KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Sunday 6 May 2012

* IN YOU BEEN SNAP BLOG * HABARI ZA MIMBA" MAMA HUYU MTARAJIWA PICHANI HAPA KATUKANWA KWA KUKIMBIA (kimazoezi zaidi) WAKATI ANAHIYO MIMBA YAKE HAPO" JE WADAU NYIE MWASEMAJE??

Running the gauntlet: Mother-to-be Jenny Wright
Miss FB Flora Bahati Lyimo say: I also stand with Jen,Eastbourne,UK" Kwa kusema kweli The woman who yelled at her was CLEALY AN IDIOT" good on huyu mama to be for keeping her health and fitness a priority"
Nikiendelea kusema ni hivi ,kule home kwetu Tanzania kina mama wajawazito enzi zile sasa hivi sijui maana siishi mle now ,but enzi zile za 80's na 90's nikiwa ndo najua nini kinaendelea mama zetu walikuwa wanakwenda porini tena tembea ya umbali mkubwa sana bila viatu (peku peku )  na jembe lao kwenda kulima hadi na wengine mpaka wanazalia  humo mashambani na bila msaada wa madactari bali kina mama wenzao ..yani kweli UZUNGU ZUNGU KIZUNGUZUNGU TUUU.....kama anaweza kukimbia kwanini asikimbie na hajaambiwa kwamba hatakiwa kwa usalama wa alichokibeba (mtoto tumboni ? yani kuna wengine huwa wanajitia uvivu kwa kutokutaka hata kutembea licha ya kukimbia" so i think kama huna kipingamizi chochote ukiwa na mimba na ukiweza na ukijisikia kufanya kitu fanya" ILA BORA KISIWE CHA KUKUUMIZIE MWANAO MTARAJIWA " NA SIDHANI KAMA KUKIMBIA KUNAKULETEA MADHARA YOYOTE Mwanao .ANYWAY ..YOU CAN GOOGLE IT"
Goodlucky my dear"

No comments:

Post a Comment