KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 21 September 2014

WHATS ON ? DIAMOND NA PROMOTA WAZIDI KUTAPELI WATU ''YASEMEKANA DIAMOND PLATNUMZ ANAKUBALI KUTUMIKA KUWATAPELI FANS WAKE HASA WAISHIO NCHI ZA NNJE'' UJERUMANI NA UINGEREZA'MBUTA NANGA!!

 FLORA LYIMO MTANZANIA ALISI AIPENDAE NCHI YAKE KUPITA MAELEZO''
Ndugu zangu Watanzania wenzangu popote pale mlipo natumaini hamjambo '' Mimi kama mnavyo nifahama huwa na penda sana kuongelea vitu vya ukweli hasa pale unapokuta nipo penye tukio' Ninaomba niwaambieni machache kuhusu Huyo Diamond na Show yake ambayo ilikuwa imepangwa kufanyika on 19/9/2014. Na Yeye Diamond mwenyewe kutangazia Fans wake kwenye page zake za mitandaoni kwamba yupo na atafanya show hizo na vile vile ni nyimbo zipi wangependelea wazisikie usiku huo ''Hapo Diamond akiwapa 100% washabiki wake kwamba atakuwepo na kila kitu kitakuwa powa powa aka mdogo mdogo hadi saa nane mimi nafika baada ya kuwa nauliza waliokuwepo mle ndani kuanzia saa tano wanasema bado hawajamuona na vile vile wameshaanza kusikia fununi kwamba Club hiyo itafungwa saa Tisa na nusu na siyo saa kumi na moja Asubuhi kama walivyoambiwa na Muandalizi wa Show hii akiwa ni Victor the Long time and well knowing Tanzania Promoter hapa UK '' So iweje Leo Daimond aanze kumtangaza kwamba ni Tapeli ? If He was Tapeli na juzi kule Ujerumani ilikuwa ni Utapeli na Promota wengine mbali na Victor ? How come hata Mwezi haujaisha yatokee yale yale mambo ya kuwa angusha Fans wake? Na isitoshe ana mipango ya kufanya show zake akishuka kwenye Ndege '' Hivi hajui kuna mengi yana takiwa kuchunguzwa kabla ya kufanya hizo show zake ? Yani uwe umejipa hata siku moja yakuhakikisha umeona Ukumbi na Umelipwa Hela zako hapo unawapa mashabiki wako 100% ya wewe kukuwepo na kila kitu kitakuwa powa 'sasa matokeo yake ndiyo hayo Diamond ni Mpumbavu na aache upumbavu'' Tumia Akili ushatendwa na kutendea Fans zako mabaya sana na unapokosea inabidi unajirekebisha kwa makosa yale uliyostukia umeyafanya mwanzo''HUJIFUNZI 'UNATUUMIZA MASHABIKI WAKO '' HELA ZETU TENA PAUNDI NA SIYO SHILINGI ZA TANZANIA HATUZIOKOTI TUNAZITOLEA JASHO KAMA WEWE UKIWA STEJINI UPO ''


Hapa nimejitokea kazini yani nilifunga my shop saa tano usiku kwa ajili ya mizigo yangu ya Dukani kuletwa usiku tena kuchelewa ,nikawa najisemea nikifika Home ikiwa Show ya Diamond sijashelewa maana inafanyiwa mtaa wangu wa Jirani basi nitauliza hali ilivyo mle alafu niende maana Nampenda sana Diamond na kama Mtanzania mwenzangu napenda maendeleo yake na ya Wenzangu sana yani huwa najivunia haswa na pia wanapokosea huwa nakasirika sana'' So nikauliza hivi sasa ni saa saba usiku na bado hajaja ? wakasema bado na watu ndiyo wanaanza kuingia ingia'' So nikasema hapo ni powa nitafika saa saba na nusu ikiwa hakuna matatizo njiani '' Ndipo nikajiitia Tax yangu na kuondoka Home saa saba karibia na nusu''Huku nikiwanimejichokea sana yani hata viatu nilivaa kwa kujilazimishia nilitamani niende bila viatu miguu ilivyokuwa imeshoka kusimama tangu asubuhi saa nne mpaka saa tano usiku siyo mchezo jamani '''Alafu eti ukute tena ulie amua kumpotezea Usingizi wako ,Hela na Uchovu hayupo yupo Kajikalia sehem anacheka kisa wanaumbuana wenyewe kwa wenyewe huku akijisahau yeye (Diamond ) ni Big star na huo ustaa tumempa sisi na Vile vile tunauwezo waku mnyang'anya'' You know how tutamnyang'anya ''is Yeye kupiga Show zake ajikute akiwa anaimbia Pombe Vilabuni '' Night Club Mashabiki wamegoma kwenda show zake'' na hapo Ustaa huo tulio mpa sisi Mashabiki wake kuukausha'' That is what you want us to do Diamond na nimeanza Mimi apa'' Hutoniona tena kwenye Show zako '' Ukiniona nitakupa £1000 Elfu Moja pounds Buree'' NGACHOKA''' Mchagga Sitapeliwi mara mia natapeliwa mara mbili ''Na mbili zako zishatimia'' 



Diamond na Shabiki yake na Dada yake mkubwa ivoooo'' Yani sasa hunioni tena Diamond ''nimekushoka ama kweli kumpenda asokupenda utaumiaje sasa'' ona alivyo tuumiza mashabiki wake kwa kumpenda huku akiwa hatupendi '' Angekuwa anatupenda angeingia stejini na kutuomba msamaha na pia kutuambia yale aliyokwenda kuyaandika kwenye ukurasa wake wa mitandaoni ''
Diamond na Flora Lyimo ''Yani anejua ninavyo mpenda na show zake hata azifanyie mbali ya wapi UK mimi huwa nasafiri na kuacha kila kitu ili kuhakikisha nakwenda kumpa sapoti zanu anazozihitaji kutoka kwangu kama shabiki na Dada yake Mkubwa'' But ikiwa yeye anatuangusha siyo mara moja mara mbili tatu basi mimi zangu mbili Mchagga Ulaya zimekamilika and Im out kwenye Show zake hamunioni tena '' hasa zile za UK '' yani siku hiyo nitalala usingizi huku niki kumbatia Picha yake ikiwa nime mkumbuka sana'' kuliko kwenda kwenye Show zake ambazo nitakitapeli na yeye Mwenyewe bila kutujali Fans wake 'kuona tukitapeliwa na yeye kuendelea na yake mdogo mdogo''

Flora Lyimo Nnje ya Club La Face London '' yani Police walivyo miminika hapa ni Nomaaaa ,Police walianza kumiminika hapa baada ya watu kuanza kudai walirudishiwe hela zao na kujikuta wakishikamana na kila alie kuwa anafanya kazi mle ndani masikini huku wakiwepo hata hawana mamlaka na hiyo show wao ni wafanyakazi wa kawaida waliokuja kazini kama kawaida tu'' Victor baadae alikuja Nnje na mapolisi wakiwa wamekuja nae kichini ya Ulizi kasoro pingu mkononi tu'' akanikuta na kuniuliza Vip nimemuona Diamond hapa Nnje nika muambia hapana sijamuona .ndipo Mimi ,Victor (promota ) Muandalizi wa hii Show pamoja na Baadhi ya mapolisi tukaanza kutizama kwenye Magari yaliyo kuwa yamesimama Nnje pale'' but hakukuwepo ''ndipo wakamrudisha Victor kule ndani kuendelea na malipo ya kuwarudishia watu hela zao ''na baada ya muda kidogo i think hela zika kwisha Victor akashindwa kulipa na vile vile Hela ya Club £3000 Elfu tatu hazikuwa zimelipwa '' na ikasemekana kwamba kuna Mmoja wa Promotor alichukua Hela zote za Usiku huu Viingilio Jina kapuni '' na mmoja wa Police aliniambia Mimi kwamba sasa wana funga hiyo Club wameichukua leseni ya Club hii La Face na pia wanamstaki Victor na Mwenzake muimbaji huyo kwa kosa la Fraud ''utapeli '' na wale wote walio kosa kulipwa hela zao walipewa namba za kupiga ili kurudishiwa Hela zao''Mimi sijachukua'' Nawaonea Huruma sana na Naamini kwamba Victor hajafanya makosa Victor anajaribu kufanya Biashara na Diamond kimaelewano yao alafu mwisho wa siku Diamond ana muangusha Victor kwa kumkomoa  huku akisahau kwamba hamkomoi Victor anajikomoa yeye maana sisi Fans wake ndio hatutamuelewa kabisa Diamond'' hawezi kutudanganya kama watoto wadogo ''Juzi ilikuwa Ujerumani leo London tena hata mwezi haujaisha?Ina maana hujifunzi ? why dont you ask your money uhakikishe umelipwa hela zako kwanza ukajikuta upo bila wasi wasi na kuwatia fans zako hasara ? Victor hana kosa lolote wewe Diamond una makosa kwa kukubaliana nae ulipwe hela zako kwa mipango yenu kabla ya wewe kufanya show ''sasa ikiwa Victor kakuambia kwamba Hela alizokuwa anazitegemea Mlangoni hazijatimia ila bado watu wanaingia wewe njoo piga show yeye atakumalizia hizo hela zako (kwa mfano atakwenda kuchukua bank next day ''kwanini hukumsikiliza maana huku UK hakuna Bank yoyote inayo Funguliwa usiku wa manane ''wewe cha kufanya ni kupiga Show furahisha fans zako daiana na Promota wako baadae kama mlivyoelewana maana sisi hatukuwepo wakati mnapanga hilo dili leni hadi ukumbi upatikane na wewe mwenyewe kutangazia FANS WAKO UTAKUWEPO NA UPO UK '' NA KWELI UNA POST HADI PICHA ZAKO UPO MJINI '' HUO UNA ONYESHA WAZI KWAMBA WEWE UNAHUSIKA KWA NJAMA ZA UTAPELI FRAUD'' UMEWAPA FANS ZAKO 100% YOU WILL BE THERE AND THAT IS WHY THEY D COME ''Wengine wametoka Nnje ya Mji wa London ili kuja kukupa sapoti alafu hata bila aibu ,huruma huoni unadhubutu kutokufanya show eti hujamaliziwa hela zako za malipo ya show'' Hivi meneja wako kazi yake ndiyo nini haswa ? and even ni kwanini wewe uwe una dili na hao promota mwenyewe badala ya meneja wako kudili nawao ,yani usihusishe urafiki na kazi zako Diamond '' Yani hata Ndugu yako usimuhusishe na kazi zako ''watakuharibia mwisho wa siku ujikute ukiwa chini kama wao '' wewe ni msanii mkubwa siku hizi na usifanye mambo ya kipumbavu''
THIS IS FOR YOU DIAMOND'' USHAURI WA BURE'' JUST DO THIS''
DIARY
Hakikisha una diary yako ya show zote'' Yani uwe unajipanga ikiwa una fanya show jumamosi ya wiki moja '' uwe umejipa muda wa kuinya show hiyo ingine itakayo fuata yani uwe unajipa siku mbili za kupumzika na kujiandaa na Show hiyo ingine'' ikiwa ni kusafiri uwe umefika siku moja au mbili kwenye sehem husika ili uwe UMELIPWA HELA ZAKO ZOTE'' HAKUNA SHAKUPUNGUA HATA SENTI MOJA'' WAHUSIKA WAKAOMBE HELA WAKULIPE WEWE KWANZA'' NA INAWEZEKANA ASIKUDANGANYE MTU WEWE WAKULIPE BAADAE''KATAA SEMA NISISIKIE MNATANGAZA NAFANYA SHOW KABLA HAMJANILIPA'' WAKITANGAZA KABLA YAKUKULIPA WEWE TUANDIKIE KWENYE KURASA ZAKO ZA MITANDAONI KWAMBA HAUPO NA NI UWONGO'' Diamond Sisi tunakufuatilia sana fans zako tunajua kila unachokifanya kwenye kurasa zako hatukosi kusoma ulichoandika'' so hapo utakuwa upo juu sana na pia kuheshimika'' 
LINGINE'' Wacha kabisa kusafiri na ndege siku hiyo hiyo unayohitaji kufanya show zako yani epuka sana safari za siku hiyo hiyo yani nikiimanisha safari za mbali kama vile Tanzania to UK ''utegemewe kufanya show usiku wa Ijumaa na wewe una safiri kesho yake asubuhi kwa mfano na unategemea kufika na kuanza uandalizi wakuingia stejini ''Diamond unakuwa umechoka na zile show zako zinakosa hata ladha ya wewe kuziimba ukiwa stejini '' hata dancer wako wanakuta wamechoka sana ''wao siyo punda ni Binadam na hata wewe mwenyewe siyo punda ni Binadam ''jipe nafasi ya kupumzika hata siku moja kabla ya show nyingine hasa kusafiri na ndege za mbali na kuingia stejini siku hiyo hiyo '' siyo nzuri kwa afya ya Moyo wako'' I love you Diamond japo kwenye Show zako UK hautoniona tena ''but kumbuka I wish you all the best na endelea kuiwakilisha Nnchi yetu Tanzania ikiwa utajifunza haya machache niliyo kushauri hapa''MBUTA NANGA!!
Ona hapa ukumbi wa Ujerumani walichokifanya baada ya Diamond kutokutokea '' Sasa Watanzania ndani ya la Face Club walikuwa wapoleee'''Yani mwenyewe niliamini kwamba sisi Watanzania ni wastaarabu na WAOGAAAA'' MBUTA NANGA!!
TANGAZO LA SHOW HII YA DIAMOND AT CLUB LA FACE'' AMBAYO HAKUTOKEA NA WATU BADO WANA HASIRAAAA''NA WENGINE WAKIJIKUTA WAKIAPA KUTOWENDA TENA SHOW ZAKE KAMA FLORA LYIMO '' YANI NEVER AGAIN KUHUDHURIA SHOW ZA DIAMOND IN UK ''HATA AFANYE BURE'' SIENDI'NGACHOKA ''''
FLORA LYIMO FASHION POLICE BLOG

No comments:

Post a Comment