KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Tuesday 30 July 2013

BY FLORA LYIMO~ TABLE MANNERS KWA WATANZANIA''HII NI KWA WALE WATANZANIA WOTE AMBAO HAWAJUI AU NISEME HAWANA TABLE MANNERS' YOUR FLORA LYIMO FASHION POLICE IS TODAY LOOKING AT YOU & YOUR TABLE"MBUTA NANGA!!

Flora Lyimo a.k.a. Fashion Police 'Mtanzania aipendae Nchi yake kupita maelezo''
Leo  nimeona niongelee kuhusu Adabu za kwenye Meza ''Table Manners''Waingereza wanasema'' Na hii ADABU '' nilitaka kuizungumzia siku nyingi ila sema sababu ya Mambo mengi nafasi nilikuwa sijapata kwani Mchagga kama Pesa haijaingia huwa sina Muda kabisa ya kusimama na kusubiria mataa ya geuze Rangi'' Mbuta Nanga'nisije nikagongwa siku sijaingiza pesa tu'' Anyway back to my topic '' kuhusu Watu hasa Watanzania wenzangu mnavyo kaa kwenye Meza zenu mkila ''yani hii ni popote huruhusiwi kuweka Vipochi au mabegi yenu juu ya meza'' yani HURUHUSIWI KITABIA NJEMA ZA KUKAA MEZANI''AVOID KABISAA''
Yani vitu hivi viepuke wakati umekaa mezani au unakula''
(1) Vipochi na mabegi mezani''
(2) Kuongea huku mdomo umejaa chakula''
(3) Kupokea simu mezani na kuanza mazungumzo huku wenzio wapo wanakula ''
(4) Umekaa mezani na wenzako na wewe hushirikiani na wao upo busy bizi na Sim yako ya mkononi''
(5) Kuvua viatu na kuviweka pembeni chini ya meza''
(6)kuvua viatu na kubakia na soksi kama ni kuvua viatu kukaa chini kwa Waislam zaidi''basi na Soksi vua pia''
(7) Kuvaa Nguo za kuonyesha makwapa '' hii ni kwa wanaume zaidi''vile vivesti(vest) vya kuacha makwapa wazi msivae kabisa''
(8) Kulalia meza'yani unafunga mikono alafu unaiwekea juu ya meza''
(9)Usijipake make up (kujipodoa)ukiwa umekaa hapo hapo mezani''
(10) Unapo simama yani umemalizana na hiyo meza ''usikiache kitu chako nyuma 'kirudishie mezani kama ulivyo kikuta mwanzo kabla hujakikalia' siyo unaondoka na kuacheni maviti yamezagaa zagaa'' huo ni ustaarabu na Adabu yenye kumridhisha mtu yoyote hata ulokuwa nao kukiiga ikiwa wao pia hawafanyagi hivyo''
Anyway yapo mengi ila kwa leo wacha niwaachieni hayo kumi yanatosha kwa kujifunza na kujirekebisha hasa mlio na Watoto kuwafundisha '' Ni hayo tu na endeleeni kutizama picha hizi hapa mtaona jinsi walivyo kaa na Mapochi yao mezani pamoja na Mabegi utazania ni ya Zahabu na Gold 100% na hata kama 'yangekuwa siyo tabia nzuri kuviweka juu ya meza'' Yani wengine huku Ulaya wanaambiwa kabisa wayatoe na kuyaweka chini au kwenye paja lako '' ikiwa umeona lina pesa sanaaa'' Sasa wengine utaona anazuia hata nafasi ya Chakula kupatikana sababu ya libegi lake''au mijibegi yao kujazana Mezani'' hata kama limetoka Ulaya LONDON BAG' Kutoka Flora Lyimo Mkopo Express of London Accessories to Tanzania'' usiliweke juu ya meza''Wewe mwenyewe ndo unajua Begi lako nila wapi na umelinunua Shilingi ngapi siyo lazima kulianika kwenye meza ya Chakula'' tena wakati wa Kula'' Epukeni hili jamani Mkija Majuu msije chekwa na kujiaibisha wakati utaambiwa uliondoe au ukiona Wazungu na wale walio na Table manners kama Flora Lyimo Mtanzania wa Ukweli London ''akikata shingo kuitazama meza yako ukadhani ni kwasababu umependeza au unasura kama ya Bikira Maria'' No ''nikwasababu nakupiga picha kwa macho na baadae kwa Sim au camera zangu mbili''kubwa au Ndogo''Hapana chezea moto wa ''Flora Lyimo Fashion Police eee''Mbuta Nanga''

Umewaona Watanzania  na Mabegi yao mezani ee'' AVOID kabisa yani ni marufukuu'' Hebu yaoneni sasa mkiyaweka chini kwani yangevuja milioni mnazodhani zimo humo ndani ''Ruwa Mangi''
Hebu oneni walivyoyapanga mabegi yao kwenye meza ya kulia Misosi tena wakati wa kula''''jamani hii siyo meza ya kujaza mabegi na pia siyo wakati wa mauzo ya mabegi hayo au mnayauziana wenyewe kwa wenyewe''lipi la London na lipi la China? Hahhahaa''wacha nicheke mie'' Na huyo nae sijui ndo kakuta Chakula kibichi au ndo kaambiwa anakula yule Mnyama asokula? mbuta nanga''Nyanyuka kayamalizie chooni Dada''hapo umeshikilia mdomo hivyo sijui ndo ulitemea hapo hapo''Ngamanyesepfo ndao''
Tizameni meza hii ilivyokuwa na Heshima zake ..yani hivi ndivyo meza inavyotakikana kukaliwa na siyo kujazwa mamipochi na mamibegi kama yauziwa kule Kiboriloni '' au Kariakoo''Kina Dada/Mama  ''Igeni Wanaume'' wanavyo kaa kwenye meza hapa na vile vile hawa wanaonekana wana Table Manners maana siku izi Bongo kuna Wanaumewanawake na utawajua tu''hasa wakiwa na Blog zao za Kimburula'' Wacheni niishie hapa na nadhani mtajifunza kuanzia leo ''Table Manners kwa Watanzania'' By: Flora Lyimo''

No comments:

Post a Comment