KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 9 August 2014

WHATS ON ? SHILOLE NA VAAZI LAKE LA KIMASAI ZAIDI ATETEMESHA UWANJA WA TAIFA ON USIKU WA MATUMAINI 2014 DAR ES SALAAM'' NI MBUTA NANGA!!


 KULIA NI FLORA LYIMO MWAKA JANA DECEMBER NIKICHEZA MAUNO YA SHILOLE ALIPOKUJA LONDON 'YANI I DESIGN MY OUTFIT JUST FOR SHILOLE 'NA LEO KANIKUMBUSHAAAA' KULIA IS SHILOLE AKIWAPULIZIAAAAAAAAAAAAAAAAA''MBUTA NANGA!! ALIPULIZA KINOMAAA'' 
FLORA LYIMO DANCING WIMBO WA SHILOLE LIVE WITH HER ON STAGE DECEMBER 2013 IM SO PROUD OF HER ''  ANYWAY ''SASA TIRIRIKA NA SHILOLE MAKAMUZI YAKE NI NOMAAAA'''
Mwanadada mwigizaji na mwanamuziki Zuwena Mohamed 'Shilole' akicheza kwa kujiachia katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo.
Zuwena Mohamed 'Shilole' akiongea na mashabiki wake.…
Mwanadada mwigizaji na mwanamuziki Zuwena Mohamed 'Shilole' akicheza kwa kujiachia katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo.
Zuwena Mohamed 'Shilole' akiongea na mashabiki wake.
Wacheza show wa msanii wa Shishi Baby wakifanya yao.
Shishi Baby akifanya makamuzi.
Shishi Baby akiagana na Mashabiki wake baada ya kufanya makamuzi ya ukweli katika Tamasha la Usiku wa Matumaini 2014 usiku wa kuamkia leo.
TUMECHOTA NA KUMIMINA KUTOKA GLOBAL ILI MJIONEE''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment