KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Friday 15 August 2014

WHATS ON ? ATTENTION!! EBOLA'' FLORA LYIMO AJIULIZA HIVI ''NI KWANINI MAGONJWA HAYA HATARI YANAANZIA AFRICAN ? H I V ILIANZIA AFRICA NA IMEUWA HATARIII''NOW (EVD) EBOLA IMEANZIA AFRICA IMESHAUWA WENGI NA SASA IMEANZA KUSAMBAA DUNIA NZIMA'' WHY ? BUT NIMEPATA JIBU LAKE 'INGIA FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG .KUSOMA ZAIDI'' RUWA MANGI ''DUNIA INAKWISHA SABABU YA MATAJIRI!!

FLORA LYIMO (Pichani) MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO '
NDUGU ZANGU WATANZANIA NATUMAINI HAMJAMBO POPOTE PALE MLIPO''
BAADA YA KUKAA NA KUWAZA SANA KUHUSU EBOLA PAMOJA NA ILIKOANZIA'NIMEJIKUTA NIKIOMBA MUNGU SANA NA NIKAWA KAMA NAONGEA NA MUNGU VILE''
NA MAJIBU YAKE NI KAMA HAYA''
KWANZA TUNAANZA NA HIV''
 H.I.V.Mnakumbuka ilipo anza kutingisha Dunia baada ya uchunguzi kujulikana kwamba ulianzia Africa na kuanza kujisambaza Marekani na Mwisho kabisa Dunia njima ikawa ndiyo Tishio ,Na kujikinga nayo ikawa ni mara usipo kula na mtu sahani moja ,mara kijiko ,mara miswaki ,mara wembe,mara shindano za mahospitalini ,na LIKUBWA NI SEX''' Kufanya mapenzi bila mipira condom na wakajitahidi kweli kusambaza Condom kwenye Nchi masikini AFRICAN '' You see why I say Magonjwa haya hatari yanatokea huko Africa kwanza kwasababu ni Nchi ambazo zimesahauliwa na Nchi za matajiri '' Yani Africa unakuta ni ya mwisho kabisa kwa Kila maendeleo mazuri ikiwa ni mandege ,magari ya maana,mahospitali ya maana ,mashule, masoko yani nikivitaja hapa hapatatosha'' Africa tumesahauliwa na kuzarauliwa sana'' na kwa njia hii ''kwa sababu MUNGU ALIE TUUMBA'' ANA AKILI ZAKE ZISIZO NA MFANO''
Kafanya hivi '' Kaanzisha haya magonjwa huko African HIV na sasa hivi EBOLA ''Ili hizo Nchi matajiri ziweze kustuka na kujua kumbe kuna African people who need Help and all the good thing kama Mataifa Mengine yaliyo endelea'' Basi sasa mliona walivyo stuka na HIV ''Kiboko ikasambaa Dunian Nzima hakuna cha Africa wala Ulaya'' yani ni DUNIA NZIMA'' Si unaona walivyo anza kutoa huduma na kila Mtu kuanza kujua Africa was Nchi za aina gani '' na kilichokuwa kinatakikana kwa Malengo ya Mwenyezi Mungu ''ni Hizi hizi Nchi za matajiri kujigawa na kujenga Nchi za Africa kama wanavyo zijenga Nchi zao ''ni kwanini wasishirikiane na Viongozi wetu wa Africa kuwasaidia kujenga mahospitali mazuri na mashule mazuri na vile vile Biashara nzuri kama vile mikopo ya mabenki kuwa rahisi kupatikana kama vile wanavyo wafanyia makampuni yao makubwa kubwa huku Ulaya'' unaona mtu anaanza kujenga mahoteli makubwa makubwa kila mji ukazania katajirika over night lakini ni kupitia wakubwa wa serikali na Benki kuungana nao kuzijenga kwa kupitia hao watu fulani fulani '' sasa tukirudi kwa matajiri hao ''hakuna atakae epuka magonjwa hatari ikiwa hawatachukua hatua mapema ya kusaidia kwa madawa ya nguvu tena na vifaa vya nguvu ili kujikinga wao wenyewe'' Siuna ona Vile Mungu alivyo Kiboko ya matajiri eee''yani sasa hii IBOLA'' Ndiyo the talk of mujini ''Yani ikiwa haitachangamkiwa na hawa matajiri aisee hakuna atakae baki sasa hivi ''na kama hamjastukia'' Hii sasa MUNGU KAIFANYA IKWA HAKUNA CHA MICHEPUKO WALA CHA MISHEPUSHEPU''' Ni hewa na pia kukuwepo karibu sana na muambukizaji 'au niseme mgonjwa wa IBOLA' na huwezi kujiepusha kutokukuwepo karibu na mtu ''tena unajikuta umekaa nae kiti kimoja au amekuja ofisini kwako au umekwenda kula hata kama unakwenda kula kwenye sehem posh kupita zote duniani aisee it take one and you all in '' Yani sasa ni kumrudi Mungu '''Maana hata matajiri wengi muda wakusali hawana na vile vile masikini husali kwa kutokushukuru bali kwa kuomba omba tu'' why dont you sali kwa kumshukuru Mungu una uhai '' ila utaona wengi wakisali wakiomba wapate kitu fulani au wanaumwa wanaomba wapone''jifunzeni kusali kabla hujaamka kitandani mwambieni Mungu asante kwa kuamkia hapa Duniani leo ''kwani wapo weni hawakuweza kuamkia hapa Duniani 'Japo walilala wakiwa na mipango yakuamkia hapa Duniani leo na kufanya kitu fulani ''
SALI HIVI''
YESU ASANTE KWA KUNIAMSHIA HAPA DUNIANI SIKU YA LEO NA UZIDI KUNIAMSHIA HAPA HAPA DUNIANI LEO NA SIKU ZOTO HADI SIKU YA MAISHA YANGU AMEN''
MATAJIRI> Sasa imefika time ya kuwajali masikini na mihela yenu ''Yani mimi nachukia sana hawa watu wenye mihela alafu ni michoyo Mtu unaweza Muona mwenzio anateseka kweli kila siku unapishana nae peku peku na kapu lake kichwani na mtoto mgongoni anauza machungwa au yeboyebo na wewe utamzolea vumbi hatari hata yule mtoto yuma mgongoni hukumjali kisa unaendesha gari kubwa '' Jamani Mungu anaona haya yote'' Tusaidianeni na tuache chuki na wivu na kuzibiana bahati zetu ''wacheni fitina kisa mwenzenu nae anataka kukufikia'' yani dawa yake ndiyo MAGONJWA HATARI ''HAKUNA CHA TAJIRI WALA MASIKINI ''NA SASA HAKUNA CHA MICHEPUKO WALA MISHEPUSHEPU'' 
Jamani Mimi nawapenda sana na wote mnao watilia wenzenu fitina mkiwazibia bahati zao hasa mnanitilia fitna Mimi Flora Lyimo mtoto wa Kilimanjaro Niliaga kwetu na Mungu ndie alie nileta Ulaya''hamkunileta Nyie kwa hiyo wacheni fitna na majungu yenu '' KWA MUNGU NI BURE MNAJISUMBUA'' RUWA MANGI ''AIKA MBEE'' Kweli I love you God ''wewe ni kiboko yao ''' wacha na IBOLA IWAAMSHE''MAANA HIV 'HAIKUWAAMSHA VIZURI '''


BLESS HIM''Yani ni Mungu peke yake anaeweza kuwasaidia hawa watoto'kuishi maisha bora'

A Boy walks past a CLINIC taking care of Ebola patients on the outskirts of Kenema,Sierra Leone''Mmeona haka kakijana ee'' yani hivyo anazungusha vinywaji hivi unanunua na huwezi jua kama ndiyo kesha ambukizwa maana huambukizwe leo na kuanza kuumwa hapo hapa leo leo ''kwa hiyo sasa hivi ''wewe kama upo huko Africa '''TUULIZE SISI TUPO HUKU UK -LONDON ''KAMA HATA UK NZIMA UTAMKUTA MTOTO AU HATA MTU MZIMA ANATEMBEZA BIDHAA ZAKE HIVI ETI TENA SODA AU MAJI ANAUZA MIJINI AU MIKOANI'' You see this is why i say'' MATAJIRI NDIYO WANAOSABABISHA MAGONJWA HATARI YAJE HUKU DUNIANI NA YAANZIE AFRICA''ILI WA ULAYA NA NCHI ZOTE TAJIRI DUNIANI WAAMKE KUSAIDIA AFRICAN PEOPLE'' IKIWA ULAYA HAMNA VIJANA KAMA HUYU ANAUZA SODA ZAKE HIVI ''WHY LET AFRICA DO IT ? HAYA SASA WAAMKE NA MIHELA YAO SASA''LA SIVYO HABAKI MTU DUNIANI ''AND I AGREE WITH GOD'''Tufe wote asibaki Mtu hata wale WABAKAJI KINA GODBLESS LEMA'' WOTE YANI WATU WOTE 'MPAKA KIELEWEKE''MATAJIRI KUZIDI KUTAJIRI NA MASIKINI KUZIDI KUWA MASIKINI WHY ? WAKATI MATAJIRI DUNIANI MNAUWEZO WAKUSAIDIA'''' KUDAGAAMBICHIIIII'''

KUTOKA KWA DACTARI WA DUNIA''MSOME HAPO CHINI 'BAADAE NITAWARUSHIA VIDEO YAKE 'MUMSIKILIZE''YANI WAMEANZA KUAMKA MDOGO MDOGO..IN KING DIAMOND PLATNUMZ VOICE''

Because the virus is spread by bodily fluids, hospital transmission is one of the biggest issues in stopping its spread – and the scientists said the infection of the first health worker in Guinea “seems to have triggered the spread of the virus to Macenta, Nzérékoré, and Kissidougou in February 2014”.

TIRIRIKA NA EBOLA HAPO CHINI '' 
Ebola virus disease (EVD) or Ebola hemorrhagic fever (EHF) is a disease of humans and other primates caused by a ebolavirus. Symptoms start two days to three weeks after contracting the virus, with a fever, sore throat, muscle pain, and headaches. Typically nausea, vomiting, and diarrhea follow, along with decreased functioning of the liver andkidneys. Around this time, affected people may begin to bleed both within the body and externally. [1]
The virus may be acquired upon contact with blood or bodily fluids of an infected animal (commonly monkeys or fruit bats).[1] Spread through the air has not been documented in the natural environment.[2] Fruit bats are believed to carry and spread the virus without being affected. Once human infection occurs, the disease may spread between people as well. Male survivors may be able to transmit the disease via semen for nearly two months. In order to make the diagnosis, typically other diseases with similar symptoms such as malariacholera, and other viral hemorrhagic feversare first excluded. To confirm the diagnosis, blood samples are tested for viral antibodies, viral RNA, or the virus itself.[1]
Prevention includes decreasing the spread of disease from other infected animals to humans. This may be done by checking such animals for infection and killing and properly disposing of the bodies if the disease is discovered. Properly cooking meat and wearing protective clothing when handling meat may also be helpful, as are wearing protective clothing and washing hands when around a person with the disease. Samples of bodily fluids and tissues from people with the disease should be handled with special caution.[1]
There is no specific treatment for the disease.[1] Efforts to help those who are infected are supportive and include giving either oral rehydration therapy (slightly sweet and salty water to drink) or intravenous fluids.[1] The disease has a highmortality rate, often killing between 50% and 90% of those infected with the virus.[1][3] EVD was first identified in Sudanand the Democratic Republic of the Congo. The disease typically occurs in outbreaks in tropical regions of Sub-Saharan Africa.[1] From 1976 (when it was first identified) through 2013, fewer than 1,000 people per year have been infected.[1][4] The largest outbreak to date is the ongoing 2014 West Africa Ebola outbreak, which is affecting Guinea,Sierra LeoneLiberia, and Nigeria.[5][6] As of August 2014, more than 1,750 suspected cases have been reported.[7]Efforts are ongoing to develop a vaccine; however, none yet exists.[1]

TIRIRIKAHAPO CHINI  HIV ILIKOANZIA''

Spread to the western hemisphere''

HIV-1 strains were once thought to have arrived in the United States from Haiti in the late 1960s or early 1970s.[53][54] HIV-1 is believed to have arrived in Haiti from central Africa, possibly through professional contacts with the Democratic Republic of the Congo.[55] The current consensus is that HIV was introduced to Haiti by an unknown individual or individuals who contracted it while working in the Democratic Republic of the Congo circa 1966, or from another person who worked there during that time.[54] A mini-epidemic followed, and, circa 1969, yet another unknown individual brought HIV from Haiti to the United States. The vast majority of cases of AIDS outside sub-Saharan Africa can be traced back to that single patient[53] (although numerous unrelated incidents of AIDS among Haitian immigrants to the U.S. were recorded in the early 1980s, and, as evidenced by the case of Robert Rayford, isolated incidents of this infection may have been occurring as early as 1966.) The virus eventually entered male gay communities in large United States cities, where a combination of sexual promiscuity (with individuals reportedly averaging over 11 unprotected sexual partners per year[56]) and relatively high transmission rates associated with anal intercourse[57] allowed it to spread explosively enough to finally be noticed.[53]
Because of the long incubation period of HIV (up to a decade or longer) before symptoms of AIDS appear, and, because of the initially low incidence, HIV was not noticed at first. By the time the first reported cases of AIDS were found in large United States cities, the prevalence of HIV infection in some communities had passed 5%.[58] Worldwide, HIV infection has spread from urban to rural areas, and has appeared in regions such as China and India.
HABARI NDIYO HIYOO NADHANI NIMESOMEKA NA MTAZINGATIA MLOSOMA HAPA'
FOLLOW ME INSTAGRAM>floralyimofashionpoliceblog
FOLLOW THIS BLOG:FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG 
WHATSAPP KWA BIASHARA ZA FLORA LYIMO + 44 778 7471024 
KARIBUNI ''

No comments:

Post a Comment