KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 10 August 2014

WHATS ON ? ALI KIBA AKIWAPULIZIAAA NYIMBO ZAKE ZA COME BACK ''YANI FANS WAKE WAMECHANGANYIKIWA HASWAA'' ITS A BIG COME BACK 2014 FOR HIM'' AT TAMASHA LA USIKU WA MATUMAINI 2014 JIJINI DAR ES SALAAM''



 SIDHANI KAMA KUNA ALIE FURAHI KWA ALI KIBA KURUDI HEWANI KAMA MIMI APA'' YANI NA MPENDA SANA ALI KIBA Ni kama Mdogo wangu kabisa alivyo Mtii ''Uki muita anaitika anajua kuwafurahisha washabiki wake anajua kuiwakilisha Nchi yake anajua anachokitaka katika maisha yake ,yani nikisema nikuwaambieni yote about Him hapa hapatatosha'' AND DONT SAHAU ''HOW CUTE HE IS'' Anyway ''need i say more'' Tiririka na mapicha moto moto ya show yake at Uwanja wa Taifa Jijini Dar Es Salaam'' ALI KIBA MY AFRICAN KING''' IM SO PROUD OF YOU AND WELCOME BACK ''I CANT WAIT FOR YOU TO BE BACK IN LONDON NIJE KUKUPIKIA MACHALARI AGAIN ''MBUTA NANGA!!
 HAPA WAS AT XMAS TIME 'AT MY LONDON BLESSING HOME'' TUKILA MACHALARI '' SPECIAL REQUESTED BY ALI KIBA'' MY KAKA FOR SURE'' NAMPENDAA''' YANI NILIPO PIGIWA SIM ..ALI KIBA ANAOMBA KUJA KULA MACHALARI YAKO 'KWANI HUWA ANAYAONA KWENYE PICHA TU'' I WAS LIKE''WOOW THATS SO NICE'' I LOVE HIM 'SURE I WILL COOK FOR HIM'' AND HERE WE ARE 'US' FLORA LYIMO AND THE KING ALI KIBA ,I CAN'T WAIT FOR HIM TO BE BACK HERE AGAIN '''

MBUTA NANNGA MTU NA DADA YAKE'' THE LOOK OF PROUD '' THIS IS FOR YOU MY ALI KIBA''' Nakuomba uachane na Watu wasio penda maendeleo yako na wala maendeleo ya wenzao 'bali wanapenda wao wao tu'' yani wapotezee kabisa.Mwisho wa siku jua kwamba WEWE UNA MASHABIKI WAKO NIKIWEPO MIMI HAPA NAMBA MOJA''NA VILE VILE WAO AU YEYE ANAE KUONEA WIVU NAE ANA MASHABIKI WAKE NA PENGINE HATA MIMI NI MMOJA WAO'' SO CHA MSINGI NI KUWAPOTEZEA NA KUFANYA YAKO'' LOOK AT YOU HERE NOW'' ON STAGE HUKUKUWEPO NAO ''NA UMEFANYA YAKO NA UMEWAPULIZIA HATAREEE'' SO MY KAKA'' NAKUOMBA WAEPUKE YANI WAEPUKE KAMA VILE KUKU ANAVYO MUEPUKA MWEWE'' Wapo watu wenggine kama Mwewe vile''wao huja kunyemelea vya watu vilivyo tiyari na kuvibeba kuiba bila hata haya'' habari ndiyo hiyooo''' waepuke MWEWE WASIO NA HAYA'''  Nyota wa muziki wa Bongo fleva, Ali Kiba akiimba huku akiwa katika pozi bila kuwaangalia mashabiki wake katika Tamasha la Usiku wa Matumaini usiku wa kuamkia leo.
Ali Kiba akionyesha manjonjo yake kwa mashabiki wake.…
Ali Kiba akionyesha manjonjo yake kwa mashabiki wake.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na ujio mpya wa Ali Kiba.
Ali Kiba akicheza na mkali wa Komedi Bongo, Haji Salum 'Mboto'.
...Akimchezesha Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (kushoto)' MBUTA NANGA'' TISHAAAAA.
Rais wa Bongo Movie-Steve Nyerere (kushoto) akiwa amepagawishwa na muziki wa Ali Kiba, hapa anakamua wimbo wa Mwana Dar.
Ali Kiba akiwachengua mashabiki wake katika Tamasha la Matumaini.
Ali kiba akicheza na wacheza shoo wake.
Nyota wa muziki wa Bongo fleva, Ali Kiba akiimba huku akiwa katika pozi bila kuwaangalia mashabiki wake katika Tamasha la Usiku wa Matumaini usiku wa kuamkia leo.
Ali Kiba akionyesha manjonjo yake kwa mashabiki wake.
Mashabiki wakiwa wamepagawa na ujio mpya wa Ali Kiba.
Ali Kiba akicheza na mkali wa Komedi Bongo, Haji Salum 'Mboto'.
...Akimchezesha Rais wa Bongo Movie, Steve Nyerere (kushoto).
Rais wa Bongo Movie-Steve Nyerere (kushoto) akiwa amepagawishwa na muziki wa Ali Kiba, hapa anakamua wimbo wa Mwana Dar.
Ali Kiba akiwachengua mashabiki wake katika Tamasha la Matumaini.
Ali kiba akicheza na wacheza shoo wake. Yani ilikuwa ni pulizaaaaaaaaaaaaa kinomaa'''
TUMECHOTA NA KUMIMINA KUTOKA GLOBAL.ILI MJIONEE'
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment