotaka aache kufanya yanayomfurahisha yeye nnje ya maisha yake ya kutufurahisha kimuziki ,jueni kwamba Diamond ana akili sana na I love him for Loving his Mama so much '' Always wanawake watakuwepo tena na wengine wakutende mpaka ujute kuzaliwa to be honest WANAWAKE WENGI WAPO KWA WANAUME SABABU YA HELA ZAO NA NOTHING ELSE'' I TELL YOU ''YANI NI WAVIVU HASA WAKISHAOLEWA 'MARA WAFANYAKAZI WA NYUMBANI NA HUKU YEYE HANA HATA KAZI 'WHAT IS THAT '',ALAFU ,MUNGU WANGU HAYO MADHARAU HATA KWA NDUGU ZA MWANAUME NI HATARI ,,YANI NAWACHUKIA MPAKA NATAMANI NIBADILISHE SHERIA ''NI MARUFUKU MWANAMKE YOYOTE KUACHANA NA MME MWENYE HELA ALAFU ADAI APEWE SIJUI NYUMBA SIJUI MAHELA SIJUI WAGAWANE MALI ...FOR WHAT? HASA PALE AMBAPO YOU NEVER EVEN WORK ? YANI WANAO RUHUSU HIZO TABIA CHAFU ZA WANAWAKE WENGI NDIYO WANASABABISHA VIFO VYA WANAUME WA WATU ''KAMA HUYU MPENDWA WETU THE LATE ROBIN WILLIAMS'' KAFA KWA AJILI YA MATESO YA WANAWAKE ALO OWA NA MWISHO WA SIKU KUMFANYA MPAKA AKAFILISIKA NA KUJIINGIZA KWENYE MADAWA YA KULEVYA NA POMBE ILI APUNGUZE MAWAZO HUKU WANAWAKE HAO WAKIISHI WAKIZIPONDA HELA ALIZO LAZIMISHWA KUWALIPA BAADA YA KUDAI KACHEPUKA NA KWELI ALICHEPUKA LAKINI SIYO NDIYO CHANZO NA WEWE UTAKE KUMCHUNA BUZI HADI NGOZI '' DIAMOND KAKA NA MDOGO WANGU ''NEVER GET MARRIED WHEN YOU ARE NOT 90% IF NOT 100% TIYARI NEVER'' NA HATA WAKIKULAZIMISHA VIPI '' HAO WANAWAKE WAKIJA WAPOKEE NA HAKIKISHA UNA MAKONDOM YAKUTOSHA KUDADADEKI WASIJE WAKAKUTEGA NA MIMBA '' I LOVE YOU BOTH ''EVEN WEMA ''IF WEMA ANATAKA KUANZA KUCHEZA NA WEWE NI POWA TU '' HAMNA SHIDA ''ILA AJIPANGE AVAE VIZURI NA MAWIG POWA TENA YA KILA AINA YANI FANYENI KAZI IKIWA MSHAJISTUKIA NYIE HAMUWEZI KUWA MKE NA MME'' BE BLESS ALWAYS '''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

1 comment:

  1. Leo Mchagga Ulaya wewe umeongea mapoints mpaka nikakupenda japo nilikuwa na kuchukia'''

    ReplyDelete