KITENDA WILI"NYUMBA YANGU NDOGO LAKINI INAENEA WATU WENGI' MBUTA NANGA!!

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO TZUK

FLORA LYIMO BLOG

FLORA LYIMO BLOG

FLORA

FLORA

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA RAIS JK

FLORA NA MH PINDA

FLORA NA MH PINDA

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

SHINY ,HEALTHY-LOOKING AND GORGEOUS HAIR' WHATSAPP +44 778 7471024

Monday 1 July 2013

BY FLORA LYIMO ~ALBUM (2) THE CAKE OF THE BIRTHDAY GIRLS ' OF MR & MRS MATONDA'S TWINS 1'st ' BIRTHDAY PARTY TAREHE 29.06.2013 IN LONDON"

 Proud moment with Mama and Baba' Hongereni sana my dears Mungu ni Mwema mmeweza kuifanyikisha shughuli ya Watoto wenu ipasavyo now I cant wait for the next one" Be Bless Always''
 Thank you Mama,, Anyway nimewaachieni Picha zitawaambieni yote' Enjoy na kama ulikosa Pole next time''


 So lovely waangalie walivyonafuraha now'' Yani nilijuta kusema wanyang'anywe nyama zao wakati wakukata cake .ili Picha zitoke ipasavyo 'Uwii watoto wa Nyama hawa jamani wanajua utam wa nyama choma' walilia hadi huruma kuwaonea but you know its have to be done kisawa sawa''and we did it ona hapa walivyonyamaza na kuanza kuchekelea tiyari'



 Mbuta Nanga,nani kawanyang'anya Watoto nyama zao'' 

 Nani kanuna'' hahahaa''


 The Angels bila nyie shughuli haingekuwa ipasavyo kwa kweli hii shughuli ilipendeza sana kwa sababu ya Angels kama hawa hapa ..Thanks to their Mama and Baba au nisema Wazazi wao''

 Yani Hongera sana Dada Teddy wa London Mwanao sasa ni kujiandaa kwa Mjukuu soon 'Mbuta Nanga'' Bless you baby Girl"and thanks kwa kazi nzuri Shughuli mliifanya ipasavyo wewe na wenzako in the next Album watakuwepo wote walosaidia kutupakulia misosi ya kwenye shughuli hii"





Yummy ''jamani Cake ilikuwa tamu sana 'but mimi i'm with the Birthday Girls I love the Nyama choma zaidi .uwii mate hapa yanani tiririkaje kukumbuka nilivyoshiba na kuziacha pale'' I want I want hii shughuli ifanywe tena next week jamani bila kwenda kwenye shughuli zingine''yani nilianza kupiga picha za Shughuli nyingine asubuhi saa kumi na mbili ' then nikaja huku  then nikarudi Home kubadilisha na kuvaa ipasavyo kwenda Kula Nyama na Mnyama wa Wanyama T.I.D Ndani ya The Pride of Tottenham London ''Pole kwa wale mlonialika kwenye Shughuli zenu which was on hii hii siku na nikashindwa kufika sababu ya muda kukosekana na shughuli kufanyika wakati mmoja'hope next time mtaandaa wiki tofauti tofauti ili tuweze kufika bila kukosaa''Anyway Nili enjoy sana maana that is what I was there for '' You know whats I mean Right'' 
Now FOLLOW THIS BLOG So you wont miss the next album's'' coming soon"

No comments:

Post a Comment