KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 22 April 2013

SAD SAD NEW'S..R.I.P. PETER LAZARUS ......NIMEISHIWA NA LAKUSEMA EEE MUNGU WAZURI NDO WANAKUFA.KWELI AMEKUFA HEARTBROKEN'NA HATUJUI VILE KINAVYOUMA WAKATI UNANYIMWA HAKI YAKO..GOD KNOW'S...ILA MUNGU AWAPE NGUVU ZA UVUMILIVU NDUGU ZAKE PETER NA WATOTO WAKE.AMEN"

NAPIGIA SIMU JANA USIKU SAA SITA ,,NIKASHINDWA KUAMINI ..HADI LEO HII BADO SIJAAMINI' JAMANI BABA IMAN" SIJUI LAKUSEMA KWASASA HIVI ..ILA NITAZIDI KUWAPENI HABARI KUENDANA NASI MARAFIKI WAKE AMBAO TUSHAWAHI KUWA NA PETER NA KUONA ALIVYONA ROHO NZURU..KWELI SHETANI NI MBAYA DUNIANI HATARI...RUWA MANGI..BADO SIJAAMINI...

12 comments:

  1. Flora Lyimo 'this is why we love you and your blog,umesema ukweli mtupu...yule jestina George mama iman ,hata hajaandika chochote kwenye liblog lake alafu eti watu wasomjua alivyomdanganya marehemu Peter kwamba atamuowa na kuishia kuwa mke wa tatu wanampa pole..pole my.s' Upumzike kwa amani Peter tutakukumbuka kwa wema na upole wako milele'

    ReplyDelete
  2. fala wa mwisho huna haya kabisa chezea utaishia kuusambaza mdomo usio na faida

    ReplyDelete
  3. its so sad the bitch is busy posting about choir she cant even acknowledge the father of her daughter passing

    ReplyDelete


  4. Feel free to visit my website: site

    ReplyDelete
  5. Haki gani kwani alinyimwa? Kutokupost facebook au kwenye blog lakini haimaanishi kuwa hakuwa effected jamani. Mke wa tatu? Hata mimi ningekataa mambo ya uke wenza. Mungu amlaze mahali pema.

    ReplyDelete
  6. Ndio kazi yake kula hela za wanaum zake huyo jetina, hana roho kama ya ubinadamu kuwa ni mzazi mwenzake yeye anajali kabaa nini dunia tunapita utamkumbuka baba imani

    ReplyDelete
  7. Guys...stop bitching..Hivi si huyu kaka amefariki?Sasa mbona mnaanza zogo na umbeya.Kwani mnajua anazungumzia nani kamnyima haki yake?Mmeanza kumuhukumu mama mtoto kama mnajua ni yeye anaongelewa.Halafu hata kama ningekua mie...baba mtoto wangu afariki mie huyo kwenye blogu...haaa...Nna wazimu.?Mkumbuke hawa watu walishawahi kuwa pamoja...si kwamba hatahuzunika kwa vile tu hawako pamoja.!Ila na wewe mwenye blogu umetaka tu kulianzisha...hasa hicho ulichokichomekea cha, "KWELI AMEKUFA HEARTBROKEN'NA HATUJUI VILE KINAVYOUMA WAKATI UNANYIMWA HAKI YAKO".May his soul Rest in Peace.Poleni wafiwa

    ReplyDelete
  8. We nawe kama umepandwa na uchizi kha? Hivi kuna mtu asiyesikitika kwa hiki alichokifanya Jestina George aka BETINA? Ukweli lazima aambiwe Peter ni mzazi mwenzie alitakiwa kumuenzi ukizingatia wana mtoto, hebu koma na domo lako au na wewe una tabia kama za Jestina? Tupishe kule, msonyooooooooooooo

    ReplyDelete
  9. Hilo liJESTINA bora lilivyoolewa mitala limepata laana na litaendelea kupata laana kwa roho mbaya yake

    ReplyDelete
  10. "MAZISHI YA MAREHEMU PETER LAZARUS, YATAFANYIKA KESHOKUTWA SIKU YA ALHAMIS KWENYE MAKABURI YA KINONDONI KUANZIA SAA 8.00 MCHANA.

    MISA YA KUMUAGA ITAFANYIKA HAPO HAPO KWENYE MSIBA, MBEZI BEACH NYUMBANI KWA MCHUMBA WAKE BABES FAIZA"
    Jamani ni kosa gani Jestina amefanya alipoamua kuendelea na maisha yake ikiwa marehemu alikuwa na mchumba? wanawake tupendane.

    ReplyDelete
  11. Hi Anonymous of 14:51. ASANTE KWA KUINGIA HUM,, SASA WACHA NIKUJIBU HILI SWALI LAKO,,MAANA NAONA WENGI NI KAMA WEWE HAWAJAELEWA NI KWANINI WATU 'HASA NIKIWEPO MIMI FLORA LYIMO ..NIME MIND SANA JESTINA...TUME MIND JESTINA a.k.a. MAMA IMAN, KWA KITENDO CHA KUMDHARAU PETER SASA KAFARIKI NA NI BABA WA MTOTO WAKE ,BILA KUMTANGAZA KWA BLOG YAKE NA WAKATI YEYE HUKESHA KWA KUTANGAZA MATANGAZO YA VIFO VYA WENGINE''' KWA HIYO HTA KAMA PETER ALIKUWA NA MCHUMBA MWENGINE ,WHICH NAONA NA WENGINE WANA MUANDIKA MKE WAKE,SIJUI HIYO NDOA ILIFUNGWA LINI ,LABDA NDO PETER MWENYEWE HAKUNIAMBIA,ILA KUMLILIA JESTINA ..ALL THE TIME ANANIPIGIA SIM WAS ABOUT JESTINA NA HASA KWA KUMNYIMA KUMUONA IMAN NA PIA KUDAI KWAMBA KAMPELEKA MTOTO IMAN BONGO NA HATA HAJAMUAMBIA,NA HASA HASA KUMNYIMA KUMUONA,SASA KAMA NDO HIVYO SI NIAIBU KUMPELEKA KUMZIKA BABA YAKE WAKATI ULIMNYIMA KUMUONA AKIWA HAI'KWELI FIMBO YA MUNGU INAMSUBIRI YEYE NA WALE WOTE WANAOWAKATAZA WATOTO KUWAONA BABA YAO,KAMA SIYO HUYO BABA UNGELIWAZAA?? SHIKENI ADABU NA WACHENI KUWAONEA WATOTO WENU MLOWAZAA WENYEWE WIVU'NAWAONA WACHENZI WOTE MNAOFANYA HIVYO'MBUTA NANGA..SO SAD...ALI LIA NA NIKALIA, MSIMNYIME MTU HAKI YAKE...SO MY DEAR ..NDO MAANA JESTINA HATUTAKAA TUMSAMEHE NEVER KWA ALICHOKIMFANYIA PETER MAREHEM...HUYU ALONAE ALIMKUTA PETER AND HE HIT IT FIRST....NA AMPE HESHIMA ZAKE NAE APEWE ZAKE...NI HAYO TU,,,,BUT GOD KNOWS WHATS NEXT''''

    ReplyDelete
    Replies
    1. mmmmmh basi hapo makubwa ,kumyima baba haki ya kumuona mtoto ,kwa hilo hakumtendea haki marehemu. RIP Peter.

      Delete