KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 24 June 2013

BY FLORA LYIMO ~ BREAKING NEWS '' NI ZAHUZUNIJE SASA! JOYCE KIRIA OF WANAWAKELIVE AJIRUSHA BARABARANI NA WATOTO WAKE KUTAKA KUJUA MME WAKE HADI LEO HII ALIKO!!

Joyce Kiria aliyewababa wanae wawili ni mke wa Henry Kileo' Na leo hapa pichani alikuwa anafafanua mambo mbali mbali ,kama vile posters zinavyotuambia tiyari  Jijini Dar Es Salam Tanzania huku akiwa ameonyesha Unyonge na Uchungu kwa kila mwenye macho anae ona Picha hii au aliekuwepo barabarani hapo na vile vile  yoyote mwenye Roho ya ubinadam na muhimu zaidi kutaka Habari hii imfikie Kiongozi wa Nchi Rais Jakaya Kikwete''  Kwa hiyo ikiwa kama wewe ni Mtanzania pia na unauwezo wakufanya chochote chakuweza kumsaidia Mama na Wanae na pia Ndugu yetu Mtanzania Tafadhali fanya hivyo ' Hata mimi uwezo wangu nikiwa huku Majuu kwa sasa hivi nimeweza kuwarushieni  habari hii kivyangu vyangu hapa kwenye blog yangu, Facebook pia na my Page 's ' kwani kama kuna kingine ambacho angenijulisha Mwenyewe Joyce pia nitamsaidia kwa Uwezo wangu ' Na sisemi kumtetea Mme wake ikiwa kakosa'' nasema kumsaidia sauti yake kusikika na kumuombea wamjuLISHE MME WAKE  ALIKO NA KAMA KAKOSA BASI ANASTAHILI SHERIA INAYOENDANA NA KOSA LAKE" NI HAYO TU KWA SASA HIVI''FLFP'
PIA KAMSOMENI HAPA..BLOG YAKE ''

No comments:

Post a Comment