KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 7 May 2013

BY:FLORA LYIMO ~DIAMOND ASHINDILIWA VIUNGO HADI KUZIMIA LIVE ON STAGE NA KINA MAMA /DADA" ALIYESEMA WASIENDE SHOW YA DIAMOND IN UK " NAMPA POLEE!!

Mwaona sasa ,yani hata mimi nilikimbia kwenda kutaka kujua kama Diamond hapo chini yupo powa ila palikuwa hapatoshii ''pakupitia hadi kumfikia' but baada ya muda kidogo aliamka na kuendelea kuwapagawisha walofika kusema kwa heri kwenye Show yake ya mwisho Reading UK Jumapili tarehe 05-05-2013'ona vile wengine walipakia kuhuzunika gafla 'na mwengine akimshika mjuu' He is ok 'ona huyo Dada Mrembo wa pili kulia anavyo furahi baada ya kumshika Diamond mguu na kushuhudia kwamba yupo powa kwa kicheko chake hapo" PICHA ZINASEMA YOTE JAMANI 'SO KAEENI MKAO WA ALBUM ONE"
ENDELEENI MKIJIBURUDISHA KWA HUU WIMBO WA MOYO WANGU BY:DIAMOND 'HUKU FLORA LYIMO FASHION POLICE AKIWATAYARISHIENI ALBUM ZA PICHA NA MISHAPO MOTO MOTO ILOTOKEA UK 'TANGU ALIPOKUJA UK AKIONGOZANA  NA MADANCERS WAKE KUSHEREKEA MUUNGANO DAY"
USIKOSE KURUDI NYOTA ZANGU 'Fora Lyimo"

2 comments:

  1. Dada Florah, habari ya kusema sijui nani alisema msiende shoo ya diamond nafikiri ilishafungwa. Sasa wewe watu tumekuja kuangalia picha, kila mara ooh sijui nani alisema tusiende, naona huo ni uswahili na wewe hufanani na huo uswahili. Topic ilishafungwa, mtu alishapigwa madongo yake inatosha. TUwekee picha tuburudike sie.

    ReplyDelete
  2. wote nyinyi hamna akili,mwanamke mwenzako kadhalilishwa,bado unamuona huyo diamond ndio wamaana saaaaaaaaaaana,kumbe ni upumbavu mtupu,mwenzenu anawadharau tu!!,na hao walioenda kwenye hiyo shoo ni malaya tu,huoni hata jinsa walivyo,bado hawajielewi tu,watakapo kuja kujielewa its too late!!

    ReplyDelete