KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Saturday 13 April 2013

FLORA LYIMO AWAPONGEZA WELDONE REEBOK SANA NA KUOMBA WENGI WAMPOTEZEE HUYU SIYO BURE ATAKUWA MBAKAJI TU" HAMNA MOSHI BILA MOTO" RICK ROSS NA MASHAIRI YAKE YA UBAKAJI YA MNYIMA SHIBE ATAKONDAJE SASA'MBUTA NANGA!!



Baada ya wiki kadhaa za ukosoaji na maandamano, kampuni ya Reebok imesitisha kufanya kazi na Rick Ross kutokana na mashairi yake yenye kashfa ya kusifia vitendo vya ubakaji.

Wimbo wa Rick Ross unaodaiwa kuwa na mashairi ya kupromote ubakaji unaitwa “U.O.E.N.O.”

Katika maelezo iliyoutumia mtandao wa TMZ, Reebok imesema:

“Reebok holds our partners to a high standard, and we expect them to live up to the values of our brand. Unfortunately, Rick Ross has failed to do so.

While we do not believe that Rick Ross condones sexual assault, we are very disappointed he has yet to display an understanding of the seriousness of this issue or an appropriate level of remorse.”
Kwenye “U.O.E.N.O,” Ross anarap: “Put molly all in her champagne, she ain’t even know it. I took her home and I enjoyed that, she ain’t even know it.”

Mapema mwezi huu Ross aliomba radhi ya juu juu kutokana na mashairi yake kwa kutweet: “I dont condone rape. Apologies for the #lyric interpreted as rape. #BOSS”

Baada ya masaa mawili alijaribu kuomba msamaha tena: “Apologies to my many business partners, who would never promote violence against women. @ReebokClassics @ultraviolet”
SHARE FROM ZEDDYLIOUS BLOG"
FLORA LYIMO "say: I HOPE NOW ATAIMBA MISTARI MINGINE YA Flora Lyimo STOP RAPE AND RAP CHARITY"
OH''BEFORE YOU GO" PLEASE DONATE WHAT YOU CAN OR BUY ONE OF MY KNIT &CROCHET PRODUCT ANYTHING THAT I DESIGN AND THE FOUND WILL ALL GO TO FLORA LYIMO STOP RAPE AND RAP CHARITY" DONATE TO LIoyds TSB ACCOUNT:14590768 CODE:30-65-41
IF YOU WANT TO BUY EMAIL OR WHATSAPP US 'THEN WILL SEND YOUR PRODUCT TO YOU FREE POST ANYWHERE YOU ARE" THANK YOU
 "ABOUT THE CHARITY"
HII CHARITY NI KWA AJILI YA KUWASAIDIA WALE KINA MAMA/DADA WANAOJIUZA OVYO "KUPATA AJIRI ,WALE WALIOBAKWA KUPATA MAHALI PA KWENDA NA PAKUWEZA KUSAIDIWA KWA HUDUMA ZA KWANZA NA VILE VILE KUSAIDIANA NA POLICE KUWEZA KUANGAMIZA WANAOWABAKA NA KUHAKIKISHA WAMEPEWA ADHABU YAO INAYOWASTAHILI" NA MWISHO KABISA KUWEZA KUJENGA CLINIC YA KINA MAMA/DADA WANAPOKUWA NA MIMBA HADI KUJIFUNGUA ILI KUWEZA KUPATA MAELEZO BORA (RECEIVE MEDICAL ADVICE) NA KUWEZA KUJIFUNGULIA MAHALI PASAFI NA PENYE HUDUMA BORA" ILI KUEPUSHA VIFO VINAVYOTOKEA MARA KWA MARA TANZANIA AMBAPO MAMA HUPOTEZA MAISHA YAKE AU WOTE MAMA NA MTOTO KUPOTEZA MAISHA YAO KWA PALE WANAPOKOSA VITUO BORA VYAKUWEZA KUWASAIDIA NA KUWAFUNDISHA VEMA" NA AMINI PAMOJA TUKISHIRIKIANA TUTAFIKA NA KUONA HAYA YOTE NILIYOYATAJA HAPA YOTE YAKIWEPO TANZANIA KWA UMOJA WETU"
GOD BLESS YOU AND GOD BLESS THE WORLD" AMEN"
NIMEISHIWA NA USEMI.SEMENI NYIE NYOTA ZANGU ZA FLFP" WHAT YOU THINK OF HUU WIMBO WAKE? NA JE USHAWAHI KUBAKWA AU KUEPUKA KUBAKWA ? AU UNAMFAHAM YOYOTE" WE WANT TO HEAR YOUR HABARI HASA WALE MPO HUKO TANZANIA HIVI KWELI MNAJUA MAANA YA RAPE(KUBAKWA) ANYWAY EMAIL:  YOUR HABARI TO flo1974@btinternet.com

7 comments:

  1. Good site you've got here.. It's difficult to
    find high quality writing like yours nowadays. I seriously
    appreciate individuals like you! Take care!!

    Here is my web page ... summer internship

    ReplyDelete
  2. Thank you for sharing your thoughts. I truly appreciate
    your efforts and I am waiting for your further
    post thank you once again.

    Feel free to surf to my site best natural weight loss supplements

    ReplyDelete
  3. It is clear we cannot afford to lose good scientists with brains.
    The result is that many men try and camouflage the problem with farmacia on line so very
    often the parts of the penis. There s a possibility that
    sildenafil may help to counteract the effects of nitric oxide.


    Feel free to visit my site; visit these guys

    ReplyDelete
  4. Flora Lyimo I agree with you 100% siyo bure atakuwa mbakaji and hiyo U.O.E.N.O. Look like is the date he RAPE her" mbuta nanga" I just donate kidogo nlonacho mamii..hope all Tanzania people to be like you"

    ReplyDelete
  5. unpleasant song and person"

    ReplyDelete
  6. no one like you Miss Flora Lyimo" thanks for the LOVE"mzigo nimemaliza kuuza pesa nikupeje whatsapp yangu inamatatizo"check your email pls mami"

    ReplyDelete
  7. What's up, yeah this article is really nice and I have learned lot of things from it regarding blogging. thanks.

    Feel free to surf to my webpage summer internship

    ReplyDelete