KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 8 December 2014

WHATS NOW ? JUMAPILI YA TAREHE 7.12.2014 IMEKUWA YA RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE YA KUMSHUKURU MWENYEZI MUNGU KWA KUMPONYESHA''

RAIS KIKWETE AKIWA MWENYE FURAHA NA MWENYE AFYA YAKE KAMA KAWAIDA'' KWELI NI JAMBO LA KUMSHUKURU MUNGU ''HATA MIMI FLORA LYIMO 'NINAMSHUKURU MUNGU KWA KUKUPONYESHA RAIS NA BABA YANGU (KIUTANZANIA) NAKUPENDA SANA'' RUWA MANGI''AZIDI KUKUBARIKI ''
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia baadhi ya Mashekhe na wageni waliohudhuria hafla ya kisomo maalum cha Kumshukuru Mwenyezi Mungu baada ya kufanyiwa upasuaji na kurejea nyumbani salama kilichofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumapili Desemba 7, 2014.
Mjukuu wa Rais, Ayman Ridhiwani Kikwete akicheza kwa furaha wakati Babu yake Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwashukuru wageni na Mashekhe waliohudhuria hafla ya kisomo maalum kilichofanyika katika viwanja vya ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumapili Desemba 7, 2014
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mjukuu wake Ayman Ridhiwani Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kumalizika kisomo cha shukran kwa Mwenyezi Mungu kiklichofanyika ikulu jijini Dar es Salaam leo Jumapili Desemba 7, 2014.(picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment